House girl

HOUSE GAL 🔥 Sehemu ya 1 Ilikua asubuh na mapema nimeamka na uchovu wja bata mfululizo kwani ndo kwanza nilikua nimerudi Tanzania tokea marekani,washkaji zangu walikua wananipeleka viwanja mbalimbali kuona viwanja vipya mjini,pisi kali mpya za mjini na haswa kula bata mimi nilikua mtu wa bata sanaaa,siku io kama kawa asubuhi niliamka na uchovu wa kupombeka lkn wanaume rijali lzm tuwe imara asubuhi 😜nikacheki pembeni ya kitanda kuna demu alikua kalala hana habari amechoka sabu ya pombe na nilichomfanya usiku,katika sekta ya kupagawisha madem sikua mtu wa mchezo mchezo mana ndio starehe yangu na niliamini mwanamke ukimkaza vizuri atakuheshimu ivo nilikua najijengea heshima,starehe yangu kubwa nilikua ni pombe na madem kwa kipindi iko sikuwa nawaza sijui kuoa au kuwa na dem mmoja mi nilikua nawaza sex tu,bas nikawa namcheki huyo dem vizur nimkadilie kama nirudie mechi au aah nikaona noo siwezi havutii tena nikagaili mana sikuwa na tabia ya kulala na demu mara mbili mie nikipita mara moja bas imetoka sitaki tena mana kama pesa ninayo ya kutosha na wanawake ni wengi mnoo hivo sina shida kiivo ya kuanza kujenga kambi kwa mwanamke mmoja.nikamwamsha yule dem nikamwambia "Oyaa kumekucha sepa" Akawa anajinyonga nyonga kama hataki kuondoka hivi muda huko mi nataka nipate cha asubuhi kwa demu mwingine, nikamwambia "Oyaa Hunielewi au mie nataka niendelee na mishe zangu amka bana sepaa time time"yule dem akaamka akiwa amenuna sana akajikongoja akaingia bafuni akaoga akarud akavaa nikampa pesa akasepa,huyo dem hata nilikua simjui kiivo nilikutana nae kwa ajili ya sex tu na kuna mshkaji wangu mmoja aliniunga nae ili nitoe ham tu mana tukilewa kinachobaki ni wanawake na huyu dem alikua anapenda sana pesa huyo dem hata sio mzuri kivile,baada ya kuondoka nikaoga pia nikampigia simu dem mmoja nilikua nachati nae Instagram kwa muda mrefu tokea nipo nje ktk kuchat nae nikamtongoza akakubali hapo hajawaji niona wala zaidi ya kuchat tu wakati nipo marekani, nikaona huu ndio wakatu muafaka wa kumuita sasa aje, ivo nikamchek nikamwambia njoo hotel, akauliza hotel gani?nikamuelekeza akasema poa nakuja nikamsubiri, yule dem hakuchelewa sana akafika huyo akaingia hadi room,kawaida mie napenda sana madem weusi mana wanajoto sana huyu alikua maji ya kunde mwembamba ivi alivoingia ndani sikua na maneno mengi nikamata sikutaka kumkawiza lengo langu nile mzigo afu basi mana hiko ndio haswa nilikua nataka,yn dem kuchat tu unamuita room anakuja haraka? nikamtoa nguo akabaki kama alivozaliwa na mie nilikua na taulo tu nikalitoa nijamchezea kidogo sikuwa nataka kuzama sana ivo nilivoona kakolea vizuri nikavaa condom nikaanza kazi, huwa sirembi sabababu napenda sana mchezo na siku zote zisahau kinga mana najua UKIMwi upo nilicheza nae kwa muda mana wanaume tuna tabia mwanamke mpya na nguvu zinakuja mpya kabisa kama sikulala na mtu, baada ya kumaliza nikaingia bafuni nikaoga nikavaa nikampa hela nikasema naondoka nina kazi natakiwa nikaifanye ivo bye nitakupigia, mwanamke hakuwa na neno alichoka nikamuacha amelala nilivotoka pale nikablok namba zake na insta nikamblok nilikua sitaki mawasiliano tena mana nishamla inatosha sasa. Nikatoka zangu hotel nikachukua gari yangu packing nikaanza safari kwenda nyumbn sasa washkaji walinipigia tuendelee na bata lkn nikawambia hapana lazima niende home kwanza nikaonane na bimkubwa wakasema sawa. Wazazi wangu walikua na uwezo mkubwa sana wa kifedha babangu alikua ni mmiliki wa makampuni kadhaa dar pia ana sheli kadhaa nchini ivo tulikua na uwezo sana,tulizaliwa wawili mi na dadangu zerish mie nasoma marekani,wazazi wangu wana asili ya kiarabu,nilikua napendwa sana na wanawake lakini sikuwahi penda mwanamke hata mmoja mi nilikua nawatumia tu kunitoa ham afu basi, niliamini wanawake waongo sana kutokana na kuona rafiki zangu wanatendwa pia niliona wanawake wanapenda pesa kuliko mtu ivo sikutaka kuweka kambi mahali, nilikua natembea nao afu sitaki tena mazoea nao. Nikafika nyumbn nikamkuta mama amekaa seblen anakula nikamfata na kumkumbatia akasema ulikua wapi?nikasema nilikua na rafik zangu mjin mama, akasema babako amesema unatakiwa uende ofisin kwenye of is yako mana ukiwepo yeye hataki kukusaidia anataka uende mwenyewe, nikasema sawa mama nitaenda sasa ivi ,mama akasema sawa, tukapiga piga story pale baada ya stor nikajiandaa nikaenda ofisini sasa,nilikua naheshimika sana ofisini nikasalimiwa na wafanyakazi pale nikaingia ofisini,kuna dada mmoja alikua mgeni hivi sikuwahi muona zamani ni mzuri mweusi ivi akaja ofisini kunipa ripot,alikua hanijui nikamkaribisha akaanza jieleza pale huku ananirembulia nikamtazama nikimkadilia huyu mwanamke hajui mm ni mtu wa dizain gan aisee ataliwa na kukimbiwa sgauei yake, nikiwa namzoom tu mara ajitikise kifua mara arembue macho ang'ate midomo ilimradi anitege tu ,nikamskiliza akanipa ripot akatoka alipofika mlangon akaangusha peni sasa akainama kuokota na alivaa kisket kifupi alivo inama tu nikaona zaidi hadi chupi nikasema huyu atanidharau subiri.... Itaendelea HOUSE GAL 🔥 