NDEFU ALAFU IMEPINDA🫦

NDEFU ALAFU IMEPINDA🫦

SEHEMU YA 01~10

Ep 01 Asubuhi nyingine niliamka nikiwa na uchovu mwingi Sana nilitazama pembeni yangu nilimuona mume Wangu kalala nilimtazama Kisha nikageuka upande mwingine na kuchukua simu yangu niliwasha data na kuingia whatsap na kukuta voicenote bila kupoteza mda nilichukuwa earphone zangu na kuxikiliza ujumbe uliotumwa alikua denis akiimba sauti yake tu ilitosha kunipagawisha mtoto nikajikuta nalegea Kama tembele lilipikwa kwa mda mrefu.

Denis alikua kijana mrefu wa wastani ngozi yake ya chocolate iliyong'a hakua mnene wala mwembamba alikua wa wastani tu nilikutana nae kwenye duka la nguo nikiwa na mume wangu tukifanya shopping nilipomuona kwa mbali moyo wangu ulishtuka ghafla nikajikuta namtazama tu nilimtazama kwa muda kidogo ndipo na yeye akageuka tukakutanisha macho yetu aliniangalia Kisha akatabasamu kwa mbali niliona mwanya wake uliokaa vizuri kwenye meno yake Kisha akanikonyeza loo!!! Mtoto wa watu kidogo nidondoke kwa kukosa nguvu Mana sio kwa konyezo hilo nikajikuta nashikwa na aibu na kuangalia pembeni mda wote huo mme wangu alikua bize akichagua tu nguo bila kupoteza mda nilipiga hesabu haraka haraka nikageuka kumwangalia mme wangu Kisha nikamdanganya kunamahali naenda Mara moja Kisha nikatoka na kumfuata Denis """ samahani Kaka naweza kupata namba yako namaongezi na wewe. Nilikwambia baada ya kufika huku namtazama chini kwa aibu alitabasamu tu Kisha akaniomba simu yangu na kuandika nilitabasamu nami nikamkonyeza kichokozi Kisha nikarudi alipo mme wangu na hapo ndipo uhusiano wetu ulipoanzia na Denis

"""" Lilian mke wangu asubuhi yote hi umeshashika simu?" "" Jamani Derick nilikuwa napita pita tu mtandaoni Mara moja "

""sawa Ila Leo nataka kuwahi kazini naomba uniandalie maji ya kuoga

"" sawa chochote kwa ajili yako mme wangu. nilinyanyuka nikawa nashuka kitandani lakini Derick alinishika mkono

""Cha asubuhi mke wangu nichangamshe damu"". nilimtazama kwa hasira 😏😏Kisha nikamkubalia kishingo upande Basi akaanza Mambo yake sikutoa ata ushirikiano akili yangu ilimuwaza tu Denis alipambana mwenyewe Kisha akamaliza nilienda kuoga maji ya baridi nikiwa na hasira tu.

""""miaka yote hi ananitumia tu Hamna Cha mimba wala nini. niliongea mwenyewe bafuni Kisha nikatoka baada ya kumaliza nilienda chumbani na kuanza kuvaa nguo mda wote Derick alikua akinitazama tu niligeuka na kutabasamu kinafki Kisha nikaenda jikoni kumuandalia maji ya kuoga na chai.

Naitwa Lilian leornad no mtoto wa tano kwenye familia yetu elimu yangu ni kidato Cha nne tu niliolewa na Derick miaka miwili iliyopita Sina kazi yoyote ni mama wa nyumbani tu mume wangu anafanya biashara ya kuagiza magari nje ya nchi na kuja kuuza Tanzania alinioa kutokana na shinikizo la wazazi wangu kiumri amenipita miaka mitano wakati ananiona nilikua na miaka ishirini tu na yeye alikua na miaka ishirini na tano ananipenda Sana na kunijali naishi Kama malikia kipi nitake nisipate uzuri wangu wa rangi nyeupe umbo langu zuri ndo vinamfanya anipende Kila siku Ila miaka yote hiyo hatukuwai kupata mtoto pia. Nmejikuata nikimpenda Sana Denis kuliko mme wangu.

Maisha yangu yote yalikua ndani tu mume wangu hakuniruhusu nitoke toke nje bila ruhusa yake nilikua nakereka sana kila ninapotaka kwenda lazima nimtaarifu au nisubiri aje anipeleke sikua na uhuru wowote.

Nilianza vijikazi vya ndani asubuhi ile nikaenda jikoni kumuandalia derick maji ya kuoga nilifanya ili kumrisha tu mme wangu na wajibu kama wa mke ndani ila akili yangu na nafsi yangu havikua pale.

Maji yalikua tayari nilimpelekea bafuni Kisha akaoga wakati naenda jikoni simu yangu ikaita nilimtazama namba inayopiga ilikua nimeseve DDD nilitabasamu Kisha Nilipokea huku nasogeza vitu jikoni alikua Denis

SEHEMU YA PILI

Maji yalikua tayari nilimpelekea bafuni Kisha akaoga wakati naenda jikoni simu yangu ikaita nilimtazama namba inayopiga ilikua nimeseve DDD nilitabasamu Kisha Nilipokea huku nasogeza vitu jikoni alikua Denis

SONGA NAYO 👇👇

"""hallow honey ndo unaamka jomon"??

Ndio mpenzi vipi wewe umeamkaje?"

""Salama kipenzi nipo namuandalia Derick chai""

""usiseme hivyo unanifanya niwe na wivu natamani Mimi ndo ningekua nasubiri uniandalie"""

"" usijali mpenzi baadae nitakuja nikupikie chakula honey"""

""kweli mpenzi??"""

""Ndio honey"""

Nilijibu Kisha nikakata simu baada ya kusikia Derick akiniita nilikasirika na kubinua mdomo Kisha nikaenda kumsikiliza alikua akisubiri nimvalishe tai nilikasirika Kisha nikamvalisha hivyohivyo akanibusu kwenye paji la uso na kunambia.

""" Asante mke wangu nakupenda

"""" Niko kwa ajili yako darling.

Nikamjibu Kisha nikatoka kuelekea jikoni kumalizia kuandaa chai nikaeka mezani na kumwita Derick aje kunywa chai nami nikaungana nae bada ya hapo nilimsindikiza hadi mlangoni nikamuaga akanibusu shavuni Kisha akapanda gari na kuondoka nilimsindikiza kwa macho tu.

Nilirudi zangu ndani nikachukua simu na kuanza kuchati na Denis na kuekeana ahadi ya kukutana siku hiyo nilimalizana nae Kisha nikaanza kufanya kazi ndogondogo baada ya hapo nikaoga nikajipodoa mtoto nikapodoka nikajitazama kwenye kioo mpaka nikajitamani mwenyewe🙊 Kisha nikachukua pochi yangu nikatoka nje nikakutana na mlizi nikamuaga nikachukua gari langu na kusepa.

Nilitumia nusu saa mpaka kufika kwa Denis alikua kapanga self yenye chumba,seble,kodro,jiko na choo nje kulizungushiwa ukuta wa kawaida tu Ila hakukua na geti niliingiza gari Kisha nikashuka na kufunga gari Kisha nikaingia ndani kulikua na utulivu Hadi nikashangaa nikaanza kutembe taratibu kuelekea chumbani Mara nilishikwa nyuma kiunoni niligeuka na kukutanisha macho na Denis mtoto niliishiwa nguvu alivyotabasamu tu na kunibusu😋😋 """karibu mke wangu """ Asante kipenzi "" yaani ndo unaamka ata ujaoga na hata unafanya usafi """ nilikua nakusubiria tu wewe mke """ ayah bana ngoja nikakupikie chai afu tukaoge wote. Nilimwandalia Kila kitu Kisha nikapeleka maji bafuni tukaenda kuoga bafuni kulikua vurugu mechi sio kwa michezo hiyo tulimaliza tukaenda chumbani kufanya mambo yetu🙈🙈 jamani Denis alikua hodari kitandani alinichosha balaaa acha tu mme wangu hakumfikia ata robo mtoto nilihkua hoii na penzi lake jamani miee Denis aliniweza. Tulimaliza Kisha tukaenda kuoga tena na kwenda kunywa chai ilikua sa Saba tulikaaa tukapiga story mda mrefu uku michezo ya kimapenzi ikizidi nilikuja kushtuka mda umeenda nikamuaga Denis Ila alikua ataki niondoke nilimbembeleza tuakaagana na mabusu mengi nikaondoka zangu. Njia nzima nilikua namuwaza tu Denis nakujikuta natabasamu. """" uko wapi mpaka saivi. ni message nilisoma alikua mme wangu nikabaki nimeshanga na mapigo ya moyo yakaanza kudunda sikumjibu nikazidisha spidi ya gari nikiwa na mawazo nitaenda kumwambia nini.....