Sehemu ya 2 Mwandishi:lissa mwalla Nikimuendea kilaisi atanidharau ,Nikamwambia "oyaa nenda nje fasta nataka kupokea wageni unainama inama nn" Akageuka kwa woga akaniangalia akijua hajanitega hata kidogo kumbe mi nimeshamueka kipolo,akasema "Sasa bosi samahani" Akatoka nikaendelea na kazi mida ya chakula cha mchana nikatoka nikampigia mshkaj wangu mmoja anaitwa luis akaja tukapiga msosi mie nikarud ofcn,kazi zilikua nyingi lkn nikamudu kuzifanya nilitaka nimalize zote siku io, wafanyakazi wengn walitoka muda waliizoea mimi nikabaki ofisini napiga kazi,nilivochoka kufanya kaz nikamkumbuka yule dem, nikapiga simu ya ofc kwa yule dem alienitega alieitwa caron (namba za wafanyakaz nilikua ktk kitabu mezani kwangu) nikamwambia aje ofcn akasema "nimeshatoka bosi" Nikasema "kwa hio unagoma au?nakutaka hapa ASAP" Akasema " sawa bosi narudi sasa iv sikufika mbali" nikakata simu Nikaendelea na kaz caron akaja akagonga mlango nikamwambia pita akapita nikamwambia "Kakae pale kwenye sofa" Ofisi yangu ilikua ya kisasa ina sofa kabisa,akaenda mimi nikamfata hadi alipokaa akaanza tetemeka nikamvuta nikamsogeza kwangu huku nampapasa mgongo,nikasema "Hiki ndio ulikua unataka sio?sasa unatetemeka nn" Akasema "Mmh aaaah hapa hapanaa bos samahani " Sikumjibu kitu nikaanza mtoa nguo hadi akabaki na chupi tu nayo nikaitoa nikaanza kupiga gitaa 😜namchokoza awe tyr dem alilegea haswaa yn mlaini sana huyu mwanamke habishi wala yy anaenda tu na mapigo yangu, nilivoona yupo tyr nikavaa kinga (nilikua sikosi condon kwenye gari yangu nilikua nitamla huyu ivo nikaweka kwenye surual kabisa)nikamnyanyua hadi kwenye meza nikamuinamisha nilianzia hapo, caron alijitahidi sana kunipagawisha alikata kiuno lkn mimi nilishamchukulia walewale mana alianza kunitega ivo nikajua mlaisi tu Malaya sikua na huruma nae, nilivomaliza haja zangu Nikamwambia "vaa nguo zako nenda na sitaki kuskia kwa mtu yaliotokea hapa na sitaki mazoea" akawa kama haamini nilichosema mi nikaingia bafuni (ndani ya ofisi yngu kuna choo na bafu) nikaoga kabisa nikajifuta nikavaa nikakuta yy bdo amekaa kwenye sofa kizembe zembe nilichukia, akasema "Baby asante nimeenjoy sana nakupenda sanaa tokea zamani nakuona kwa picha" nikasema "Hey hii ni sex tu sio mahusino na haiji tokea tena kwa io usitegemee kuwa na mm na usifikirie mm nina mahusiano na ww,nachotaka kutoka kwako ni kazi tu hapa ofcn na narudia kilichotokea sitaki kukiskia kwa mtu mwengine yoyote sawa?" Akainama huku analia akasema "sawa bos" Nikafungua droo nikatoa hela nikampa akapokea nikamwambia "Nafkir ulikua ubasubiri hizi, haya Asante mama unaeza kwenda" aliniangalia kwa machungu Akatoka zake mimi nikaendelea na kazi zangu nishamsahau.sikuwahi mtafuta kimapenz wala kuonesha mazoea nae pale ofisin hata kama alitangaza atakua alionekana muongo tu, demu yoyote aliejichanganya ofcn sikumuacha salama nilimpitia kama upepo namkaza vizur sana na hakuna aliekua anatoa sir mana kupitiwa na kuachwa sio sifa nzur kwao. Maisha yangu yalikua hivo nilikua sipendi madem wa kuweka kambi mana nimeshuhudia rafiki zangu wakilia kisa madem ivo nilikua siwezi kutulia na mmoja kabisaa,nyumbn mama alikua hanielewi kabisa mana hawajawahi niona na wanawake japo dadangu zee alikua anajua mimi ni eat and run sana na ombi lao nipate mwanamke wa kutulia nae wamtambue ikibidi nioe lkn sikuwajali wala na nilikua sina mpango huko wala. Baada ya likizo yangu kuisha nikarudi zangu marekani huko nilikua sina utulivu pia lakini kuna dem mmoja alikua mshakaji wangu sana nasoma nae chuo yeye ni black america mrembo sana anaitwa Kylie,mi napenda kumuita k,mbali na urembo wake anashepu sana na pia ni muelewa sana mimi na yeye n marafiki wakubwa sana lakini katika maisha yetu ya urafiki kuna siku tulilewa pamoja na wote tulikua na ham tukaishia kulala pamoja na kuvunja amri ya sita k alinogewa sana na mm,k alikua na boyfriend wake lakin mm ndio sikuwa na mwanamke permanent ivo urafiki wetu ukawa ivo tukiwa na ham tunapeana lkn hakuna aliejua zaidi kujua sisi ni washkaji tu si unajua kizungu mnaweza lala pamoja mwanamke na mwanaume lakin mkawa washkaji,k pekee ndie mwanamke ninaerudiaga kulala nae kila nikiwa na ham na sipati mwanamke wa kueleweka namtext tu "booty call" akiona hivo anajua nataka kumla nae akiwa na ham na mm ananitumia msg "🍆call" Hapo najua anataka dudu ,boyfriend wake alikua hajui kama mm na k tunakulana kimya kimya alijua sisi n marafik wakubwa na mm sikumjali,k alikua hana wiv na mm hata nikiwa na demu tena mara ingine yy ananiunganisha nao m nakula na kusepa,nikiwa na shida yoyote muda wowote k yupo hivo tulikua tunapendana sana,kwao walinijua na kwetu pia walimjua kwa njia ya simu na mitandao ya kijamii walimjua kama rafik angu tu flesh. Ktk maongezi yetu K alikua ananiambia ipo siku nitapenda mwanamke na mm eti tena nitakua sielewi siambiwi lkn nikamwambia haiji tokea io kitu sabu mm napenda ngono tu sipendi mtu, akacheka basi nikaendelea na masomo yangu,siku moja rafik yngu luis alintumia msg akasema kuna dem mkali sana anasoma chuo UDSM wamejaribu kumtaka lkn yy hawataki anakaza vibaya sana mi nikasema mnafeli wapi nyie yn dem awazingue nipeni jina lake Instagram nimchek mm mtaona atakubali na nitamla,luis akasema huwez mahkaji wangu dem mgumu sana nikasema nipe jina,siku zote nilikua napenda mademu wanaojifanya wakali na wanapozi, luis akanitumia jina alikua anaitwa lisa anajiita "cutelisa"insta nikaingia kwa page yake kaweka private nikamrequest baada ya siku mbili akakubali, nikachek kwel mtoto mashallah anakimwili sio kibonge sana ila anatako balaa afu maji ya kunde ana mvuto point ya kwanza nikampa nikakubali kweli mtoto mkali,nikapitia picha zake zote nikaona ana swaga flan za kilokole nikasema huyu naanza nae taratiibu kwanza mdogo mdogo sina papara nikaanza fatilia rasmi mambo yake nikagundua anapenda sana page za mahusiano,na mie nikaanza kufatilia ,akicoment na mie nikawa nacoment alipocomemt tunabishana kule namchekesha io yani, ikapita kama wiki mm niko busy nae hapo sijawah mfata Dm wala ,lkn akawa ananitambua kutokana na kucomentiana basi akiona kitu cha mahusiano ananitagi siku moja nikamuotea ameingia live akiwa amelala akasema anaumwa nikampa pole, akajibu pale ,nikasema yes huu ni muda sasa wa kuzama ndani, nikamfata na dm nikampa pole akajibu asante tukachat chat sana tu dm wakat huo mm nilikua hata siwek picha yngu kwa page yngu naeka cartoon tu,tukaendelea na kuchat mambo ya kawaida hadi tukazoeana mwezi mzima ukapita sijawahi mtongoza wala hapo ni hesabu tu napiga step hadi step zaidi ananiita kaka et 😂akawa anataka sana anione nimtumie picha nikamwambia utaniona tu usijali ila nina sura mbaya sana akawa anacheka tu. Kuna siku aliumwa tena akasema malaria sijui, nikamwambia nipe namba yako ya simu nikupigie, hakuchelewa alishanizoea akanipa wala sikupiga nikamtumia pesa laki mbil kwa world remit,akaona jina langu pale lkn hakuweza nipigia ivo aka ni dm akasema wewee jmn umenitumia pesa jmn asante, nilikua wasichana wa chuo wengi wana njaa, na kumpa pesa mtu hajaomba ni njia ya kumvutia,nikasema ndio kunywa juic mgonjwa wangu, Lisa akafurahi mwenyew akasema kumbe uko nje?nikasema yea akasema nchi gn? Nikasema USA akasema nitumie picha yko basi hata nikuone nikasema ngoja nikupigie whtsap cal akasema poa,nikaona ni muda wa kumpigia sasa, nikampigia muda huo alikua hostel kwao akapokea alivoniona akastuka akasema ww ndo gian nikasema ndio akasema mbona muarabu nikacheka tu sanaa 😂akasema ww jmn kumbe nikasema vip kwan hupendi marafiki waarabu nini akasema hapana siamini tu nina rafiki wakiarabu, nikacheka tu,tukaongea pale tukamaliza tukaendelea kuchat lkn baada ya kuniona niligundua alibadili namna ya kuchat na mm alikua ananicare sana na nikimpigia video call anakua kavaa nguo za mitego ivi laini nikasema huyu kwisha habari yake nikirudi bongo namla mboba tyr kibra kaelekea huyu tyr maskini msomi wa watu,niliendelea kuchat nae lkn navoendelea kuchat nae nikaanza muonea huruma mana sio mapepe kama videmu navopitaga navo, pia hana tamaa na ana malengo makubwa na maisha yake mwenyewe, pia anaonesha alishawahi umizwa sana na jamaa yake hadi akachanganyikiwa nikaanza kupata wakati mgumu mm na tabia yangu sasa namlaje maskini daah,nuliendelea kuchat nae,siku zilienda nikarudi likizo dar nilivofika tu nilifikia kulala na demu mwingin niliekua nachat nae pia, (nilikua nachat na wengi hata wasanii) lisa nilimuacha kwanza siku ya pili yake nikamfata lisa chuo kwake alifurahi sana kuniona nikatoka nae tukaenda kula kisha tukaenda kunywa tuliongea mengi na hapo sijawahi mtongoza wala nikamrudisha hostel kwao usiku,kesho yake nikamfata sasa nikamtongoza rasmi akawa anakataa kataa mwishowe akakubali akanipa shart et tusifanye kwanza mapenzi nilicheka sana kimoyo moyo, nikasema sawa, akasema tukapime UKIMWI nilicheka mtu hataki kufanya mapenz afu anataka kupima, nikakubali fasta tulapanga siku tukaenda hospitali kupima afya wote tukawa wazima, basi tukaenda nae kama wik iv nikampeleka club tukiwa kule nikamnywesha bia na hakuwa mnywaji kidogo tu kalegea, nikaanza mshikashika mtoto akalegeaaa alivaa gauni fupi nikawa namchezea kalainikaa nikasema huyu ndio alikua hataki huyu, nikamwambia bby twende tukalale akasema sawa baby kiulain nikaaga washkaji ambao walikua hawaamuni bdo niko na Lisa, nikaenda nae HoteL nae alikua amesha legea tulichezeana kikubwa pale tukaanza mechi, Lisa hajui kabisa mapenzi japo mm sikua wakwanza kwake lkn nilienjoy anajoto nilimganda sanaa nikampagawisha haswaa na hivi mtoto mweusi mzurii nilijikunja hadi tulivopitiwa na usingizi asubuh nikamrudia tena na tena alikua anashawishi pia nilipenda anajitambua na kujiheshimu kwake nikaona sio shida nikimla mara kadhaa, nilikaa nae pale siku mbili nikamfanyia shopping nikamrudisha hostel nikaendelea kuwasiliana nae,rafik wangu k alikua kuwa na chat na Lisa ivo nilimsimulia kuwa niko nae, k aliniuliza kama nampenda lisa nikasema sina mapenzi nae ila namuonea huruma tu anajielewa nikimuacha nitamuumiza mana kanipenda nitamuharibia maisha, basi ikapita mwezi nipo na lisa ila sionani nae mara kwa