SEHEMU YA TATU

Nusu saa baadae niliwasili nyumabani na kupiga honi geti likafunguliwa nikaingiza gari nikashuka nikiwa na wasiwasi nikaelekea hadi sebleni nilimkuta derick kaka uku kainamisha kichwa kama anawaza kitu fulani niliingia na kufunga mlango kelele ya mlango ndo ilimfanya ashtuke na kuangalia mlangoni. ""umetoka wapi?. Ndo swali la kwanza kuniuliza nilishindwa nijibuje alisimama na kunisogelea akiwa na hasira. """ umetoka wapi mke wangu?."Aliuliza tena ila nilikua kimya tu nilishtuliwa na Kofi shavuni ""nakuuliza umetoka wapi?. Aliongea kwa hasira """" derick umenipiga?. Niliuliza huku nikilia kana kwamba nimeonewa. "" kwani sina ndugu mji huu au sina wazazi mji huu """ niliongea huku nikizidisha kilio """ nisamehe mke wangu. Nilisikia sauti ya derick ikiniambia mtoto mie nikazidisha kilio zaidi. """ liliani mke wangu nisamehe ni wivu wangu na kukupenda tu nilijua umeenda kwa.mwanaume mwingine. derick alinambia huku akinikumbatia nilitabasamu. ""Nimekusamehe Mme wangu nilienda kumsalimia Dada tu. """ sawa mke sitarudia tena """ vipi mpenzi umefika?. Ilikua na msg kutoka kwa Denis niliisoma kisha nikafuta sikutaka kumjibu kwa mda ule niliamua kwenda jikoni kumuandalia derick chakula """"" mhh mwanaume huyu ana wivu sana jamani MTU mwenyewe hata hana uwezo wa kunipa mimba. niliongea mwenyewe nikiwa jikoni napika. """ Ila Denis fundi jamani .nilijikuta nacheka mwenyewe nikimkumbuka tu Denis . """ mbona unacheka mwenyewe? . """ hamna ata nmekumbuka tu kitu nilajikuta nacheka mwenyewe. """ nini hicho. """ ahh ahh ahh """nini hicho nambie basi. safari hii mikono yake ikiwa kiunoni mwangu """ ahh nakumbuka siku ile. """ Siku IPI? """ Si siku ile tulio funga ndoa. ""Jamani mke wangu ndo unacheka mwenyewe ""Ndio mme wangu. Tulipika wote jikoni ila akili yangu haikua pale nilikua nikimuwaza tu Denis mda wote nilitamani niongee nae ata kidogo mda wote derick alikua kaniganda mpaka nikapata asira yani sikua ata natamani kumuona. ""Tayari twende tukale ""Sawa mke wangu leta nikusaidie. Tuliongozana mpaka sebleni na kutenga chakula tulikaa na kuanza kula mme wangu alikua akinilisha ila nilikua nahisi kinyaa ata kumtazama ila nilijikaza na kuendelea kula Simu iliita niliangalia ni DDD mme wangu nae aliangalia alishindwa kuelewa. ""DDD ndo nani ""Ahh mme wangu na wewe ni dada ""Ndo unamsev DDD ""Eeeeh ""Mmmh aya mbona umpokelei sasa ""Nitampokelea tu usijali ngoja tumalize Kula kwanza. Tulimaliza Kula na kwenda chumbani kulala tulienda kuoga kwanza lakini kila mda Denis alipiga simu adi nikawa najihisi vibaya baada ya kutoka kuoga tulipanda kitandani ghafla simu ikaita kuangalia ni Denis ""Uyo mtu anapiga tangu mda si umpokele """Aaah anasumbua najua tu anataka ela ""Pokea sasa umwambie. Nilipokea nikaanza kuongea ""Dada nitakutumia kesho saivi usiku si unaona Niko na shemeji yako kesho akitoka tu nitaenda kukutumia wakala. Nikakakata simu na kuizima kabisa mme wangu alikua kimya tu akinitazama alinivuta kwake na mambo ya usiku yakafata sikua naenjoy ata niliona ananchosha tu sikua na hisia nae ata kidogo nilifanya ili kumridhisha na matakwa ya mke basi nilijihisi kinyaa sana sijui kwanini ila penzi la Denis lilinichanganya sana tena sanaa na kumuona mume wangu ananichefua tu. ITAENDELEA.. Full shilingi 1000 SEHEMU YA NANE ________________________________________ Nilipanda kitandani na kulala mwili wangu ulikua umechoka sana tu nililala kwa mbali nilisikia sauti ya mume wangu akiongea na mdogo angu usingizi nao ukaja haraka. Nilishtuliwa na kelele za tv nikafungua macho chumbani palikua na giza sana nikajikongoja adi kwenye swetch na kuwasha macho yangu yalitua kwenye kochi na kumuona derick kalala. Hakua ata amebadilisha nguo alivyotoka kazini ndio hivyohivyo kwa hasira niliamka na kumtoa soksi nikiwa na maumivu makali sanaa Mwili wangu ulizidi kuimarika siku adi siku kwa bahati nzuri mume wangu hakujua kitu Denis nae alizidi kunipenda nikajiona malaika. Kidogo kidogo nikaanza kupunguza mapenzi kwa mume wangu nilimchukia sana na kuniona ananipotezea mdaa tu nilitamani mda mwingi niwe na derick tu akili yangu ni kama nililogwa sikutamani ata kua nae mbali ata kwa dakika chache. Nakumbuka juma mosi moja nilitoka na gari langu pamoja na mdogo angu tukaelekea kufanya manunuzi tukiwa njiani nilimuona mume wangu kwa mbali akiwa na mwanamke roho yangu iliniuma sana bila kuuliza niliahirisha kwenda sokoni na kuamua kuwafata ""Dada vipi mbona unaenda njia nyingine ""Wewe ujamuona shemeji yako yuko na mdada mwingine ""Ndio dada lakini labda ni mfanyakazi mwenzake ""Atakama ndo wacheke vile ""Dada jamani kwani watu wakicheka kuna shida gani ""Hapana itakua ni MCHEPUKO wake ""Dada bana acha imani hizo ""Wewe unaona simple kwa sababu bado auko kwenye ndoa ""Ni kweli lakini mimi namjua shemu hawezi fanya hivyo ""Embu kaa kimya Niliwafatilia mpaka kwenye hoteli moja wakashuka na kuingia nami nikashuka kuwaangalia niliwaona wanaelekea ndani hasira zilinishika nikawafata walipita mapokezi na kuulizia chumba sikumsikia vizuri walichoongea wakaelekea juu nami bila kupoteza mda nikawafata mda wote Joan alikua kimya tu Niliona chumba walichoingia bila kupoteza mda nami nikaingia ""Hivi wewe mwanaume ndo nini unafanya Denis ni kama alishanga kuniona pale ""Nakuuliza wewe ""Mke wangu umefikaje apa ""Wewe unafikiri dunia ndogo ""Lakini mke wangu sio kama unavyofikiria ""Sitaki maelezo na wewe kahaba umekosa mabwana mpaka umfate mume wangu Nilianza tukana nilimtukana yule dada mpaka akaanza kulia wakati naendelea kutukana nilishtuka kofi usoni lilinitoa wenge niligeuka kutaza alienipiga ni mtu ninae mjua ""Aliekupa ruhusa ya kumtukana mke wangu ni nani ""Shemu Kelvin🙄🙄 ""Umevuka mipaka sasa ""Lakini shemu sikujua kama ni mkeo lakini anafanya nini na mume wangu ""Ungeuliza Hilo kabla ujaanza kutukana Niliishiwa pozi Kelvin alimfata yule dada na kuanza kumbembeleza ""Polee mke wangu mimi ndo mwenye makosa sikupaswa kufanya suprise uku na sikupaswa kumwambia derick akulete Uso ulinishuka kwa aibu Joan alinitazama tu.akabaki kimya nami nilisogea kuomba msamaha ""Nisamehe shemu ""Kabla ya kuchukua hatua uliza kwanza ""Nisamehe shemu wangu ""Muombe msamaha kwanza mumeo Apo kwnye kumuomba msamaha derick palikua pagumu ila kwa kuondoa tafrani niliamua kuomba hivyohivyo derick alinielewa tukaondoka Njia nzima nilikua kimya tu derick nae alikua kimya tu mpaka tunafika nyumbani hamna alimuongelesha mwenzake niliingia ndani kwa hasira ""Kwahiyo wewe ndo mpeleka watu kwa mabwana zao ""Heee nikajua yameisha kule kule ""Bado ndo tunaanza ""Sina hiyo mood kwa sasa kuzungumzia mambo yaliopita ""Kwahiyo mimi kudhalilishwa vile umeona raha ""Kwahiyo wewe kumdhalilisha mwenzako umeona raha ""Anatembeaje na waume za watu ""Lilian please embu niache basi Derick kwa hasira aliondoka zake ""Unarudi uko tena eeeh kwa kahaba wako Hakijibu kitu akaondoka zake Roho iliniuma utafikiri nafanyiwa kosa niliwaza kwanini niumie hivi wakati simpendi derick nilijitazama kwenye kioo na kujiona Nina hasira kuliko niliondoka kwa hasira kwenda kwa Denis Nikiwa nakaribia nilimuona Cleopatra akitokea kwa Denis moyo wangu ulipiga paaa alikua amependeza kuliko karembo wake uliwafanya vijana wote wamtazame nilishindwa kuelewa jion hii Cleopatra anafata nini kwa Denis Nilipiga honi akageuka aliponiona kama alishtuka hivi ""Vipi cleo unatokea wapi ""Aaaah wifii nii ""Nini """Usimwambie kaka lakini ""Nini hiyo ""Kuna mkaka alinitongoza sasa alitaka tuonane ndo nmetokea apo ""Ooooh sasa mbona uku ni kwa kaka yako akijua ""Hawezi jua usimwambie. Mara simu ya cleo ikaanza kuita ""Hallow kaka nataka kuja ila Niko na wifi apa Sikusikia alijibu nini ila simu ikakatwa ""Wifi wewe nenda ""Si tunaenda wote ""Hapana kaka kasema nije kesho ""Oooh Ayah kwaheri Niliondoka mpaka kwa Denis na kumkuta kalala ""Vipi unaumwa ""Hapana siumwi ""Wakati naangaza macho yangu yakatua kitandani na kuona saaa ya kike ""Ile saaa ya nani """Aah Ahh ahh ya kwako nimekununulia ""Wao asantee mpenzi Upendo kwa mume wangu ukaanza kutoka kabisa sikutaka ata kushiriki nae tendo la ndoa nilikua nilihisi kinyaa kila alipotaka kushiriki na mimi nilitoa sababu zisizo na maana na derick alielewa Miezi nayo haikusubiri kila mara nilikutana na Denis hakuchoka kunipa penzi lake alizidisha njonjo kila tukikutana akiwa na shida ya hela sikusita kumpa nilikua tayari kumdanganya mume wangu ili tu nipate na kweli nilifanikiwa kumpa anachotaka kwa wakati. ITAENDELEA... Full shilingi 1000 SEHEMU YA TANO _______________________________________ Bila kupoteza mda niliamua na mimi kutumia Denis alinitumia ujumbe wa kushukuru na kunambia ananipenda sikuzote nilifurahi sana na kujiona mshindi . Siku mbili kupita mdogo angu alirudi kutoka kijijini na kufika kwangu uwepo wake ulinipa matumaini sana na kujiona nitapata uhuru. Nilimwelekeza kila kitu pale nyumbani. ""Mmmh dada mume wako anakupenda ""Kwanini Joan ""Huoni kila kitu unacho ndani nyumba nzuri pia ""Kawaida mdogo angu mbona ""Nawe umpende jamani ""Usijali nampenda sana. Tulipika tukala na kuanza kupiga stor mbilimbili kisha nikaenda zangu chumbani kwangu nilichukua simu yangu na kukuta misdcall nyingi za Denis niliamua kumpigia. ""Mbona unakua hivyo ""Kwanini mpenzi ""Nakutafuta masaa yote uko kimya tu ""Aahh nilikua sebleni ""Mama yangu kalazwaa lilian alafu sina ata ela mpenzi ""Polee ila siko vizuri saivi """Lilian mama yangu yule bila yeye usingenijua ""Lakini Denis saivi sina pesa juzi si nilikupa ""Ndio ila nimeshaitumia kwenye ile biashara ""Mmmh . Nilisikia sauti ya kilio cha Denis moyo uliumia sana nikajikuta nami machozi yananitoka nilishindwa nifanyaje ila nikapata wazo. ""Embu subiri usilie sasa mpenzi ""Sawa ila nisikusumbue lilian ""Hamna shida ""Sawa nasubiria '""Sawa kua makini ngoja nijitahidi kupata ""Sawa mpenzi. Nilifikiria mda kwenye account yangu kulikua na ela bila kupoteza mda niliamishia laki tano kwenye simu na kumtumia yotee Denis . Dakika tano simu ilipigwa na denis akinishukuru nilimpa pole tena na kukata simu nilijikuta nakosa amani nilitamani niwe karibu na denis nikimfariji nikakumbuka kilio chake mwili ukakosa nguvu nikaamua kumpigia. ""Vipi mpenzi naweza kuja kukupa kampani ""Usijali lilian Niko na mdogo angu wewe Baki tu nyumbani mumeo asije kukuhisi vibaya ""Ata akinihisi siwezi kuona unaumia ""Niko na mdogo angu usijali ""Sawa kukiwa na shida basi unambie ""Sawa mpenzi. Siku mbili zilipita Denis alikua kimya wala simu yake aipatikani niliingiwa na wasiwasi nikaamua nimfate kwake . ""Dada unaenda wapi ""Haikuhusu ""Sawa lakini shemu kapiga simu anarudi mapema ""Sichelewi. Niliwasha gari na kuondoka nikiwa nakaribia kufika kwa Denis nilimuona Denis akiwa na mwanamke wanatembea uku wanacheka Niliendesha