mara sababu nakua na wengine miezi mitatu nilikua likizo ndefu ikapita nilikua nampotezea sana lisa, sikuzoea mahusianio ivo nilichoka kuwa na demu mmoja hivo kila siku ilikua kesi ananifatilia ananikuta na mademu mimi nammind yeye namwambia ww sio mke wangu achana na mimi. Mara alaumu sipigi simu nilikua nakereka sana sipendi kelele . Siku moja niko home na sista zee, lisa akawa ananipigia simu sikupokea ikaita sana dadangu anachukua simu akapokea akaanza kuongea nae nikaskia anasema "hospital?unamimba?ya nani?ya gian?hospital gani?tunakuja." Akakata simu akasema wewe mwanamke wako lisa sijui alizimia yupo hospital na ni mjamzito mimba ni yako, 😳mimba tena nikakosa pozi dada akasema kumbe una mwanamke?mama nae akawa akatokea akasema nini?nani ana mimba?dada akamweleza mama kila kitu wakachukuzana hao wakatoka wanaelekea hospital, mm nilihisi ndoto.... Itaendelea simulizizaonline.blogspot.com HOUSE GAL 🔥 Sehemu ya 3 Nilihisi kudata kabisa, sikutaka mambo ya kuwa na lisa mm, sasa mimba na vile mama na zee wakimkimbilia nilipata mawazo, Mi nikabaki zangu home nikiwaza itakuaje?na sina mpango na huyu dem kabisa sasa daaa mimba tena?na hawa walomfata inakuaje?daa nikaona hapa sio mahali kwa kukaa, nikaondoka nikaenda kwa mshkaji wangu luis nikamwambia ishu yangu Luis akasema saa itakuaje bro nikasema sielewi lkn kama atazaa flesh m sina mpango nae mtoto siez kataa, mwingine akasema yaah we lea mimba tu yy achana nae sio lazima mkizaa muoane, nikasema nitafanya ivo,tuliendelea kunywa huku tukipiga stor,mama na dada walinipigia simu wakauliza nilipo nikasema nipo kwa luis wakasema wananiomba nyumbn nikasema sawa nakuja, nikaaga washkaji nikaenda,nilivofika tu nikakuta lisa na rafik ake wapo seblen na mama na sister lisa kavaa dela na kajifunika mtandio anaonekana kachoka,mama akauliza akasema gian mwanangu unamfahamu huyu dada? Mama alimuoneshea lisa, mi Nikamuangalia nikasema yea namfahamu, mama akasema anasema anaujauzito wako tumempima utra sound ana mimba kama ya mwezi mmoja na wiki mbili sa ivi, nikasema okay akasema hospital wamesema anahitaji kupumzika na uangalizi wa karibu ivo hali yake si nzuri ivo tutakaa nae hapa, dah nilimind sikupenda iwe ivo lkn sikutaka muaibisha lisa mbele ya rafiki ake ivo nikasema sawa, mama akanyanyuka huku akasema lisa nifate mwanangu, lisa akanyanyuka pia, mama akamuonesha chumba chake lisa yule rafiki ake akaaga akaondoka zake,mama akirudi akasema lisa amelala, mimi nikamwambia mama na dada kuwa mm sikuwa na mpango na lisa mana simpendi hata kidogo na s ina hisia nae kabisa za kimapenzi ilitokea tu ivo nitale mimba lkn mambo mengine na yy sitaki,dada zee akasema usituchanganye ww toka lini mtu unampa mimba mtu usie na hisia nae kwanza ilisimama vipi mpuuzi ww? huyu ndio wifi usitutanie kabisa mpaka umemtia mimba mtoto wa watu hukujua humpendi?huyu ndio wifii na mkwe humu ndani utake usitake yn unataka muharibia maisha dada wa watu?alisema nikasema mama mapenzi ni hisia mimi sina hisia nae ilitokea tu, wakasema tutolee maneno yako huyu ashafika hapa na hatuwezi pokea mwanamke mwingine tena ivi hizo hisia kama hazipo nakushauri zutafute, nikaona michosho nikaondoka zangu sikurudi nyumbn wiki nzima,huko lisa aliishi kama malkia anapelekwa na kurudishwa chuo na dereva, anapikiwa na kufuliwa yy anapumzika tu mama k 😂mie hapo sitaki hata muona, ukapita mwezi naishi nyumbn lkn sina stor na lisa wala nini mara nyingi ananiomba tuongee lakini mm namwambia nalea mimba tu siba kingine, nilikua nampa hela za matumizi vizuri tu na dereva wake namlipa mimi,siku zikaenda nikatakiwa nirudi chuo ndio nilikua naenda kumaliza kabisaa, siku moja mama akasema leo mdada mpya wa kazi anakuja kutoka singida nikasema kwa ajili ya lisa au akasema hapana wa hapa nyumbn tu mana huyu aliepo anachoka sana nataka nimtaftie mwingine wa kusaidiana nae nikasema sawa,jioni yake mama aliniomba nikampokee lkn nilikua busy na mambo yangu ofcn ivo sikuweza mfata nilirudi nyumbn usiku wakati wote wamelala nikajiandaa na safari kesho yake nikasepa zangu, sikuwa na mawasiliano mazur na lisa mana alikua mtu wa lawama sana sikupenda kelele zake, niliendelea na masomo yangu baada ya mwezi nilipigiwa simu lisa nilipokea akasema amepata matatizo ujauzito umeharibika nikampa pole sanaa, niliumia sabu nilishaitune akili yangu kuwa ninatarajia mtoto, lisa aliumia sana nilijitahidi kuwa karibu nae hadi kumtumia msg nzur sana moyoni niliumia kweli nilikua tayr nishapata shauku ya kuwa na mtoto lkn upande mwingine nilifurah mana sitakuwa na kitu kinachoniunganisha na lisa tena,sikumpenda kabisa na kelele zake,basi niliendelea na maisha lisa nae alikaa nyumbn mwezi akarudi zake hostel akiwa ametemgeneza mahusiano mazuri sana na mama pamoja na da zee mie hata simu zake niliacha kupokea kipindi iko, muda ukasonga nikamaliza chuo nikarudi bongo wakati huo nilikua najenga nyumba yangu kigamboni niliijenga taratibu kwa muda mrefu nilitaka iwe na ubora wa hali ya juu pia nzur sana nilipenda kuish nyumba ya ndoto zangu,hivo bado nikafikia nyumbn kwa