kwa kasi adi mbele yao macho yangu yakatua kwa Denis na yule binti . Nilimtazama yule binti alikua mzuri sana mdogo mdogo kiumri nilimpita alikua mdogo kwangu macho yake ya duara kidogo lipsi zake zilizojichonga vizuri mdomoni kichwani alikua kasuka mabutu makubwa ya Rasta chini alivaa jinsi iliyompwaya kidogo na miguni kava raba nyeusi alibaki akinitazama tu. Nilishuka kwenye gari nikiwa na hasira na kumfata denis alikua akinitazama tu . ""Mambo Denis ""Pouh mpenzi vipi Nilishanga kidogo kwanini Denis aniite mpenzi mbele ya yule mwanamke au sio mwanamke wake ""Hee Denis mbona ujanitambulishaga ""Oooh nilisahau ""Anyways anaitwa lilian ndo wifi yako ""Mambo lilian ""Poa za kwako ""Salama tu. ""Lilian uyo anaitwa Cleopatra ni mdogo wangu '""Oooh nafurahi kukujua wifi yangu '""Mtataongea zaidi siku mkikutana tena ""Hamna shida ""Ngoja nimsindikize kidogo anarudi chuo ""Sawa. ""Nitakuta nyumbani ""Sawaa Niliwasha gari na kuelekea kwa denis hapakua ata mbali nilipaki gari na kuingia Niliingia ndani nyumba ilikua safi hatari kama kuna mwanamke alikua anaishi nilijisogeza adi kwenye kochi na kujitupua mda huo huo akaja Denis alikuja adi nilipo na kuanza kunipapasa mapaja. ""Nyumba leo safi ""Ahh mdogo angu ndo kafanya ""Sawa vipi mama ""Ajambo kabisa kapona ""Sawa mimi nilikuja kukuona mana simu zako hazipatikani """Oooh nilisahau kukwambia niliuza simu ""Kwanini """Hela haikutosha hospitali ""Sasa si ungenambia ""Sikutaka kukusumbua """Mmmh aya mimi kaondoka '""Haunipi haki yangu ""Hapana kesho ""Kwanini sasa ""Mume wangu anarudi mapema. Denis hakusema neno tena nilisimama na kutoa elfu hamsini na kumpa kisha nikasepa zangu nikiwa njiani nilimuona mume wangu na mdogo angu. Sikuwajali sana nilinyooka na gari kama sijawaona adi nyumbani nikiwa njiani nakaribia nyumbani nilimuona Cleopatra nikashanga huku anaenda wapi nilipiga honi akageuka nikamuita. ""Unaenda wapi wifi ""Ah ah apo mbele kuna nyumba ya rafiki yangu inajengwa ndo naenda kumfata uko ""Sawa ngoja nikupe lift ""Sawa ""Ila Denis alinambia unarudi chuoni ""Ndio ila usimwambie kama tumekutana ataki niwe na marafiki ""Kwanini sasa ""Mimi sijui. Nifika adi nje ya nyumba yangu. ""Mimi ndo naishia hapa ""Oooh hapa ndo kwako ""Ndio ndo kwangu ""Sasa mbona ni jirani na rafiki yangu ""Heee kumbee ""Ndio tazama ile nyumba pale inayojengwa. Nilitazama ilikua nyumba kubwa nzuri ilikua bado aijamalizika lakini bado ilivutia. ""Wow nyumba nzuri sana inaonekana rafiki yako anaela ""Hamna ata anahongwa na mtu wake anajenga ""Hee tena anahongwa ""Ndio ""Ahh tuachane na hayo vipi hauingi ata kwangu ""Mmh siku nyingine ninaharaka leo ""Sawa wifi. Nilichukua pochi na kumpa elfu ishirini alikua anakata ila nikambembeleza akakubali nilipiga honi nikaingiza gari ndani ila kama nilihisi kitu. ITAENDELEA.. *NDEFU ALAFU IMEPINDA🫦* *SEHEMU YA 06~10* _______________________________________ SEHEMU YA 06 Nilitoka adi nje ya geti na kuchungulia nilimuona Cleopatra akiwapa maagizo mafundi nilitaka nikamuulize kwanini yeye ndo awape maagizo na rafiki yake yuko wapi kabla sijatoka niliona gari la mume wangu nikaamua nirudi tu ndani. Nilirudi ndani na kukaa kwenye kochi aliingia mume wangu na mifuko mkononi kisha akafatia mdogo wangu alinisalimia na kupitiliza ndani. ""Vipi mke wangu ""Safi tu ""Dada ajambo ""Ajambo anawasalimia ""Oooh sawa msalimie japo ujawai kunitambulisha ""Usijali nitakuja kukutambulisha. Joan alitoka chumbani na kuelekea jikoni alianda chakula na kutenga mda wote nilikua bize tu nachat na denis mume wangu alikua anaangalia mpira. Mdogo angu alitukaribisha chakula tukasogea ili tule . Tukiwa mezani mdogo angu akianzisha mada. ""Dada ivi ukawa labda na mpenzi au mume alafu ukamcheet na mtu mwingine utajisikiaje. Nilishtuka adi nikapaliwa na chakula. ""Kwanini umeuliza hivyo shem ""Hamna ata kuna tamthilia nafatiliaga sasa ndo nikaona ""Oooh kumbe ""Kama ni wewe shem ukajua mkeo anakusaliti utafanyaje """Mmmh sitafikiria mara mbili nampa talaka ""Anhaaa ""Ndio ila najua mke wangu hawezi. Mda wote nilikua kimya tu nikiwasikiliza nilimtazama mdogo angu kwa jicho kali adi akajishtukia na kuinama chini . Tulimaliza Kula sikutaka kuvumilia nilimfata mdogo angu jikoni. ""Naona ushakua mpekuzi wa mambo yangu ""Unamaanisha nini dada ""Usinifanye ujui ulichokiongea ""Kwani nimekosea si ukweli ""Wewe inakuhusu nini ""Lakini dada sio vizuri kaka wa watu akijua ""Atajua mwenyewe kwanza simpendi ""Sasa si achana nae tu ""Bado kwanza mda wake ujafika ""Mhhhh ""Naufunge mdomo nikikusikia tena kijijini kunakuhusu. Nilienda chumbani na kumkuta derick kakaa kitandani nami nilimfata alikua kimya tu kajilaza . ""Kuna shida mbona kama hauna amani ""Nikosawa mke wangu ""Au kazi zinakusumbua ""Hapana ata ""Shida nini sasa mme wangu ""Najua mimi ndo mwenye makosa mke wangu ""Unamaanisha nini ""Nimeshindwa kukupa mtoto ""Jamani derick mungu ndo mtoaji wa kila kitu ""Naogopa ipo siku utaniacha lilian ""Siwezi kukuacha mume wangu. Derick aligeuka upande mwingine nilimuangalia nikajikuta natabasamu nilimuona kama mjinga kwa mbali nilisikia kilio alikua analia cheko😂😂 likanijia ikabidi nijizuie nami nikatafuta machozi ya uongo. ""Usilie mme wangu nami utaniliza ""Lakini nashindwa kukupatia mtoto lilian ""Nmeshakwambia derick ni mipango ya mungu ""Kwanini mungu kanipa adhabu hii mimi ""Usiseme hivyo utamkufuru mungu ""Sio hivyo lilian nami nahitaji faraja ""Ipo siku mungu atajibu maombi yetu. Nilimwambia huku natabasamu moyoni niliona mlango uko wazi wa kuachana na derick. Derick aligeuka upande wa pili na kunitazama macho yalikua mekundu kwa kulia alisogea adi nilipo na kujilaza miguuni pangu uku machozi yalizidi kumtoka hazikupita dakika alipitiwa na usingizi. Nilimsogeza mpaka kwenye mtoo kisha nikashuka kitandani na kuchungulia dirishani macho yangu yakatua kwenye ile nyumba iliyokua inajengwa kwa mbali nilimuona Cleopatra akiwapa maelekezo mafundi nilijaribu kutazama kama nitamuona uyo rafiki yake ila sikumuona niliamua kutoka ili nikamuulize. Nilishuka ngazi adi sebleni na kumkuta joan anacheka huku anatazama simu yake sikumjali nilitoka adi nje kabisa na kuelekea kwenye ile nyumba niliwakuta mafundi wanajenga walikua bize sana. ""Habari zenu nawaona mko bize sana ""Ndio dada mwenye nyumba anahamia wiki mbili zijazo ""Yuko wapi mwenye nyumba ""Yaani kaondoka sasa hivi ""Oooh kuna mdada nilimuona apa yuko wapi ""Oooh Cleopatra ""Ndio ""Ameondoka na yeye mida hihii. Nilipiga hatua kuingia ndani ya ile nyumba nilitazama kila mahali nikiwa natembea tembea niliona kibao kimeandikwa D$C HOUSE nilijiuliza kina maana gani D ni nani na C ni nani nilibaki na maswali kichwani. Nipotezea na kuondoka zangu kurudi kwangu nilitazama juu ya gharofa nilimuona derick ananitazama niliingia zangu ndani na kukaa na Joan story zikaanza. ""Dada kuna mkaka bana nilimpendaga ""Ikawaje sasa ""Et anataka penzi ""Si umpe sasa ""Wewe nitampa mume wangu """Hahahah embu Joan usinichekeshe ""Kwanini ""Sasa hiyo bikra adi leo unayo ya kazi gani ""Ya mume wangu. Stori zilikua za mapenzi tu nilimuona mdogo angu mshamba kweli nilitamani nimshauri atafute bwana amtoe hiyo bikra anayoringia ila niliamini kwa kua yuko mjini basi si muda ata pata tu bwana . Nilikumbuka penzi is Denis mwili ulinisisimka nilitamani nilipate kwa wakati huo nilianza kujipapasa kujishika shika Joan alikua akinitazama tu ""Wewe dada unafanya nini ""Heeee nimezidiwa jamani ""Huna akili wewe. ""Utajua wewe """Kwanza nipishee Nilikua mjinga sana kwa penzi la Denis mda wote nilimuhitaji sana nilitamani ata niondoke usiku wa manane ila pingamizi alikua derick. Itaendelea..... Full shilingi 1000 SEHEMU YA SABA ______________________________________ SONGA NAYO Asubuhi na mapema niliamka nikiwa mchovu nilitazama uku na ila sikumuona mume wangu nilijiuliza kaondoka saa ngapi sikuwaza nilitoka adi sebleni na kumkuta joan anakunywa chai ""Chai tayari dada njoo tunywe ""Shemeji yako kaondoka saa ngapi ""Mmmhh kwani ayupo chumbani kwake ""Ayupo mbona """Mmh kwa kweli sijui Dada. Nilikaa mezani nikaanza kunywa na mimi chai nilikua nimechoka sana sijui kwa nini ila nilichoka sana nilikunywa kama kawaida ninavyokunywaga ila nilihisi njaa bado ikabidi niongeze Joan alikua tu akinitazama ""Mmmh dada leo vipi mbona unakula sana ""Ata Mimi nashanga sana alafu nimekua mchovu ""Unajisikiaje yaani "" njaaa sana mwili umechoka atari ngoja nikalale kwanza Nilisimama nikapiga hatua lakini nilihisi kizunguzungu na kubaki kwenye kiti ""Mbona kizunguzungu ""Hahahaha imo tayari ""Imo nini Joan ""Hamna kwani hukusikiaga ule wimbo wa AY na mimi mars unaitwa imo ""Acha utani basi ""Namaanisha una mimba ""Nini mimba ""Ndio mimba ""Hapana siwezi kua namimba ""Mbona ujafurahi si mnatafutaga mtoto na shem miaka mingi sasa mmepata ""Embu nyamaza. Niliongea kwa hasira na kutoka nilienda adi chumbani na kuchukua kipimo cha mimba nilikua navyo ndani nikaelekea bafuni kupima kweli nilikua na mimba nilikajikuta napata furaha ya ajabu nikatoka moja kwa moja adi nje nilienda nikachukua gari nikatoka safari ya kuelekea kwa denis ikaanza Nilifika mpaka kwa Denis na kumkuta amekaa njee alivyoniona alitabasamu na kunikaribisha ndani niliingia nikiwa na tabasamu ""Vipi mama mbona tabasamu hili ""Ndio Denis ninafuraha sana ""Furaha ya nini ":nipe maji kwanza ""Sawa Aliniletea maji ya baridi na kunipa nilikunywa taratibu kisha nikatazama ""Nina mimba yako ""Nini?? ""Nina mimba yako ""Hapana huwezi kua na mimba yangu ""Kwanini ""Kwasababu mumeo akijua itakuaje ""Hawezi jua ""Hapana lilian utanizalia ukishakua wangu ""Mmmh ""Ndio kwa sasa tutoe hiyo mimba ""Denis hakutakua na madhara ""Hamna madhara mpenzi we mwenyewe unajua mumeo hana uwezo wa kukupa mimba akijua itakuaje ""Akijua hamna shida naachana nae ""Hapana ngoja kwanza mambo yangu yakae Sawa ata ukiachana nae nitakua tayari kukuoa ""Wow Sawa ""Chukua hizi dawa unywe Nilipokea bila ata kujifikiria nilizinywa zote kwa pamoja nusu saa mbele tumbo likaanza kuwaka moto hazikupita dakika damu zikaanza kutoka maumivu Yalikua sio ya kawaida tumbo liliuma mpaka nikahisi nakufa Denis alikua pembeni yangu akinituliza aliniletea kindo cha maji na kunambia nikae bila ubishi nilika wewe maumivu yalikua zaidi ya mwanzo. Niliumwa kama lisaa lizima damu zilitoka za kutosha Denis aliniacha na kwenda dukani alirudi na pedi pamoja na matunda pia alinipa vidoge vingine nilimeza kidogo maumivu yakapungua nikala na yale matunda ila nilikua nimechoka sana . ""Pole mpenzi wangu ""Asante nataka kuondoka ""Utaweza kuendesha gari sasa ""Ndio nitajitahidi ""Au nikupeleke ""Hapana nitafika ""Usisahau Kula matunda kwa wingi ili damu irudi kawaida ""Usijali nimekuelewa Niliendesha gari taratibu mpaka nyumbani nikaingiza na kushuka nilitembea nikiwa na uchovu na maumivu bado kwenye tumbo akili yangu ilichoka kabisa nilijiona muuaji ila upande mwingine nilijiona nilichofanya ni sahihi nilitembea adi sebleni sikutaka kukaa nikaanza kupanda ngazi niende chumbani ""Dada mbona unataoka na damu ""Damu wapi ""Wewe ujione Niliinama kujitazama kweli damu zilikua zinatoka nilipiga hatua miguu ilikosa nguvu niligeuka kumtazama Joan alikua akinitazama tu nilijitahidi tena ila miguu iligoma. Nilishikwa mkono na mtu nilipogeuka alikua joan alinitazama kama mtu mwenye hasira ""Umetoa mimba dada ""Nani kakwambia nilikua na mimba ""Ulikua na mimba dada ""Shiiiiiiii ishia apo apo mimba ulinipa wewe Hakuongea kitu alinishika mkono na kunisaidia kupanda ngazi adi chumbani Aliingia bafuni na kufungulia maji alinifata na kunipeleka bafuni alifungulia maji ya baridi na kunisogeza maji yalitirizika adi mwilini kidogo nilipata ahueni nikatoka na kumwacha anafanya usafi bafuni nilisikia honi ya gari nikajua derick kashafika moyo ulipiga paaaah. Itaendeleea.a.. Full shilingi 1000 SEHEMU YA NANE ________________________________________ Nilipanda kitandani na kulala mwili wangu ulikua umechoka sana tu nililala kwa mbali nilisikia sauti ya mume wangu akiongea na mdogo angu usingizi nao ukaja haraka. Nilishtuliwa na kelele za tv nikafungua macho chumbani palikua na giza sana nikajikongoja adi kwenye swetch na kuwasha macho yangu yalitua kwenye kochi na kumuona derick kalala. Hakua ata amebadilisha nguo alivyotoka kazini ndio hivyohivyo kwa hasira niliamka na kumtoa soksi nikiwa na maumivu makali sanaa Mwili wangu ulizidi kuimarika siku adi siku kwa bahati nzuri mume wangu hakujua kitu Denis nae alizidi kunipenda nikajiona malaika. Kidogo kidogo nikaanza kupunguza mapenzi kwa mume wangu nilimchukia sana na kuniona ananipotezea mdaa tu nilitamani mda mwingi niwe na derick tu akili yangu ni kama nililogwa sikutamani ata kua nae mbali ata kwa dakika chache. Nakumbuka juma mosi moja nilitoka na gari langu pamoja na mdogo angu tukaelekea kufanya manunuzi tukiwa njiani nilimuona mume wangu kwa mbali akiwa na mwanamke roho yangu iliniuma sana bila kuuliza niliahirisha kwenda sokoni na kuamua kuwafata ""Dada vipi mbona unaenda njia nyingine ""Wewe ujamuona shemeji yako yuko na mdada mwingine ""Ndio dada lakini labda ni mfanyakazi mwenzake ""Atakama ndo wacheke vile ""Dada jamani kwani watu wakicheka kuna shida gani ""Hapana itakua ni MCHEPUKO wake ""Dada bana acha imani hizo ""Wewe unaona simple kwa sababu bado auko kwenye ndoa ""Ni kweli lakini mimi namjua shemu hawezi fanya hivyo ""Embu kaa kimya Niliwafatilia mpaka kwenye hoteli moja wakashuka na kuingia nami nikashuka kuwaangalia niliwaona wanaelekea ndani hasira zilinishika nikawafata walipita mapokezi na kuulizia chumba sikumsikia vizuri walichoongea wakaelekea juu nami bila kupoteza mda nikawafata mda wote Joan alikua kimya tu Niliona chumba walichoingia bila kupoteza mda nami nikaingia ""Hivi wewe mwanaume ndo nini unafanya Denis ni kama alishanga kuniona pale ""Nakuuliza wewe ""Mke wangu umefikaje apa ""Wewe unafikiri dunia ndogo ""Lakini mke wangu sio kama unavyofikiria ""Sitaki maelezo na wewe kahaba umekosa mabwana mpaka umfate mume wangu Nilianza tukana nilimtukana yule dada mpaka akaanza kulia wakati naendelea kutukana nilishtuka kofi usoni lilinitoa wenge niligeuka kutaza alienipiga ni mtu ninae mjua ""Aliekupa ruhusa ya kumtukana mke wangu ni nani ""Shemu Kelvin🙄🙄 ""Umevuka mipaka sasa ""Lakini shemu sikujua kama ni mkeo lakini anafanya nini na mume wangu ""Ungeuliza Hilo kabla ujaanza kutukana Niliishiwa pozi Kelvin alimfata yule dada na kuanza kumbembeleza ""Polee mke wangu mimi ndo mwenye makosa sikupaswa kufanya suprise uku na sikupaswa kumwambia derick akulete Uso ulinishuka kwa aibu Joan alinitazama tu.akabaki kimya nami nilisogea kuomba msamaha ""Nisamehe shemu ""Kabla ya kuchukua hatua uliza kwanza ""Nisamehe shemu wangu ""Muombe msamaha kwanza mumeo Apo kwnye kumuomba msamaha derick palikua pagumu ila kwa kuondoa tafrani niliamua kuomba hivyohivyo derick alinielewa tukaondoka Njia nzima nilikua kimya tu derick nae alikua kimya tu mpaka tunafika nyumbani hamna alimuongelesha mwenzake niliingia ndani kwa hasira ""Kwahiyo wewe ndo mpeleka watu kwa mabwana zao ""Heee nikajua yameisha kule kule ""Bado ndo tunaanza ""Sina hiyo mood kwa sasa kuzungumzia mambo yaliopita ""Kwahiyo mimi kudhalilishwa vile umeona raha ""Kwahiyo wewe kumdhalilisha mwenzako umeona raha ""Anatembeaje na waume za watu ""Lilian please embu niache basi Derick kwa hasira aliondoka zake ""Unarudi uko tena eeeh kwa kahaba wako Hakijibu kitu akaondoka zake Roho iliniuma utafikiri nafanyiwa kosa niliwaza kwanini niumie hivi wakati simpendi derick nilijitazama kwenye kioo na kujiona Nina hasira kuliko niliondoka kwa hasira kwenda kwa Denis Nikiwa nakaribia nilimuona Cleopatra akitokea kwa Denis moyo wangu ulipiga paaa alikua amependeza kuliko karembo wake uliwafanya vijana wote wamtazame nilishindwa kuelewa jion hii Cleopatra anafata nini kwa Denis Nilipiga honi akageuka aliponiona kama alishtuka hivi ""Vipi cleo unatokea wapi ""Aaaah wifii nii ""Nini """Usimwambie kaka lakini ""Nini hiyo ""Kuna mkaka alinitongoza sasa alitaka tuonane ndo nmetokea apo ""Ooooh sasa mbona uku ni kwa kaka yako akijua ""Hawezi jua usimwambie. Mara simu ya cleo ikaanza kuita ""Hallow kaka nataka kuja ila Niko na wifi apa Sikusikia alijibu nini ila simu ikakatwa ""Wifi wewe nenda ""Si tunaenda wote ""Hapana kaka kasema nije kesho ""Oooh Ayah kwaheri Niliondoka mpaka kwa Denis na kumkuta kalala ""Vipi unaumwa ""Hapana siumwi ""Wakati naangaza macho yangu yakatua kitandani na kuona saaa ya kike ""Ile saaa ya nani """Aah Ahh ahh ya kwako nimekununulia ""Wao asantee mpenzi Upendo kwa mume wangu ukaanza kutoka kabisa sikutaka ata kushiriki nae tendo la ndoa nilikua nilihisi kinyaa kila alipotaka kushiriki na mimi nilitoa sababu zisizo na maana na derick alielewa Miezi nayo haikusubiri kila mara nilikutana na Denis hakuchoka kunipa penzi lake alizidisha njonjo kila tukikutana akiwa na shida ya hela sikusita kumpa nilikua tayari kumdanganya mume wangu ili tu nipate na kweli nilifanikiwa kumpa anachotaka kwa wakati. ITAENDELEA... Full shilingi 1000 SEHEMU YA TISA ________________________________________ Usiku mmoja nilikua nimelala ghafla nikasikia kilio bafuni nilinyanyuka na kunyata mpaka mlangoni nikachungulia alikua derick anajichua nilijikuta nacheka kimya kimya na kurudi kitandani Alitoka bafuni akiwa kachoka sana na kupanda kitandani muda wote nilikua namtazama tu uku natabasamu moyoni alianza kunipapasa kwa hasira nikatoa mkono wake ""Lilian mke wangu wiki sasa hunipi haki yangu ""Haki gani ""Kwani wewe hujui ""Haki yangu ya ndoa ""Ipi hiyo """Lilian unajifanya ujui ""Kwani kuna haki unanidai ""Hapana lilian ila nami nahisia embu tazama ninachokifanya uko chooni wewe unafurahi tu Niligeuka upande mwingine na kulala jambo Hilo lilimkera sana derick alinigeuza na kunipiga kwa mara ya kwanza derick alinipiga tena kisawa sawa . ""Derick wewe ni wa kunipiga mimi ""Umezidi lilian unanifanya niwe na hasira ""Nakuchukia wewe mwanaume ""Umesababisha wewe lakini ""Sikupendi Nilisimama na kutoka mlangoni nilikutana na Joan ""Dada imekuje ""Kachanganyikiwa yani ananipiga ""Umemfanyaje ""Tutaongea asubuhi Nilienda chumba cha wageni na kuanza kulia derick alikuja na kuanza kugonga ila sikufungua aligonga mpaka akachoka ila nilikua kimya tu akaamua kuondoka nilichukua simu yangu na kumpigia Denis iliita bila kupokelewa. Niliangalia saa ilikua sa saba sikujali nilitoka nikachukua ufunguo wa gari ""Lilian mke wangu unaenda wapi ""Siwezi lala humu ndani ""Kwanini tusiyamalize mke wangu nilipitiwa ""Hapana achana na mimi sikai uku usije ukanipiga tena Kwahasira nilitoka adi nje na kuwasha gari na kuondoka mawazo yangu yalinituma niende kwa Denis giza lilitanda ila sikujali niliondoka zangu kilio hakukuisha mpaka nafika kwa Denis nilipaki gari na kubisha hodi kama nusu saa hivi Denis alifungua ""Lilian usiku huu Sikumjibu nilimkumbatia kilio kikaanza upyaa ""Umepatwa na nini mpenzi ""Derick kanipiga ""Kwasababu gani ""Mimi sijui naogopa Denis ata kulala nimeshindwa """Polee mpenzi wangu Ingia ndani Niliingia ndani nikapanda kitandani akanifunika nae akapanda tukalala nililala kwa amani sana nikiwa nimelala niliota ndoto moja iliyonishangaza sana Nilikua nalia huku Denis anaoa mwanamke mwingine sura yake sikuiona vizuri upande mwingine nilimuona derick nae anamuoa Joan nilishtuka sana na kukurupuka mbele yangu nilikutana na cleopatra kalala kwenye kochi. Uyu kaja sa ngapi niliangalia simu yangu ilikua sa mbili asubuhi niliangaza sikumuona denis nikaamka kwa uchovu na kumfata cleo ""Wifi wifi wifi Alifungua macho taratibu na kunitazama ""Umeamkaje wifi yangu salama ""Mmmh umekuja sa ngapi ""Kaka asubuhi alinipigia simu na kunambia hali yako ndo nikaja ""Oooh kwahiyo kaenda wapi ""Dukani tu apo jirani ila kaondoka na gari lako ""Hamna shida ""Polee wifi yangu """Asanteee cleo Maskini mimi penzi la Denis lilinichanganya bila kujua kua Cleopatra alikua ndani usiku mzima nilifungua simu yangu na kukuta missedcall hamsini za derick na tano za Joan niliamua kumpigia tu Joan ""Dada Umelala wapi shemu kachanganyikiwa uku amekutafuta hoteli zote aupo """"Niko salama Joan ""Uko wapi sasa ""Usijali nitakuja ngoja akili yangu itulie kwanza ""Anhaa sawa dada nimwambieje shemu sasa ""Achana nae Nikiishi kwa Denis siku tatu ela ya matumizi nilitoa mimi kwa siku tulikua tunatumia elfu thelathini Cleopatra nae alikua akija kila siku hali hiyo ikanipa wasiwasi na hasira siku moja nikavunja ukimya """Wifi si ulinambia uko chuo mbona kila siku unakuja """Ahhh saivi tuko likizo ""Kwani hauna mpenzi ""Ninae mbona ""Sasa si ukakae nae kila siku unakuja uku ""Jamani si kwa kaka yangu ""Ata kama asubuhi mpaka usiku ubanduki mpaka tunashindwa kufanya mambo yetu """Wifi ndo umefika uko """Eeeeh uondoke bibi wewe Wakati naongea hayo kumbe Denis alikua akisikiliza hakuongea kitu alinifata na kunishika mkono adi nje. ""Funguo huu apa rudi kwa mume wako ""Denis mbona hivyo '""Si unataka mdogo angu aondoke sasa wewe ondoka ""Lakini si ukweli ""Wewe apa kwako ""Ndio kwangu kwako ni kwangu pia ""Kwani nimekuoa ""Denis mbona unahasira sana ""Unaongeje vile na mdogo angu ""Nisamehe basi ""Rudi kwako kwanza Denis alionesha chuki za wazi na hasira sikua na namna nikaamua niondoke zangu nikarudi kwa derick ila nilikua na mawazo sana kwanini Denis awe mkali vile . Itaendeelea Full shilingi 1000 SEHEMU YA KUMI _________________________________________ Nilifika kwangu na kushuka sikua na amani ata kidogo niliingia mpaka ndani nyumba ilikua kimya taratibu nikapanda ngazi adi chumbani. Chumba