mama na baba, vile nilikua sio mtu wa kukaa nyumbn nikawa nawahi kutoka na kuchelewa kurudi sana. siku moja niliamua kupumzika tu nyumbn ilikua jumamosi moja dada zee na mama hawapo wapo kwenye biashara zao baba pia hayupo nikawa nimelala nikaskia mziki seblen singeli tena kwa sauti sana sikuwahi skia ndani kwetu aina hizo za nyimbo nikajitahidi kulala sikuweza makelele yakizidi, nikatoka nikaelekea seblen nilivofika nikasimama nikaona kadada fln kana rangi nzuri ya chocolate kana umbo zuri haswaa kamenipa mgongo karefu kiasi sio kafupi kiuno kimejigawa tako kubwa hips usiseme shepu nzuri mnoo kamevaa dela japo chakavu kamebana kwenye chupi kwa pembeni afu kanakatika balaa hadi chini kanabong'oa kanarusha tako lake laini linatikisika balaa kamevaa japo kapo na dela lkn kiuno kinaonekana kanakatika mnoo kanaenda sambamba na mziki wakati kanacheza mamekala ivi dela likapanda sasa chupi nje nikaona na shanga mbili kiunoni kwake kanainama kanacheza wakati huo wimbo wa ainaga ushemeji tunakulaga unapigwa nilipagawa na shepu yake, japo lisa anatako lakini halijakaa vizur kama huyu demu lisa amejaa jaa tu, ila huyu naemuona kiboko, na la lisa halina ulaini huo, mgongo mzuri kiuno anazungusha hatar nikajikuta natamani nikakunje pale kanikatikie,niliendelea kuangalia huyu dem aliendelea kucheza wakati huo kameshika kochi kamepandisha mguu mmoja kwenye sofa mmoja chini kanakatika yani kapo busy hakanioni na mie sioni sura nikajikuta nacheka sana hapo nishaamsha popo balaa wakati kanajigeuza kakaniona kakastuka sana na mm sasa nikastuka baada ya kuona sura yake katoto kazurii katekee kana macho makubwa kiasi sura nzurii,kaliogopa mara kakang'ata vidole vishavu vyake vinabonyea pande zote lips zake nene flan kamezilowesha nikamtazama kifuani mtoto SAA sita mtoto ni mzuri sana kumchek umri wake ni kama miaka 19 iv 20 nikaweka mikono mfukoni asione mfadhaiko wangu,yg anatetemeka akazima mziki, mie nikawa kimya namuangalia tu akapiga magoti akasema kaka samahani sikujua kama upo sirudii naomba nisamehe nikakosa jibu kwani nilikua namuangalia anavoongea vizur meno yake yamepangana vizur mdomon akasema tena, kaka samahani nikasema unaitwa nani?na unafanya nn kwenye hii nyumba akasema mm naitwa Arabella ni msichana wa kazi nimetokea singida nikasema sawa, nyanyuka naomba chai nina njaa akanyanyuka fasta akaanza tembea spid kwenda jikon huku mm namwangalia kwa nyuma tako linavotikisika baada ya dakika mbil akaleta chai maziwa na sosej na mayai amekaanga akasema karib mezan kaka nikasema asante akaanza kuondoka nikasema njoo kaa na ww mm siwezi kula peke sijazoea, akasema apana mam tayr nimekunywa nikasema aaah kula bwana kama hutaki sitokusamehe, hee kakavuta kiti fasta kakakaa nikacheka, nikaanza kula nae nikamuliza unamiaka mingapi akasema 19 ila wiki ijayo tar 10 natimiza 20 nikasema okay kwenu unaish na nan akainamaisha kichwa nikasema mbona hujib akasema nilikua naish na bamdogo mana mm ni yatima wazaz wangu walishafarik nikasema polee akasema asante nikamuliza unaelimu gn akasema nilaiishia darasa la saba nilifaulu lkn sikuweza endelea na shule mana bamdogo aliugua akafarik pia nilikaonea huruma maskini nikasema tena pole basi nilimuuliza sana maswal akawa ananijib nikajikuta naenjoy sana kumskiliza napenda anavoongea na kurembua macho Nilipiga nae stor kwa muda mrefu sana nikatoka nikamuacha nilijishangaa namuwaza sana ara baada ya kutoka sijui story yake ilinigusa au ni nn,sikuwahi tembea wala tamani hata tu kumuangalia dada wa kazi lkn Arabella alikua tofauti, ktk mizunguko yangu nikapita dukan nikamnunulia biscut za chocolate sikukawia kurudi nyumbn ,nilivofika nikampa akafurah,nilimtaman sana lkn nilijizuia mana sikutaka nimuharibie maisha kabisa na akat mm sijitambui,basi tulizoeana nae sana siku ya birthday yke nilikumbuka bahati nzuri nyumbn hakukuwa na mtu pia nikamnunulia kigauni kizuri sana nikampa nikamwambia vaa afu kuna mahali twende akasema mm nina kaz kaka, nikasema tutawahi kurud utazimalizia, akasema sawa akavaa kile kigauni sikuamini yani kilimpendeza sana kikamchukua shepu yake matata nikazidi data na huyu mtoto nikampeleka hotel nzuri nilimuandalia kachakula ka mm na yy tu ara alifurah akakata keki tukala na kunywa japo yy alikunywa juic nikampa zawadi ya simu nzur smart tena ya bei mana hakuwa na simu kabisa,akanishukuru akanikumbatia akasema kaka asantee,kitendo cha kunikumbatia aliharibu mana nilisisimka mwili mzima vinyweleo vikasimama hadi vipele vya barid vilinitoka nilihama akili yy bdo amenikumbatia nikamtoa mwilin niliona nashindwa vumilia, baada ya muda nikamrudisha nyumbn baada ya dakika chache dada zee nae akafika mm nikiwa chumbn nikaskia kelele nikatoka nikakuta zee anamtukana ara anasema we mshenz si nilikuachia kazi hujafanya ulikua wapi?ulikuja kula hapa au kufanya kazi maskin ww mshenzi, ara akasema kwa huruma huku kapiga magoti samahani dada,zee hakujali aliendelea kutukana sana mara si akanyanyua na mkono ili ampige nilijikuta naumizwa sana na matus ya zee yn n kama alikua ananitukana mm moyo unaniuma sana sikujielewa nikadaka mkono wa zee nikasema inatosha sasa huyu mm ndie nilimtuma leo na kwa nn umtukane?humsikilizi ww unamtukana tu afu unataka kumpiga? zee akasema g hayakuhusu mambo ya kike nikasema skia kuanzia sasa jambo lolote kuhusu ara linanihusu sitak agombezwe wala atukanwe au apigwe humu ndan zee akasema umerogwa ww unawazim au Sikumjal nikamnyanyua ara mara mama akawa anafika akasema kuna nn hapa............ Itaendelea HOUSE GAL 🔥 Sehemu ya 4 Zee akasema bora umekuja mama mana naona mwanao kipenzi anaingilia mambo ya jikoni sa ivi, mambo ya kike ye ndo anayavalia bango, mshangae mwanao, mama akasema et g kuna nn? Mbona umemshika ara? Sikutoa jibu,mama akauliza tena mbona hujib sasa nikuekewaje?nikasema mama huyu ni kama mdogo angu ambae angekua shule sa iv ila sababu ya maisha ndio maana yupo hapa kufanya kazi,zee kamtukana sana mtoto wa watu tena matusi mazito kwa kitu kidogo tu ambacho angeuliza kistarabu angepewa jibu, sijapendezwa nayo hayo mama hata kwa mtu mwingine nisingependezwa sio kwa Arabella tu,mama akasema kweli mwanangu sio vizuri kama ni ivo ,akamgeukia zee akasema mambo gn unafanya ww? Kwa nn unakosa ubinadamu? usirudie tena uji ga huko, zee akakaa kimya tu kanuna mimi nikaanza kuondoka nikakumbuka watamsema wakiona simu, nikageuka nikawambia nimempa Arabella zawadi ya birthday nimempa simu ivo asihojiwe sanaa ikazua mjadala, mama akasema hongera zake kumbe leo ni birthday yake?mi nikasema ndio,nikaingia chumbn kwangu siku io ikapita ivo, kesho yake nikaenda ofcn lakin nikawahi kurudi nikajikuta nawatosa washkaji kwenda kutembea na kulewa sababu napenda kushinda nyumbn sana siku hizi 😜,napenda kumuona Arabella sana akiwa anapitapita mara nyingine namsaidia hadi kazi zake mimi huyo mana nyumbn watu hawashindi na yuke mdada mwingine aliondoka ivo nilikua napata muda wa kutosha kuwa nae,kipindi chote hiko ananiita kaka na mie namuita mdogo wangu lkn ndani yangu kuna hisia tofauti sana nahisi juu yake sikujisoma kabisa,siku zikapita mm na Arabella tumezoeana sana kiasi sikuwa najielewa kabisa akitoka kwenda dukani akachelewa eti naona wivu asipopokea simu navompigia naona wivu kitu ambacho sikuwahi hisi kabla, kuna siku aliumia mkono nikachanganyikiwa mnoo, rafik zangu nao walikua hawanielewi kwa sababu nimepunguza sana kuwa nao nikiwaona ni dakika kadhaa naaga hata madem nilikua nawatia kwa manati sana nikizidiwa sana, mm mwenyew nilikua sijisomi kabisaaaa. siku moja nilikua nyumbn Arabella alikua anafanya usafi akaja chumbn kwangu wakati mimi nipo bafuni sikujua kama yupo nikatoka na taulo tu nikamkuta yy ameinama kitandan anatandika mashuka baada ya kutoa mengine nikamchek alivoinama vizur tako lake linatikisika uzalendo ukanishinda mashine yangu ikasimama balaa Arabella akatandika akamaliza ndio akaniona akasema kaka kumbe upo nikajua umetoka sikumjib kitu nikaanza kumsogelea alivoona vile akaanza kucheka huku anarudi nyuma akasema mbona unanitisha jmn kaka G mm wala siongei mzuka umeshanipanda namtamani siku nyingi nimechoka sasa mzuka ushanipanda liwalo na liwe nikamsogelea yeye kumbe ashafika karibu na kitanda akaangukia kitandan,kanga aliovaa ikafunguka nikashuhudia mapaja yake manene mazur na chupi yake nyeupe akaanza hangaika ajifunike wakati mm nimeshafika nikamlalia kwa juu muda huo ananiangalia kwa woga sasa ashaona nipo serious sitanii, nikapeleka mdomo wangu karibu kabisa na midomo yake laini nikampiga bonge la busu la mdomoni, hisia nilizokuwa nazo sikuwahi kuwa nazo kwa mwanamke yoyote nilimbusu kwa mda kidogo wakati huo yy kafumba macho tu katulia, mara nikaskia sauti ya sista ikiita wee Arabella wewee uko wapi? Nililaani daah ili li sista hili nikamuacha nae akanyanyuka mbio hadi nje ya chumba changu, kalikua kanaogopa mno, nikajiuliza ivi nn nafanya? Huyu si dada wa kaz huyu? Na sijawahi tembea na mwanamke sio wa mjini, nikajiuliza sana nn najiskia kwa huyu mtoto?mbona nadata nae namhitaji sana? Ananichanganya hadi nataka kubaki nyumbn tu? Mimi ni wa kuosha vyombo kweli? Lkn naosha nae natabasam tu napenda,afu si ni house gal huyu?mtoto wa watu nikimtia na kumuacha si nitamharibia maisha mwenyewe yatina huyu daaah sikujiamini, daa nikavaa fasta nikaondoka nikiwa njian nikampigia rafiki angu Kylie nikamsimulia matukio nayokutana nayo kwa Arabella,k akasema darling uko inlove sasa na huyo mwanamke,nikasema hapana haiwezekan akasema ndio nakuambia mana yote unayohisi ndio mapenzi yenyewe nikacheka nikasema kwa io u nataka kusema mm nampenda Arabella?akasema ndio nikasema siwezi penda demu mm afu mdada wa kazi nitamtambulishaje?k.akasema (love is blind)mapenzi upofu lkn sa iv huelewi unabishana na moyo ila siku moyo ukiishinda akili wala hutokua na maswali zaidi ya kujali mapenzi yko nikasema sio kwel na utaona akasema sawa utaniambia maendeleo, huku anacheka nikakata simu nikaenda kwangu kigambon nyumba ilikua imekamilika kila kitu kasoro vitu vya ndan tu nikawaza nikanunue lkn wazo likanijia nikajikuta namuwaza ara natamani kama Arabella angechagua vitu avipendavyo ndio