kilikua kimya sana kilikua kimekaa ovyo ovyo kitanda kilikua rafu sana nilitoa mashuka yote na kutandika upya kisha nikajilaza Nilishtuka kelele za watu sebleni nilitoka nikatoka watu walikua wengi ndani marafiki wa derick na Joan sikujua kuna nini nilishuka taratibu mpaka chini. ""Karibu mke wangu nyumbani ""Nini hichi ""Kwaajili yako lilian ""Kivipi yaani ""Nisamehe mke wangu kwa kilichotokea siku ile ""Mmmmmmmh Niliona adi aibu sana nikaamua kua mpole mana ilikua ni suprise ya ajabu sana ilikua ni tafrija fupi tu ya derick kuniomba msamaha kisha ikafika mda wa derick kuongea. Alisogea mpaka karibu na kwangu na kunishika mkono nikasimama ""Jamani wote mliofika nadhani wote mnamjua huyu mwanamke ""Ndiooooo """Naomba kuongea mbele yenu nilimkosea sana siku za karibuni ila leo naomba niombe msamaha mbele yenu Derick alipiga magoti chini na kunitazama ""Nakupenda Lilian wangu naomba nisamehe Kwa aibu yangu nikaamua kumsamehe tu """Asantee lilian kwa kuambatanisha na msamaha wangu nakukabidhi funguo za gari Ni jambo ambalo sikulitarajia ata kama litatokea gari lilikua zuri sana kwa furaha niliyokua nayo nilijikuta nampa busu derick ni furaha tu niliyokua nayo. Joan mda wote alikua akinitazama tu kwa furaha alitamani angekua ni yeye ndo anafanyiwa vile ila haikua hivyo vyote vilikua vyangu nilikua nacheka cheka tu kwa furaha Sherehe iliisha watu wakarudi makwao niliondoka na kwenda chumbani nilishika simu yangu na kukuta missedcall za Denis na message juu akiniomba msamaha kwa alichokifanya Nilifikiria kwa mda na kuamua kumpigia. ""Lilian malkia wangu ""Nambie Denis ""I'm sorry ""Usijali ni Sawa yule ni ndugu yako ulikua unamtetea ""Umenisamehe mke wangu ""Nini umeniitaje ""Mke wangu """Mmmh jamani tangu lini ""Tangu siku nakuona ""Yaani wewe unajua kuniteka ""Kwanini mpenzi wangu ""Kwa maneno yako tu Tuliongea kwa mda kidogo mpaka nikanogewa hisia zikaenda mbali nikajikuta napanda kitandani na kuanza kunyegeka😂😂 kwa mbali nilishtuliwa na kelele za miguu ya mtu ikija nilikata simu haraka haraka. Alikua ni Joan akaingia ndani ""Dada bora umerudi jamani ""Kwanza nani aliwaambia narudi ""Ata Mimi sijui shemu alipigiwa tu simu na mtu akamwambia unakuja ""Anhaaa ""Lakini dada unabahati sana ""Kwanini ""Unajua shemu tangu uondoke leo ndo anakula """Heeee ""Ndio nakwambia sasa ni kweli ""Maskini jamani ""Tuache hayo ulikua wapi kwanza ""Wewe nawe haikuhusu Muda huo huo derick aliingia ndani na Joan akatoka derick alinisogelea na kunikumbatia ""Karibu nyumbani """Asanteee ""Umeipenda zawadi ""Ndio sana tu Maisha na derick yakaanza upya nikaanza kujibebisha ila Denis sikumuacha nilipigania penzi la mchepuko na mume wangu kwa wakati mmoja OFA MPYA YA KWA LEO TU!!! KWAHIZI STORY 22 ZOTE MPYA KABISA HAZIJAPOSTIWA KOKOTE,, CHAGUA,😋📚👇 ➡️ STORY 3 KWA TSH 1999/- ➡️STORY 5 KWA TSH 2999/- TU ➡️AU ZOTE 22 KWA TSH 9,999/- TU 1.tatu (msambwanda) 2.zuhura (the crazy girl) 3.mjeda na bikra yangu 4.friends with benefits 5.rabia by lissa 6.mudrick by lissa 7. my painkiller 8.nilishilikiana na mchepuko wa mume wangu kumfumania mume wangu 9.melania(najutia kukupoteza) 10.tully(our story) 11.heartbeat by babie 12.nipe yote dady 13.sweetness of love 14.nimemfila dada yangu 15.mkundu wa mchawi mtamu sana 16.jimama la kihindi 17.mkundu wa mwalimu mtamu sana 18.mpalange wa mganga mtamu sana 19.vita ya kuma na mkundu 20.mapenzi kichakani 21 my contract 22.dream girl by babie 23.ndefu alafu imepinda 💰💰MALIPO: MPESA 0768315707 JINA PRISCA ☎️WHATPP: +255 629 166 086 NB: Namba ya malipo na whatpp ni tofauti, so kuwa makini hapo. Pia, ukilipia nitext whatpp kwa namba ya whatpp hapo, usipige simu...... 🥰🙏................................................................NDEFU ALAFU IMEPINDA🫦 SEHEMU YA 01~10 Ep 01 Asubuhi nyingine niliamka nikiwa na uchovu mwingi Sana nilitazama pembeni yangu nilimuona mume Wangu kalala nilimtazama Kisha nikageuka upande mwingine na kuchukua simu yangu niliwasha data na kuingia whatsap na kukuta voicenote bila kupoteza mda nilichukuwa earphone zangu na kuxikiliza ujumbe uliotumwa alikua denis akiimba sauti yake tu ilitosha kunipagawisha mtoto nikajikuta nalegea Kama tembele lilipikwa kwa mda mrefu. Denis alikua kijana mrefu wa wastani ngozi yake ya chocolate iliyong'a hakua mnene wala mwembamba alikua wa wastani tu nilikutana nae kwenye duka la nguo nikiwa na mume wangu tukifanya shopping nilipomuona kwa mbali moyo wangu ulishtuka ghafla nikajikuta namtazama tu nilimtazama kwa muda kidogo ndipo na yeye akageuka tukakutanisha macho yetu aliniangalia Kisha akatabasamu kwa mbali niliona mwanya wake uliokaa vizuri kwenye meno yake Kisha akanikonyeza loo!!! Mtoto wa watu kidogo nidondoke kwa kukosa nguvu Mana sio kwa konyezo hilo nikajikuta nashikwa na aibu na kuangalia pembeni mda wote huo mme wangu alikua bize akichagua tu nguo bila kupoteza mda nilipiga hesabu haraka haraka nikageuka kumwangalia mme wangu Kisha nikamdanganya kunamahali naenda Mara moja Kisha nikatoka na kumfuata Denis """ samahani Kaka naweza kupata namba yako namaongezi na wewe. Nilikwambia baada ya kufika huku namtazama chini kwa aibu alitabasamu tu Kisha akaniomba simu yangu na kuandika nilitabasamu nami nikamkonyeza kichokozi Kisha nikarudi alipo mme wangu na hapo ndipo uhusiano wetu ulipoanzia na Denis """" Lilian mke wangu asubuhi yote hi umeshashika simu?" "" Jamani Derick nilikuwa napita pita tu mtandaoni Mara moja " ""sawa Ila Leo nataka kuwahi kazini naomba uniandalie maji ya kuoga "" sawa chochote kwa ajili yako mme wangu. nilinyanyuka nikawa nashuka kitandani lakini Derick alinishika mkono ""Cha asubuhi mke wangu nichangamshe damu"". nilimtazama kwa hasira 😏😏Kisha nikamkubalia kishingo upande Basi akaanza Mambo yake sikutoa ata ushirikiano akili yangu ilimuwaza tu Denis alipambana mwenyewe Kisha akamaliza nilienda kuoga maji ya baridi nikiwa na hasira tu. """"miaka yote hi ananitumia tu Hamna Cha mimba wala nini. niliongea mwenyewe bafuni Kisha nikatoka baada ya kumaliza nilienda chumbani na kuanza kuvaa nguo mda wote Derick alikua akinitazama tu niligeuka na kutabasamu kinafki Kisha nikaenda jikoni kumuandalia maji ya kuoga na chai. Naitwa Lilian leornad no mtoto wa tano kwenye familia yetu elimu yangu ni kidato Cha nne tu niliolewa na Derick miaka miwili iliyopita Sina kazi yoyote ni mama wa nyumbani tu mume wangu anafanya biashara ya kuagiza magari nje ya nchi na kuja kuuza Tanzania alinioa kutokana na shinikizo la wazazi wangu kiumri amenipita miaka mitano wakati ananiona nilikua na miaka ishirini tu na yeye alikua na miaka ishirini na tano ananipenda Sana na kunijali naishi Kama malikia kipi nitake nisipate uzuri wangu wa rangi nyeupe umbo langu zuri ndo vinamfanya anipende Kila siku Ila miaka yote hiyo hatukuwai kupata mtoto pia. Nmejikuata nikimpenda Sana Denis kuliko mme wangu. Maisha yangu yote yalikua ndani tu mume wangu hakuniruhusu nitoke toke nje bila ruhusa yake nilikua nakereka sana kila ninapotaka kwenda lazima nimtaarifu au nisubiri aje anipeleke sikua na uhuru wowote. Nilianza vijikazi vya ndani asubuhi ile nikaenda jikoni kumuandalia derick maji ya kuoga nilifanya ili kumrisha tu mme wangu na wajibu kama wa mke ndani ila akili yangu na nafsi yangu havikua pale. Maji yalikua tayari nilimpelekea bafuni Kisha akaoga wakati naenda jikoni simu yangu ikaita nilimtazama namba inayopiga ilikua nimeseve DDD nilitabasamu Kisha Nilipokea huku nasogeza vitu jikoni alikua Denis SEHEMU YA PILI Maji yalikua tayari nilimpelekea bafuni Kisha akaoga wakati naenda jikoni simu yangu ikaita nilimtazama namba inayopiga ilikua nimeseve DDD nilitabasamu Kisha Nilipokea huku nasogeza vitu jikoni alikua Denis SONGA NAYO 👇👇 """hallow honey ndo unaamka jomon"?? Ndio mpenzi vipi wewe umeamkaje?" ""Salama kipenzi nipo namuandalia Derick chai"" ""usiseme hivyo unanifanya niwe na wivu natamani Mimi ndo ningekua nasubiri uniandalie""" "" usijali mpenzi baadae nitakuja nikupikie chakula honey""" ""kweli mpenzi??""" ""Ndio honey""" Nilijibu Kisha nikakata simu baada ya kusikia Derick akiniita nilikasirika na kubinua mdomo Kisha nikaenda kumsikiliza alikua akisubiri nimvalishe tai nilikasirika Kisha nikamvalisha hivyohivyo akanibusu kwenye paji la uso na kunambia. """ Asante mke wangu nakupenda """" Niko kwa ajili yako darling. Nikamjibu Kisha nikatoka kuelekea jikoni kumalizia kuandaa chai nikaeka mezani na kumwita Derick aje kunywa chai nami nikaungana nae bada ya hapo nilimsindikiza hadi mlangoni nikamuaga akanibusu shavuni Kisha akapanda gari na kuondoka nilimsindikiza kwa macho tu. Nilirudi zangu ndani nikachukua simu na kuanza kuchati na Denis na kuekeana ahadi ya kukutana siku hiyo nilimalizana nae Kisha nikaanza kufanya kazi ndogondogo baada ya hapo nikaoga nikajipodoa mtoto nikapodoka nikajitazama kwenye kioo mpaka nikajitamani mwenyewe🙊 Kisha nikachukua pochi yangu nikatoka nje nikakutana na mlizi nikamuaga nikachukua gari langu na kusepa. Nilitumia nusu saa mpaka kufika kwa Denis alikua kapanga self yenye chumba,seble,kodro,jiko na choo nje kulizungushiwa ukuta wa kawaida tu Ila hakukua na geti niliingiza gari Kisha nikashuka na kufunga gari Kisha nikaingia ndani kulikua na utulivu Hadi nikashangaa nikaanza kutembe taratibu kuelekea chumbani Mara nilishikwa nyuma kiunoni niligeuka na kukutanisha macho na Denis mtoto niliishiwa nguvu alivyotabasamu tu na kunibusu😋😋 """karibu mke wangu """ Asante kipenzi "" yaani ndo unaamka ata ujaoga na hata unafanya usafi """ nilikua nakusubiria tu wewe mke """ ayah bana ngoja nikakupikie chai afu tukaoge wote. Nilimwandalia Kila kitu Kisha nikapeleka maji bafuni tukaenda kuoga bafuni kulikua vurugu mechi sio kwa michezo hiyo tulimaliza tukaenda chumbani kufanya mambo yetu🙈🙈 jamani Denis alikua hodari kitandani alinichosha balaaa acha tu mme wangu hakumfikia ata robo mtoto nilihkua hoii na penzi lake jamani miee Denis aliniweza. Tulimaliza Kisha tukaenda kuoga tena na kwenda kunywa chai ilikua sa Saba tulikaaa tukapiga story mda mrefu uku michezo ya kimapenzi ikizidi nilikuja kushtuka mda umeenda nikamuaga Denis Ila alikua ataki niondoke nilimbembeleza tuakaagana na mabusu mengi nikaondoka zangu. Njia nzima nilikua namuwaza tu Denis nakujikuta natabasamu. """" uko wapi mpaka saivi. ni message nilisoma alikua mme wangu nikabaki nimeshanga na mapigo ya moyo yakaanza kudunda sikumjibu nikazidisha spidi ya gari nikiwa na mawazo nitaenda kumwambia nini..... SEHEMU YA TATU Nusu saa baadae niliwasili nyumabani na kupiga honi geti likafunguliwa nikaingiza gari nikashuka nikiwa na wasiwasi nikaelekea hadi sebleni nilimkuta derick kaka uku kainamisha kichwa kama anawaza kitu fulani niliingia na kufunga mlango kelele ya mlango ndo ilimfanya ashtuke na kuangalia mlangoni. ""umetoka wapi?. Ndo swali la kwanza kuniuliza nilishindwa nijibuje alisimama na kunisogelea akiwa na hasira. """ umetoka wapi mke wangu?."Aliuliza tena ila nilikua kimya tu nilishtuliwa na Kofi shavuni ""nakuuliza umetoka wapi?. Aliongea kwa hasira """" derick umenipiga?. Niliuliza huku nikilia kana kwamba nimeonewa. "" kwani sina ndugu mji huu au sina wazazi mji huu """ niliongea huku nikizidisha kilio """ nisamehe mke wangu. Nilisikia sauti ya derick ikiniambia mtoto mie nikazidisha kilio zaidi. """ liliani mke wangu nisamehe ni wivu wangu na kukupenda tu nilijua umeenda kwa.mwanaume mwingine. derick alinambia huku akinikumbatia nilitabasamu. ""Nimekusamehe Mme wangu nilienda kumsalimia Dada tu. """ sawa mke sitarudia tena """ vipi mpenzi umefika?. Ilikua na msg kutoka kwa Denis niliisoma kisha nikafuta sikutaka kumjibu kwa mda ule niliamua kwenda jikoni kumuandalia derick chakula """"" mhh mwanaume huyu ana wivu sana jamani MTU mwenyewe hata hana uwezo wa kunipa mimba. niliongea mwenyewe nikiwa jikoni napika. """ Ila Denis fundi jamani .nilijikuta nacheka mwenyewe nikimkumbuka tu Denis . """ mbona unacheka mwenyewe? . """ hamna ata nmekumbuka tu kitu nilajikuta nacheka mwenyewe. """ nini hicho. """ ahh ahh ahh """nini hicho nambie basi. safari hii mikono yake ikiwa kiunoni mwangu """ ahh nakumbuka siku ile. """ Siku IPI? """ Si siku ile tulio funga ndoa. ""Jamani mke wangu ndo unacheka mwenyewe ""Ndio mme wangu. Tulipika wote jikoni ila akili yangu haikua pale nilikua nikimuwaza tu Denis mda wote nilitamani niongee nae ata kidogo mda wote derick alikua kaniganda mpaka nikapata asira yani sikua ata natamani kumuona. ""Tayari twende tukale ""Sawa mke wangu leta nikusaidie. Tuliongozana mpaka sebleni na kutenga chakula tulikaa na kuanza kula mme wangu alikua akinilisha ila nilikua nahisi kinyaa ata kumtazama ila nilijikaza na kuendelea kula Simu iliita niliangalia ni DDD mme wangu nae aliangalia alishindwa kuelewa. ""DDD ndo nani ""Ahh mme wangu na wewe ni dada ""Ndo unamsev DDD ""Eeeeh ""Mmmh aya mbona umpokelei sasa ""Nitampokelea tu usijali ngoja tumalize Kula kwanza. Tulimaliza Kula na kwenda chumbani kulala tulienda kuoga kwanza lakini kila mda Denis alipiga simu adi nikawa najihisi vibaya baada ya kutoka kuoga tulipanda kitandani ghafla simu ikaita kuangalia ni Denis ""Uyo mtu anapiga tangu mda si umpokele """Aaah anasumbua najua tu anataka ela ""Pokea sasa umwambie. Nilipokea nikaanza kuongea ""Dada nitakutumia kesho saivi usiku si unaona Niko na shemeji yako kesho akitoka tu nitaenda kukutumia wakala. Nikakakata simu na kuizima kabisa mme wangu alikua kimya tu akinitazama alinivuta kwake na mambo ya usiku yakafata sikua naenjoy ata niliona ananchosha tu sikua na hisia nae ata kidogo nilifanya ili kumridhisha na matakwa ya mke basi nilijihisi kinyaa sana sijui kwanini ila penzi la Denis lilinichanganya sana tena sanaa na kumuona mume wangu ananichefua tu. ITAENDELEA.. Full shilingi 1000 SEHEMU YA NANE ________________________________________ Nilipanda kitandani na kulala mwili wangu ulikua umechoka sana tu nililala kwa mbali nilisikia sauti ya mume wangu akiongea na mdogo angu usingizi nao ukaja haraka. Nilishtuliwa na kelele za tv nikafungua macho chumbani palikua na giza sana nikajikongoja adi kwenye swetch na kuwasha macho yangu yalitua kwenye kochi na kumuona derick kalala. Hakua ata amebadilisha nguo alivyotoka kazini ndio hivyohivyo kwa hasira niliamka na kumtoa soksi nikiwa na maumivu makali sanaa Mwili wangu ulizidi kuimarika siku adi siku kwa bahati nzuri mume wangu hakujua kitu Denis nae alizidi kunipenda nikajiona malaika. Kidogo kidogo nikaanza kupunguza mapenzi kwa mume wangu nilimchukia sana na kuniona ananipotezea mdaa tu nilitamani mda mwingi niwe na derick tu akili yangu ni kama nililogwa sikutamani ata kua nae mbali ata kwa dakika chache. Nakumbuka juma mosi moja nilitoka na gari langu pamoja na mdogo angu tukaelekea kufanya manunuzi tukiwa njiani nilimuona mume wangu kwa mbali akiwa na mwanamke roho yangu iliniuma sana bila kuuliza niliahirisha kwenda sokoni na kuamua kuwafata ""Dada vipi mbona unaenda njia nyingine ""Wewe ujamuona shemeji yako yuko na mdada mwingine ""Ndio dada lakini labda ni mfanyakazi mwenzake ""Atakama ndo wacheke vile ""Dada jamani kwani watu wakicheka kuna shida gani ""Hapana itakua ni MCHEPUKO wake ""Dada bana acha imani hizo ""Wewe unaona simple kwa sababu bado auko kwenye ndoa ""Ni kweli lakini mimi namjua shemu hawezi fanya hivyo ""Embu kaa kimya Niliwafatilia mpaka kwenye hoteli moja wakashuka na kuingia nami nikashuka kuwaangalia niliwaona wanaelekea ndani hasira zilinishika nikawafata walipita mapokezi na kuulizia chumba sikumsikia vizuri walichoongea wakaelekea juu nami bila kupoteza mda nikawafata mda wote Joan alikua kimya tu Niliona chumba walichoingia bila kupoteza mda nami nikaingia ""Hivi wewe mwanaume ndo nini unafanya Denis ni kama alishanga kuniona pale ""Nakuuliza wewe ""Mke wangu umefikaje apa ""Wewe unafikiri dunia ndogo ""Lakini mke wangu sio kama unavyofikiria ""Sitaki maelezo na wewe kahaba umekosa mabwana mpaka umfate mume wangu Nilianza tukana nilimtukana yule dada mpaka akaanza kulia wakati naendelea kutukana nilishtuka kofi usoni lilinitoa wenge niligeuka kutaza alienipiga ni mtu ninae mjua ""Aliekupa ruhusa ya kumtukana mke wangu ni nani ""Shemu Kelvin🙄🙄 ""Umevuka mipaka sasa ""Lakini shemu sikujua kama ni mkeo lakini anafanya nini na mume wangu ""Ungeuliza Hilo kabla ujaanza kutukana Niliishiwa pozi Kelvin alimfata yule dada na kuanza kumbembeleza ""Polee mke wangu mimi ndo mwenye makosa sikupaswa kufanya suprise uku na sikupaswa kumwambia derick akulete Uso ulinishuka kwa aibu Joan alinitazama tu.akabaki kimya nami nilisogea kuomba msamaha ""Nisamehe shemu ""Kabla ya kuchukua hatua uliza kwanza ""Nisamehe shemu wangu ""Muombe msamaha kwanza mumeo Apo kwnye kumuomba msamaha derick palikua pagumu ila kwa kuondoa tafrani niliamua kuomba hivyohivyo derick alinielewa tukaondoka Njia nzima nilikua kimya tu derick nae alikua kimya tu mpaka tunafika nyumbani hamna alimuongelesha mwenzake niliingia ndani kwa hasira ""Kwahiyo wewe ndo mpeleka watu kwa mabwana zao ""Heee nikajua yameisha kule kule ""Bado ndo tunaanza ""Sina hiyo mood kwa sasa kuzungumzia mambo yaliopita ""Kwahiyo mimi kudhalilishwa vile umeona raha ""Kwahiyo wewe kumdhalilisha mwenzako umeona raha ""Anatembeaje na waume za watu ""Lilian please embu niache basi Derick kwa hasira aliondoka zake ""Unarudi uko tena eeeh kwa kahaba wako Hakijibu kitu akaondoka zake Roho iliniuma utafikiri nafanyiwa kosa niliwaza kwanini niumie hivi wakati simpendi derick nilijitazama kwenye kioo na kujiona Nina hasira kuliko niliondoka kwa hasira kwenda kwa Denis Nikiwa nakaribia nilimuona Cleopatra akitokea kwa Denis moyo wangu ulipiga paaa alikua amependeza kuliko karembo wake uliwafanya vijana wote wamtazame nilishindwa kuelewa jion hii Cleopatra anafata nini kwa Denis Nilipiga honi akageuka aliponiona kama alishtuka hivi ""Vipi cleo unatokea wapi ""Aaaah wifii nii ""Nini """Usimwambie kaka lakini ""Nini hiyo ""Kuna mkaka alinitongoza sasa alitaka tuonane ndo nmetokea apo ""Ooooh sasa mbona uku ni kwa kaka yako akijua ""Hawezi jua usimwambie. Mara simu ya cleo ikaanza kuita ""Hallow kaka nataka kuja ila Niko na wifi apa Sikusikia alijibu nini ila simu ikakatwa ""Wifi wewe nenda ""Si tunaenda wote ""Hapana kaka kasema nije kesho ""Oooh Ayah kwaheri Niliondoka mpaka kwa Denis na kumkuta kalala ""Vipi unaumwa ""Hapana siumwi ""Wakati naangaza macho yangu yakatua kitandani na kuona saaa ya kike ""Ile saaa ya nani """Aah Ahh ahh ya kwako nimekununulia ""Wao asantee mpenzi Upendo kwa mume wangu ukaanza kutoka kabisa sikutaka ata kushiriki nae tendo la ndoa nilikua nilihisi kinyaa kila alipotaka kushiriki na mimi nilitoa sababu zisizo na maana na derick alielewa Miezi nayo haikusubiri kila mara nilikutana na Denis hakuchoka kunipa penzi lake alizidisha njonjo kila tukikutana akiwa na shida ya hela sikusita kumpa nilikua tayari kumdanganya mume wangu ili tu nipate na kweli nilifanikiwa kumpa anachotaka kwa wakati. ITAENDELEA... Full shilingi 1000 SEHEMU YA TANO _______________________________________ Bila kupoteza mda niliamua na mimi kutumia Denis alinitumia ujumbe wa kushukuru na kunambia ananipenda sikuzote nilifurahi sana na kujiona mshindi . Siku mbili kupita mdogo angu alirudi kutoka kijijini na kufika kwangu uwepo wake ulinipa matumaini sana na kujiona nitapata uhuru. Nilimwelekeza kila kitu pale nyumbani. ""Mmmh dada mume wako anakupenda ""Kwanini Joan ""Huoni kila kitu unacho ndani nyumba nzuri pia ""Kawaida mdogo angu mbona ""Nawe umpende jamani ""Usijali nampenda sana. Tulipika tukala na kuanza kupiga stor mbilimbili kisha nikaenda zangu chumbani kwangu nilichukua simu yangu na kukuta misdcall nyingi za Denis niliamua kumpigia. ""Mbona unakua hivyo ""Kwanini mpenzi ""Nakutafuta masaa yote uko kimya tu ""Aahh nilikua sebleni ""Mama yangu kalazwaa lilian alafu sina ata ela mpenzi ""Polee ila siko vizuri saivi """Lilian mama yangu yule bila yeye usingenijua ""Lakini Denis saivi sina pesa juzi si nilikupa ""Ndio ila nimeshaitumia kwenye ile biashara ""Mmmh . Nilisikia sauti ya kilio cha Denis moyo uliumia sana nikajikuta nami machozi yananitoka nilishindwa nifanyaje ila nikapata wazo. ""Embu subiri usilie sasa mpenzi ""Sawa ila nisikusumbue lilian ""Hamna shida ""Sawa nasubiria '""Sawa kua makini ngoja nijitahidi kupata ""Sawa mpenzi. Nilifikiria mda kwenye account yangu kulikua na ela bila kupoteza mda niliamishia laki tano kwenye simu na kumtumia yotee Denis . Dakika tano simu ilipigwa na denis akinishukuru nilimpa pole tena na kukata simu nilijikuta nakosa amani nilitamani niwe karibu na denis nikimfariji nikakumbuka kilio chake mwili ukakosa nguvu nikaamua kumpigia. ""Vipi mpenzi naweza kuja kukupa kampani ""Usijali lilian Niko na mdogo angu wewe Baki tu nyumbani mumeo asije kukuhisi vibaya ""Ata akinihisi siwezi kuona unaumia ""Niko na mdogo angu usijali ""Sawa kukiwa na shida basi unambie ""Sawa mpenzi. Siku mbili zilipita Denis alikua kimya wala simu yake aipatikani niliingiwa na wasiwasi nikaamua nimfate kwake . ""Dada unaenda wapi ""Haikuhusu ""Sawa lakini shemu kapiga simu anarudi mapema ""Sichelewi. Niliwasha gari na kuondoka nikiwa nakaribia kufika kwa Denis nilimuona Denis akiwa na mwanamke wanatembea uku wanacheka Niliendesha kwa kasi adi mbele yao macho yangu yakatua kwa Denis na yule binti . Nilimtazama yule binti alikua mzuri sana mdogo mdogo kiumri nilimpita alikua mdogo kwangu macho yake ya duara kidogo lipsi zake zilizojichonga vizuri mdomoni kichwani alikua kasuka mabutu makubwa ya Rasta chini alivaa jinsi iliyompwaya kidogo na miguni kava