niweke ndani, nikajisemea ujinga huu kumuwaza mtu ambae siwezi kuna nae, nikaenda kununua kitanda na godoro tu nikaweka ndan,nyumba yngu n kubwa sana nilidhamilia kuhama nyumbn ili nisiwe na Arabella nisimuone kabisa labda nitamsahau,ilipita wiki ya kwanza naishi pale na tabia yangu chafu nikazidisha nikawa natia sana madem tofauti kwenye mahotel sikuwahi waleta kwangu,wik ya pil ikaisha kwa shida nikawa nimemmis sana Arabella yn nataman hadi kuzimia madem wenyew nalala nso kwa sura ya Arabella. siku moja nilikua kwangu nimetulia nimejilaza kitandani mara msg ikaingia ktk simu kuchek n Arabella nijastuka nikanyanyuka nikakaa nikaifungua ameandika shikamoo kaka,mzima ww?nimekumis sanaa, kuona ile text moyo ukalia paaa nilijiskia mapigo ya moyo yanazidi ivi,nikachukua funguo ya gar nikatoka nje nikawasha gar moja kwa moja hadi home nilivofika nikakuta baba na mama wapo Na zee pia nikawasalimia baba akasema vipi kwema nikasema ndio nimekuja kufata nguo mana nimehamia kwangu baba akasema mbona kama umefukuzwa hapa sikuelew gafra tu haupo kuna nn,zee akasema amekua babawe huoni? labda anataka akakae huru na lisa wake, mm sikuwajibu zee alinikera tu, nikawambia naenda panga nguo zangu zee mara akaita Arabella njoo ara akaja akamwambia kamsaidie kakako kupanga nguo mana anahama hapa,Arabella akaniangalia kwa jicho la huruma akasema sawa, mi nikajib mimi mwenyew naweza kupanga nguo zangu sihitaji msamaha, zee akasema kwan ukisaidia wa mdogo wako kipenzi itakuaje?mbona ubajishaua? sikutaka maneno mengi nikamwambia Arabella twende,tukaelekea Chumbn wote tukiwa kimya nikayoa mabeg nikaanza kupanga nguo ara ananiangalia tu akaona avunje ukimya akasema kaka g kwa nn unahama?kwa nn unataka kuniacha peke angu?nikamtazama alikua analia maskin hiko kitu kiliniumiza nikajikuta nimemsogelea nikasema Arabella mm na ww hatuwezi ishi nyumba moja tena,akasema kwa nn? huku akilia kwa kwikwi nikasema jua hivo tu kwa faida yako ww ,akasema au sababu ulinibusu afu mm house gal unanichukia?maneno yake yaliniuma mi nilikua namuonea huruma mana mm ni simba mla watu, nikamkumbatia nikasema Arabella ninahisia za kimapenzi na ww na siwezi jizuia tena najiogopa najua nitakuumiza sabu nakupenda sana na sijawahi penda mwanamke na sijawahi ish katika mahusiano sitaki kukupoteza wala kukuumiza sawa,nikamfuta machozi akasema kwa nn wewe unajifkiria ww tu g?nijastuka nikasema una maanisha nn? akasema ushawahi fkiria mm nina hisia gn na ww?kwa nn uamue ww mambo yko?sikuamini nilichoskia nikamwambia una maanisha nn? akasema nakupenda sana pia g nakupenda kama mwanamke ampendavo mmewe,moyo wangu uliruka kwa furaha, aisee mapenzi ya kifala sana 😂😂nikasema kwel akasema ndio,nikamkumbatia kwa nguv nikasema Arabella naomba uwe mpnz wangu akasema sawa nimekubali, nikasema ila usiniruhusu nikufanye chochote kwanza sawa akasema sawa nikasogeza midomo yangu karib na midomo yke tukaanza nyonyana mate muda wote huo tumesahau kuna watu nje,tulinyonyana kwa mda mrefu mate hadi tulistushwa na mlango wa chumbn kwangu umefunguliwa...🙆 Itaendelea HOUSE GAL 🔥Sehemu ya 5 Tulishtuka sana hasa Arabella 😂akayaka akimbilia kabatin eti nikamzuia,bahat nzur aliekua mlangon alikua anaongea na simu mana iliita alivopokea akasimama mlangon bila kuingia japo alifungua mlango, alikua ni dada zee alivomaliza kuongea akaingia akasema hee bado mnapanga tu nikasema shida yako nn kwanza,we sema kilichokuleta, akasema namuomba Arabella akapike muda umeenda nikasema poa ,Arabella hakujibu kitu akatoka kimya kimya tu huyoo akatoka zake chumbn bila hata kuniangalia,zee akasema iv umeamua kweli kuondoka nyumbn? nikamwmbia ebu achana na mm bana kwanza toka chumbn kwangu zee akaanza kucheka akasema lisa kanituma kwako, nikasema sitaki habari hizo na wala sitaki kujua kakutuma nn akasema sasa si uskilize na ww kwan kuskiliza ujumbe sh ngapi?, nikasema sitak sasa, nikaona anazingua nikatoka nje nikamuacha zee chumbn kasimama tu kama kapigwa na jini,nikiwa naelekea chin mana nyumba yetu ni gorofa msg ikaingia kwenye simu yngu nikafungua ilitoka kwa Arabella wangu😝nikatabasam kabla hata sijafungua sasa zee kumbe yupo nyuma yangu ananifata akasema heee unatabasam kisa msg?mmmhhh G umependa safar hii nn? ebu niambie nani huyo wifi mpya anaekutabasamlisha ww, nikamchek kimang'ati huyu vipo huyu nikasema ebu nikaushie bana, akaanza kupiga kelele anaita mamaaaa mamaaa mwanao kipenz anatabasam kisa msg imeingia kwenye simu yake, mama umepata mkwe huku ,hee huyu vipi huyu? nikamwona kavu sana huyu sister, mama akasema heeee kweli?mwanangu G njoo mwambie mama nani mwanamke mwenye bahati huyo mana najua sio lisa jmn, mm nikacheka tu nikaenda kukaa kwenye sofa hapo sijasoma msg yangu hata, nikatulia nikafungua msg yangu Arabella alikua ameandika " G pliz,naomba usiniache peke angu hapa,nakupenda mwenzio,nimekuzoea baki na mimi tafadhali,ukiondoka na mm nitarudi kwetu" Ile msg ilinisisimua nikaijibu fasta bila hata kufkiria nikasema "ombi lako kwangu ni sheria lazima niifate,siondoki nakupenda sana bby" Akajibu "Asante my love,nitakupa zawadi nzuri sana" Nikatabasam tena 😝nikawaza zawadi gan atanipa huyu mtoto tens jmn? Nikajibu "Asante baby,nasubiri io zawadi" Baada ya hapo hakujibu nafkir alikua busy jikoni huko ,lkn mm akili yangu ilikua inamuwaza yeye tu nachek simu kila muda nakuta holla hakuna msg, mtoto alinikaa akilini kama nini sijui nikaona kwa nn niteseke akat naeza mfata huko huko ,nikanyanyuka nikaenda jikon nikamkuta yuko busy mwenyewe anapika nikamfata kimya kimya nikamkumbatia kwa nyuma akastuka akageuka nikambusu mdomon akasema tutakutwa ww Gian jmn,nikamuachia nikasema nimekumis bby, akasema kwel nikasema sanaa leo usifunge mlango nakuja kupiga stor usiku sawa, akasema stor tu nikasema ndio bby au ww unataka nn tena ?