raba nyeusi alibaki akinitazama tu. Nilishuka kwenye gari nikiwa na hasira na kumfata denis alikua akinitazama tu . ""Mambo Denis ""Pouh mpenzi vipi Nilishanga kidogo kwanini Denis aniite mpenzi mbele ya yule mwanamke au sio mwanamke wake ""Hee Denis mbona ujanitambulishaga ""Oooh nilisahau ""Anyways anaitwa lilian ndo wifi yako ""Mambo lilian ""Poa za kwako ""Salama tu. ""Lilian uyo anaitwa Cleopatra ni mdogo wangu '""Oooh nafurahi kukujua wifi yangu '""Mtataongea zaidi siku mkikutana tena ""Hamna shida ""Ngoja nimsindikize kidogo anarudi chuo ""Sawa. ""Nitakuta nyumbani ""Sawaa Niliwasha gari na kuelekea kwa denis hapakua ata mbali nilipaki gari na kuingia Niliingia ndani nyumba ilikua safi hatari kama kuna mwanamke alikua anaishi nilijisogeza adi kwenye kochi na kujitupua mda huo huo akaja Denis alikuja adi nilipo na kuanza kunipapasa mapaja. ""Nyumba leo safi ""Ahh mdogo angu ndo kafanya ""Sawa vipi mama ""Ajambo kabisa kapona ""Sawa mimi nilikuja kukuona mana simu zako hazipatikani """Oooh nilisahau kukwambia niliuza simu ""Kwanini """Hela haikutosha hospitali ""Sasa si ungenambia ""Sikutaka kukusumbua """Mmmh aya mimi kaondoka '""Haunipi haki yangu ""Hapana kesho ""Kwanini sasa ""Mume wangu anarudi mapema. Denis hakusema neno tena nilisimama na kutoa elfu hamsini na kumpa kisha nikasepa zangu nikiwa njiani nilimuona mume wangu na mdogo angu. Sikuwajali sana nilinyooka na gari kama sijawaona adi nyumbani nikiwa njiani nakaribia nyumbani nilimuona Cleopatra nikashanga huku anaenda wapi nilipiga honi akageuka nikamuita. ""Unaenda wapi wifi ""Ah ah apo mbele kuna nyumba ya rafiki yangu inajengwa ndo naenda kumfata uko ""Sawa ngoja nikupe lift ""Sawa ""Ila Denis alinambia unarudi chuoni ""Ndio ila usimwambie kama tumekutana ataki niwe na marafiki ""Kwanini sasa ""Mimi sijui. Nifika adi nje ya nyumba yangu. ""Mimi ndo naishia hapa ""Oooh hapa ndo kwako ""Ndio ndo kwangu ""Sasa mbona ni jirani na rafiki yangu ""Heee kumbee ""Ndio tazama ile nyumba pale inayojengwa. Nilitazama ilikua nyumba kubwa nzuri ilikua bado aijamalizika lakini bado ilivutia. ""Wow nyumba nzuri sana inaonekana rafiki yako anaela ""Hamna ata anahongwa na mtu wake anajenga ""Hee tena anahongwa ""Ndio ""Ahh tuachane na hayo vipi hauingi ata kwangu ""Mmh siku nyingine ninaharaka leo ""Sawa wifi. Nilichukua pochi na kumpa elfu ishirini alikua anakata ila nikambembeleza akakubali nilipiga honi nikaingiza gari ndani ila kama nilihisi kitu. ITAENDELEA.. *NDEFU ALAFU IMEPINDA🫦* *SEHEMU YA 06~10* _______________________________________ SEHEMU YA 06 Nilitoka adi nje ya geti na kuchungulia nilimuona Cleopatra akiwapa maagizo mafundi nilitaka nikamuulize kwanini yeye ndo awape maagizo na rafiki yake yuko wapi kabla sijatoka niliona gari la mume wangu nikaamua nirudi tu ndani. Nilirudi ndani na kukaa kwenye kochi aliingia mume wangu na mifuko mkononi kisha akafatia mdogo wangu alinisalimia na kupitiliza ndani. ""Vipi mke wangu ""Safi tu ""Dada ajambo ""Ajambo anawasalimia ""Oooh sawa msalimie japo ujawai kunitambulisha ""Usijali nitakuja kukutambulisha. Joan alitoka chumbani na kuelekea jikoni alianda chakula na kutenga mda wote nilikua bize tu nachat na denis mume wangu alikua anaangalia mpira. Mdogo angu alitukaribisha chakula tukasogea ili tule . Tukiwa mezani mdogo angu akianzisha mada. ""Dada ivi ukawa labda na mpenzi au mume alafu ukamcheet na mtu mwingine utajisikiaje. Nilishtuka adi nikapaliwa na chakula. ""Kwanini umeuliza hivyo shem ""Hamna ata kuna tamthilia nafatiliaga sasa ndo nikaona ""Oooh kumbe ""Kama ni wewe shem ukajua mkeo anakusaliti utafanyaje """Mmmh sitafikiria mara mbili nampa talaka ""Anhaaa ""Ndio ila najua mke wangu hawezi. Mda wote nilikua kimya tu nikiwasikiliza nilimtazama mdogo angu kwa jicho kali adi akajishtukia na kuinama chini . Tulimaliza Kula sikutaka kuvumilia nilimfata mdogo angu jikoni. ""Naona ushakua mpekuzi wa mambo yangu ""Unamaanisha nini dada ""Usinifanye ujui ulichokiongea ""Kwani nimekosea si ukweli ""Wewe inakuhusu nini ""Lakini dada sio vizuri kaka wa watu akijua ""Atajua mwenyewe kwanza simpendi ""Sasa si achana nae tu ""Bado kwanza mda wake ujafika ""Mhhhh ""Naufunge mdomo nikikusikia tena kijijini kunakuhusu. Nilienda chumbani na kumkuta derick kakaa kitandani nami nilimfata alikua kimya tu kajilaza . ""Kuna shida mbona kama hauna amani ""Nikosawa mke wangu ""Au kazi zinakusumbua ""Hapana ata ""Shida nini sasa mme wangu ""Najua mimi ndo mwenye makosa mke wangu ""Unamaanisha nini ""Nimeshindwa kukupa mtoto ""Jamani derick mungu ndo mtoaji wa kila kitu ""Naogopa ipo siku utaniacha lilian ""Siwezi kukuacha mume wangu. Derick aligeuka upande mwingine nilimuangalia nikajikuta natabasamu nilimuona kama mjinga kwa mbali nilisikia kilio alikua analia cheko😂😂 likanijia ikabidi nijizuie nami nikatafuta machozi ya uongo. ""Usilie mme wangu nami utaniliza ""Lakini nashindwa kukupatia mtoto lilian ""Nmeshakwambia derick ni mipango ya mungu ""Kwanini mungu kanipa adhabu hii mimi ""Usiseme hivyo utamkufuru mungu ""Sio hivyo lilian nami nahitaji faraja ""Ipo siku mungu atajibu maombi yetu. Nilimwambia huku natabasamu moyoni niliona mlango uko wazi wa kuachana na derick. Derick aligeuka upande wa pili na kunitazama macho yalikua mekundu kwa kulia alisogea adi nilipo na kujilaza miguuni pangu uku machozi yalizidi kumtoka hazikupita dakika alipitiwa na usingizi. Nilimsogeza mpaka kwenye mtoo kisha nikashuka kitandani na kuchungulia dirishani macho yangu yakatua kwenye ile nyumba iliyokua inajengwa kwa mbali nilimuona Cleopatra akiwapa maelekezo mafundi nilijaribu kutazama kama nitamuona uyo rafiki yake ila sikumuona niliamua kutoka ili nikamuulize. Nilishuka ngazi adi sebleni na kumkuta joan anacheka huku anatazama simu yake sikumjali nilitoka adi nje kabisa na kuelekea kwenye ile nyumba niliwakuta mafundi wanajenga walikua bize sana. ""Habari zenu nawaona mko bize sana ""Ndio dada mwenye nyumba anahamia wiki mbili zijazo ""Yuko wapi mwenye nyumba ""Yaani kaondoka sasa hivi ""Oooh kuna mdada nilimuona apa yuko wapi ""Oooh Cleopatra ""Ndio ""Ameondoka na yeye mida hihii. Nilipiga hatua kuingia ndani ya ile nyumba nilitazama kila mahali nikiwa natembea tembea niliona kibao kimeandikwa D$C HOUSE nilijiuliza kina maana gani D ni nani na C ni nani nilibaki na maswali kichwani. Nipotezea na kuondoka zangu kurudi kwangu nilitazama juu ya gharofa nilimuona derick ananitazama niliingia zangu ndani na kukaa na Joan story zikaanza. ""Dada kuna mkaka bana nilimpendaga ""Ikawaje sasa ""Et anataka penzi ""Si umpe sasa ""Wewe nitampa mume wangu """Hahahah embu Joan usinichekeshe ""Kwanini ""Sasa hiyo bikra adi leo unayo ya kazi gani ""Ya mume wangu. Stori zilikua za mapenzi tu nilimuona mdogo angu mshamba kweli nilitamani nimshauri atafute bwana amtoe hiyo bikra anayoringia ila niliamini kwa kua yuko mjini basi si muda ata pata tu bwana . Nilikumbuka penzi is Denis mwili ulinisisimka nilitamani nilipate kwa wakati huo nilianza kujipapasa kujishika shika Joan alikua akinitazama tu ""Wewe dada unafanya nini ""Heeee nimezidiwa jamani ""Huna akili wewe. ""Utajua wewe """Kwanza nipishee Nilikua mjinga sana kwa penzi la Denis mda wote nilimuhitaji sana nilitamani ata niondoke usiku wa manane ila pingamizi alikua derick. Itaendelea..... Full shilingi 1000 SEHEMU YA SABA ______________________________________ SONGA NAYO Asubuhi na mapema niliamka nikiwa mchovu nilitazama uku na ila sikumuona mume wangu nilijiuliza kaondoka saa ngapi sikuwaza nilitoka adi sebleni na kumkuta joan anakunywa chai ""Chai tayari dada njoo tunywe ""Shemeji yako kaondoka saa ngapi ""Mmmhh kwani ayupo chumbani kwake ""Ayupo mbona """Mmh kwa kweli sijui Dada. Nilikaa mezani nikaanza kunywa na mimi chai nilikua nimechoka sana sijui kwa nini ila nilichoka sana nilikunywa kama kawaida ninavyokunywaga ila nilihisi njaa bado ikabidi niongeze Joan alikua tu akinitazama ""Mmmh dada leo vipi mbona unakula sana ""Ata Mimi nashanga sana alafu nimekua mchovu ""Unajisikiaje yaani "" njaaa sana mwili umechoka atari ngoja nikalale kwanza Nilisimama nikapiga hatua lakini nilihisi kizunguzungu na kubaki kwenye kiti ""Mbona kizunguzungu ""Hahahaha imo tayari ""Imo nini Joan ""Hamna kwani hukusikiaga ule wimbo wa AY na mimi mars unaitwa imo ""Acha utani basi ""Namaanisha una mimba ""Nini mimba ""Ndio mimba ""Hapana siwezi kua namimba ""Mbona ujafurahi si mnatafutaga mtoto na shem miaka mingi sasa mmepata ""Embu nyamaza. Niliongea kwa hasira na kutoka nilienda adi chumbani na kuchukua kipimo cha mimba nilikua navyo ndani nikaelekea bafuni kupima kweli nilikua na mimba nilikajikuta napata furaha ya ajabu nikatoka moja kwa moja adi nje nilienda nikachukua gari nikatoka safari ya kuelekea kwa denis ikaanza Nilifika mpaka kwa Denis na kumkuta amekaa njee alivyoniona alitabasamu na kunikaribisha ndani niliingia nikiwa na tabasamu ""Vipi mama mbona tabasamu hili ""Ndio Denis ninafuraha sana ""Furaha ya nini ":nipe maji kwanza ""Sawa Aliniletea maji ya baridi na kunipa nilikunywa taratibu kisha nikatazama ""Nina mimba yako ""Nini?? ""Nina mimba yako ""Hapana huwezi kua na mimba yangu ""Kwanini ""Kwasababu mumeo akijua itakuaje ""Hawezi jua ""Hapana lilian utanizalia ukishakua wangu ""Mmmh ""Ndio kwa sasa tutoe hiyo mimba ""Denis hakutakua na madhara ""Hamna madhara mpenzi we mwenyewe unajua mumeo hana uwezo wa kukupa mimba akijua itakuaje ""Akijua hamna shida naachana nae ""Hapana ngoja kwanza mambo yangu yakae Sawa ata ukiachana nae nitakua tayari kukuoa ""Wow Sawa ""Chukua hizi dawa unywe Nilipokea bila ata kujifikiria nilizinywa zote kwa pamoja nusu saa mbele tumbo likaanza kuwaka moto hazikupita dakika damu zikaanza kutoka maumivu Yalikua sio ya kawaida tumbo liliuma mpaka nikahisi nakufa Denis alikua pembeni yangu akinituliza aliniletea kindo cha maji na kunambia nikae bila ubishi nilika wewe maumivu yalikua zaidi ya mwanzo. Niliumwa kama lisaa lizima damu zilitoka za kutosha Denis aliniacha na kwenda dukani alirudi na pedi pamoja na matunda pia alinipa vidoge vingine nilimeza kidogo maumivu yakapungua nikala na yale matunda ila nilikua nimechoka sana . ""Pole mpenzi wangu ""Asante nataka kuondoka ""Utaweza kuendesha gari sasa ""Ndio nitajitahidi ""Au nikupeleke ""Hapana nitafika ""Usisahau Kula matunda kwa wingi ili damu irudi kawaida ""Usijali nimekuelewa Niliendesha gari taratibu mpaka nyumbani nikaingiza na kushuka nilitembea nikiwa na uchovu na maumivu bado kwenye tumbo akili yangu ilichoka kabisa nilijiona muuaji ila upande mwingine nilijiona nilichofanya ni sahihi nilitembea adi sebleni sikutaka kukaa nikaanza kupanda ngazi niende chumbani ""Dada mbona unataoka na damu ""Damu wapi ""Wewe ujione Niliinama kujitazama kweli damu zilikua