😉akaacheka akasema sitaki chochote nitakusubiri nikasema sawa nikamkamata kiuno nikamvutia kwangu nikamwambia Arabella umenipa nn wewe mtoto?mbona kama sijisomi ivi kwako?akacheka sana akasema mm pia najiuliza umenipa nn wewe mana sijielewi kabisa, katoto kana maneno matam haka 😁nikamkumbatia nikasema nakupenda sanaa arabella sijawahi mtamkia mwanamke yoyotehili neno zaidi ya mama yangu mzazi,hili neno nalitamka na kwako,ara akasema huku akirembua macho yake mazuri 🏂asante bby nakupenda zaidi,nikamuachia akaendelea kupika nikarudi zangu seblen, zee akasema ulienda muona mdogo wako akipika, nikasema yah kwani kuna tatizo au unateseka? akasema hapana jmn nimeuliza tu hee,mi nikakausha tu,ara aliandaa chakula wote tukaenda mezan kasoro yeye alikua hali pamoja na sisi,siku zote anslia jikoni kitu ambacho sikupenda kabisa,mie nikala kidogo nikasema nimeshiba nikatoka na sahan yangu hadi jikon nikakuta arabella amesimama kwenye meza ya jikon anakula nikaumia nikachukua sahani yangu nikamimina chakula changu kwenye sahani yake akasema vipi tena?nikasema tule wote na kuanzia leo tutakua tunakula wote, akacheka huku vishavu vyake vikionesha vishimo pande zote 😋,tukala tukashiba tukaenda seblen tukatoa wote vyombo, muda huo mama na baba wamepanda chumbn zee anaangalia muv hivo sikuonwa, Arabella alikua na tabia anaosha vyombo usiku ili kupunguza kazi za asubuhi nikamsaidia yeye anaosha mm nasuuza na kufuta yn kama sio mm vike 😊tulipomaliza zee nae alikua ashapanda juu kulala mie na Arabella tukaenda chumban kwake,Arabella alikua analala flo ya chini kwenye chumba cha wafanyakazi,nikaenda chumbn kwangu nikafunga mlango na funguo nikashuka kwa ara,nilivoingia hakuepo nikajiuliza kaenda wapi sasa mana kote taa zimezimwa nikaskia maji bafuni kwake nikajua okay kumbe kaenda oga,nikajiwazia sijui nikamchungulie mana nina taman sana kumuona akiwa hajavaa nguo kabisa huyu mtoto mzuri, lkn najizuia mana sitaki muharibia maisha mana nampenda, ivo nikajikaza nikajilaza kitandani kwake akatoka bafuni amevaa taulo fupi ivi,mtoto anamapaja manene kiuno chembamba tako kubwa limekaa vizur amebenuka mtoto wa kike matiti yake mazuri ya mviringo yamejaa chuchu zimechomoza uso wake mzur na vidimpoz vyake mashavu yote nilipoteza uelewa muda huko, mtoto huyu haogopi simba jmn, nikawa namwangalia huku nantanani balaa mara akasema bby mbona unaniangalia ivo jmn?nikasema we mzuri sana ara sijui kama nitaweza kuvumilia aisee akacheka akasema shida nn lkn?nikasema ara usiniamini mm nakupenda na nilikuambia usinipe mapenzi kwa sasa,ara akacheka akasema bby mm sina uelewa sana juu ya mapenzi lkn kama nipo moyoni hata nikikupa sa iv hapo naamini huwez niacha lkn kama sipo moyoni hata nikupe tukizeeka utaniacha tu, mtoto aluongea point nikasema kweli eeh akasema ndio,afu bby njoo basi unifute nikasema mtoto anabalaa huyu m namhurumia yy analeta ujuaji atachapwa nao huyu shaur ake,nikanyanyuka 🍆limetengeneza mtuno wa haja kwenye trak yangu kwa mbele nikamsogelea akadondosha taulo akabaki mtupu mtoto anamwil kama sumaku mwili mzuri nilixidi changanyikiwa kabisaaa alikua kama alivozaliwa mbele yangu, mtoto chini Hana nywele hata kidogo msafiiii hata haioneshi kama amenyolewa sana ,nikajikaza nikaokota taulo nikaanza mfuta anajipinda pinda nikamfuta kwa tabu sana nateseka nikamaliza kwa juu akageuka nikaanza mfuta huku natetemeka yy anajinyonga tu nikashindwa jizuia nikamkamata kiuno taulo nikatupa chini akastuka bby vip nikamgeuza nikaanza sikujibu kitu ashanitibua hapo niko serious hata simskilizi nilimlaza kitandani nikaanza kumshika kila. Mahali, yeye amefumba macho tu anaskia raha nilitumia muda mrefu sana kumchezea ara akawa anaguna tu najua namkoleza sasa, akasema bby nakupenda nikamjibu nakupenda pia, hapo nishasahau kama ni house Gal wetu mie naona ni bonge la demu,nilizama hadi chumvini wakati sikuwahi fanya ivo kwa mwanamke yoyote, nilivoona yupo tyr nikatoa nguo zangu sasa nikabaki Mtupu ara akaniangalia alivoona mashine tu alitoa macho 😳akastuka afu akanyanyuka akakimbilia bafuni akajifungia nikacheka 😂mi sikupanga kabisa kufanya nae chochote nataka mwenyewe afu anakimbia tena jmn 😂niliona huruma na nikajiskia kucheka sana... Itaendelea

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA

Mpya zaidi Nzee zaidi

Ads related

Smartwatchs