zinatoka nilipiga hatua miguu ilikosa nguvu niligeuka kumtazama Joan alikua akinitazama tu nilijitahidi tena ila miguu iligoma. Nilishikwa mkono na mtu nilipogeuka alikua joan alinitazama kama mtu mwenye hasira ""Umetoa mimba dada ""Nani kakwambia nilikua na mimba ""Ulikua na mimba dada ""Shiiiiiiii ishia apo apo mimba ulinipa wewe Hakuongea kitu alinishika mkono na kunisaidia kupanda ngazi adi chumbani Aliingia bafuni na kufungulia maji alinifata na kunipeleka bafuni alifungulia maji ya baridi na kunisogeza maji yalitirizika adi mwilini kidogo nilipata ahueni nikatoka na kumwacha anafanya usafi bafuni nilisikia honi ya gari nikajua derick kashafika moyo ulipiga paaaah. Itaendeleea.a.. Full shilingi 1000 SEHEMU YA NANE ________________________________________ Nilipanda kitandani na kulala mwili wangu ulikua umechoka sana tu nililala kwa mbali nilisikia sauti ya mume wangu akiongea na mdogo angu usingizi nao ukaja haraka. Nilishtuliwa na kelele za tv nikafungua macho chumbani palikua na giza sana nikajikongoja adi kwenye swetch na kuwasha macho yangu yalitua kwenye kochi na kumuona derick kalala. Hakua ata amebadilisha nguo alivyotoka kazini ndio hivyohivyo kwa hasira niliamka na kumtoa soksi nikiwa na maumivu makali sanaa Mwili wangu ulizidi kuimarika siku adi siku kwa bahati nzuri mume wangu hakujua kitu Denis nae alizidi kunipenda nikajiona malaika. Kidogo kidogo nikaanza kupunguza mapenzi kwa mume wangu nilimchukia sana na kuniona ananipotezea mdaa tu nilitamani mda mwingi niwe na derick tu akili yangu ni kama nililogwa sikutamani ata kua nae mbali ata kwa dakika chache. Nakumbuka juma mosi moja nilitoka na gari langu pamoja na mdogo angu tukaelekea kufanya manunuzi tukiwa njiani nilimuona mume wangu kwa mbali akiwa na mwanamke roho yangu iliniuma sana bila kuuliza niliahirisha kwenda sokoni na kuamua kuwafata ""Dada vipi mbona unaenda njia nyingine ""Wewe ujamuona shemeji yako yuko na mdada mwingine ""Ndio dada lakini labda ni mfanyakazi mwenzake ""Atakama ndo wacheke vile ""Dada jamani kwani watu wakicheka kuna shida gani ""Hapana itakua ni MCHEPUKO wake ""Dada bana acha imani hizo ""Wewe unaona simple kwa sababu bado auko kwenye ndoa ""Ni kweli lakini mimi namjua shemu hawezi fanya hivyo ""Embu kaa kimya Niliwafatilia mpaka kwenye hoteli moja wakashuka na kuingia nami nikashuka kuwaangalia niliwaona wanaelekea ndani hasira zilinishika nikawafata walipita mapokezi na kuulizia chumba sikumsikia vizuri walichoongea wakaelekea juu nami bila kupoteza mda nikawafata mda wote Joan alikua kimya tu Niliona chumba walichoingia bila kupoteza mda nami nikaingia ""Hivi wewe mwanaume ndo nini unafanya Denis ni kama alishanga kuniona pale ""Nakuuliza wewe ""Mke wangu umefikaje apa ""Wewe unafikiri dunia ndogo ""Lakini mke wangu sio kama unavyofikiria ""Sitaki maelezo na wewe kahaba umekosa mabwana mpaka umfate mume wangu Nilianza tukana nilimtukana yule dada mpaka akaanza kulia wakati naendelea kutukana nilishtuka kofi usoni lilinitoa wenge niligeuka kutaza alienipiga ni mtu ninae mjua ""Aliekupa ruhusa ya kumtukana mke wangu ni nani ""Shemu Kelvin🙄🙄 ""Umevuka mipaka sasa ""Lakini shemu sikujua kama ni mkeo lakini anafanya nini na mume wangu ""Ungeuliza Hilo kabla ujaanza kutukana Niliishiwa pozi Kelvin alimfata yule dada na kuanza kumbembeleza ""Polee mke wangu mimi ndo mwenye makosa sikupaswa kufanya suprise uku na sikupaswa kumwambia derick akulete Uso ulinishuka kwa aibu Joan alinitazama tu.akabaki kimya nami nilisogea kuomba msamaha ""Nisamehe shemu ""Kabla ya kuchukua hatua uliza kwanza ""Nisamehe shemu wangu ""Muombe msamaha kwanza mumeo Apo kwnye kumuomba msamaha derick palikua pagumu ila kwa kuondoa tafrani niliamua kuomba hivyohivyo derick alinielewa tukaondoka Njia nzima nilikua kimya tu derick nae alikua kimya tu mpaka tunafika nyumbani hamna alimuongelesha mwenzake niliingia ndani kwa hasira ""Kwahiyo wewe ndo mpeleka watu kwa mabwana zao ""Heee nikajua yameisha kule kule ""Bado ndo tunaanza ""Sina hiyo mood kwa sasa kuzungumzia mambo yaliopita ""Kwahiyo mimi kudhalilishwa vile umeona raha ""Kwahiyo wewe kumdhalilisha mwenzako umeona raha ""Anatembeaje na waume za watu ""Lilian please embu niache basi Derick kwa hasira aliondoka zake ""Unarudi uko tena eeeh kwa kahaba wako Hakijibu kitu akaondoka zake Roho iliniuma utafikiri nafanyiwa kosa niliwaza kwanini niumie hivi wakati simpendi derick nilijitazama kwenye kioo na kujiona Nina hasira kuliko niliondoka kwa hasira kwenda kwa Denis Nikiwa nakaribia nilimuona Cleopatra akitokea kwa Denis moyo wangu ulipiga paaa alikua amependeza kuliko karembo wake uliwafanya vijana wote wamtazame nilishindwa kuelewa jion hii Cleopatra anafata nini kwa Denis Nilipiga honi akageuka aliponiona kama alishtuka hivi ""Vipi cleo unatokea wapi ""Aaaah wifii nii ""Nini """Usimwambie kaka lakini ""Nini hiyo ""Kuna mkaka alinitongoza sasa alitaka tuonane ndo nmetokea apo ""Ooooh sasa mbona uku ni kwa kaka yako akijua ""Hawezi jua usimwambie. Mara simu ya cleo ikaanza kuita ""Hallow kaka nataka kuja ila Niko na wifi apa Sikusikia alijibu nini ila simu ikakatwa ""Wifi wewe nenda ""Si tunaenda wote ""Hapana kaka kasema nije kesho ""Oooh Ayah kwaheri Niliondoka mpaka kwa Denis na kumkuta kalala ""Vipi unaumwa ""Hapana siumwi ""Wakati naangaza macho yangu yakatua kitandani na kuona saaa ya kike ""Ile saaa ya nani """Aah Ahh ahh ya kwako nimekununulia ""Wao asantee mpenzi Upendo kwa mume wangu ukaanza kutoka kabisa sikutaka ata kushiriki nae tendo la ndoa nilikua nilihisi kinyaa kila alipotaka kushiriki na mimi nilitoa sababu zisizo na maana na derick alielewa Miezi nayo haikusubiri kila mara nilikutana na Denis hakuchoka kunipa penzi lake alizidisha njonjo kila tukikutana akiwa na shida ya hela sikusita kumpa nilikua tayari kumdanganya mume wangu ili tu nipate na kweli nilifanikiwa kumpa anachotaka kwa wakati. ITAENDELEA... Full shilingi 1000 SEHEMU YA TISA ________________________________________ Usiku mmoja nilikua nimelala ghafla nikasikia kilio bafuni nilinyanyuka na kunyata mpaka mlangoni nikachungulia alikua derick anajichua nilijikuta nacheka kimya kimya na kurudi kitandani Alitoka bafuni akiwa kachoka sana na kupanda kitandani muda wote nilikua namtazama tu uku natabasamu moyoni alianza kunipapasa kwa hasira nikatoa mkono wake ""Lilian mke wangu wiki sasa hunipi haki yangu ""Haki gani ""Kwani wewe hujui ""Haki yangu ya ndoa ""Ipi hiyo """Lilian unajifanya ujui ""Kwani kuna haki unanidai ""Hapana lilian ila nami nahisia embu tazama ninachokifanya uko chooni wewe unafurahi tu Niligeuka upande mwingine na kulala jambo Hilo lilimkera sana derick alinigeuza na kunipiga kwa mara ya kwanza derick alinipiga tena kisawa sawa . ""Derick wewe ni wa kunipiga mimi ""Umezidi lilian unanifanya niwe na hasira ""Nakuchukia wewe mwanaume ""Umesababisha wewe lakini ""Sikupendi Nilisimama na kutoka mlangoni nilikutana na Joan ""Dada imekuje ""Kachanganyikiwa yani ananipiga ""Umemfanyaje ""Tutaongea asubuhi Nilienda chumba cha wageni na kuanza kulia derick alikuja na kuanza kugonga ila sikufungua aligonga mpaka akachoka ila nilikua kimya tu akaamua kuondoka nilichukua simu yangu na kumpigia Denis iliita bila kupokelewa. Niliangalia saa ilikua sa saba sikujali nilitoka nikachukua ufunguo wa gari ""Lilian mke wangu unaenda wapi ""Siwezi lala humu ndani ""Kwanini tusiyamalize mke wangu nilipitiwa ""Hapana achana na mimi sikai uku usije ukanipiga tena Kwahasira nilitoka adi nje na kuwasha gari na kuondoka mawazo yangu yalinituma niende kwa Denis giza lilitanda ila sikujali niliondoka zangu kilio hakukuisha mpaka nafika kwa Denis nilipaki gari na kubisha hodi kama nusu saa hivi Denis alifungua ""Lilian usiku huu Sikumjibu nilimkumbatia kilio kikaanza upyaa ""Umepatwa na nini mpenzi ""Derick kanipiga ""Kwasababu gani ""Mimi sijui naogopa Denis ata kulala nimeshindwa """Polee mpenzi wangu Ingia ndani Niliingia ndani nikapanda kitandani akanifunika nae akapanda tukalala nililala kwa amani sana nikiwa nimelala niliota ndoto moja iliyonishangaza sana Nilikua nalia huku Denis anaoa mwanamke mwingine sura yake sikuiona vizuri upande mwingine nilimuona derick nae anamuoa Joan nilishtuka sana na kukurupuka mbele yangu nilikutana na cleopatra kalala kwenye kochi. Uyu kaja sa ngapi niliangalia simu yangu ilikua sa mbili asubuhi niliangaza sikumuona denis nikaamka kwa uchovu na kumfata cleo ""Wifi wifi wifi Alifungua macho taratibu na kunitazama ""Umeamkaje wifi yangu salama ""Mmmh umekuja sa ngapi ""Kaka asubuhi alinipigia simu na kunambia hali yako ndo nikaja ""Oooh kwahiyo kaenda wapi ""Dukani tu apo jirani ila kaondoka na gari lako ""Hamna shida ""Polee wifi yangu """Asanteee cleo Maskini mimi penzi la Denis lilinichanganya bila kujua kua Cleopatra alikua ndani usiku mzima nilifungua simu yangu na kukuta missedcall hamsini za derick na tano za Joan niliamua kumpigia tu Joan ""Dada Umelala wapi shemu kachanganyikiwa uku amekutafuta hoteli zote aupo """"Niko salama Joan ""Uko wapi sasa ""Usijali nitakuja ngoja akili yangu itulie kwanza ""Anhaa sawa dada nimwambieje shemu sasa ""Achana nae Nikiishi kwa Denis siku tatu ela ya matumizi nilitoa mimi kwa siku tulikua tunatumia elfu thelathini Cleopatra nae alikua akija kila siku hali hiyo ikanipa wasiwasi na hasira siku moja nikavunja ukimya """Wifi si ulinambia uko chuo mbona kila siku unakuja """Ahhh saivi tuko likizo ""Kwani hauna mpenzi ""Ninae mbona ""Sasa si ukakae nae kila siku unakuja uku ""Jamani si kwa kaka yangu ""Ata kama asubuhi mpaka usiku ubanduki mpaka tunashindwa kufanya mambo yetu """Wifi ndo umefika uko """Eeeeh uondoke bibi wewe Wakati naongea hayo kumbe Denis alikua akisikiliza hakuongea kitu alinifata na kunishika mkono adi nje. ""Funguo huu apa rudi kwa mume wako ""Denis mbona hivyo '""Si unataka mdogo angu aondoke sasa wewe ondoka ""Lakini si ukweli ""Wewe apa kwako ""Ndio kwangu kwako ni kwangu pia ""Kwani nimekuoa ""Denis mbona unahasira sana ""Unaongeje vile na mdogo angu ""Nisamehe basi ""Rudi kwako kwanza Denis alionesha chuki za wazi na hasira sikua na namna nikaamua niondoke zangu nikarudi kwa derick ila nilikua na mawazo sana kwanini Denis awe mkali vile . Itaendeelea Full shilingi 1000 SEHEMU YA KUMI _________________________________________ Nilifika kwangu na kushuka sikua na amani ata kidogo niliingia mpaka ndani nyumba ilikua kimya taratibu nikapanda ngazi adi chumbani. Chumba kilikua kimya sana kilikua kimekaa ovyo ovyo kitanda kilikua rafu sana nilitoa mashuka yote na kutandika upya kisha nikajilaza Nilishtuka kelele za watu sebleni nilitoka nikatoka watu walikua wengi ndani marafiki wa derick na Joan sikujua kuna nini nilishuka taratibu mpaka chini. ""Karibu mke wangu nyumbani ""Nini hichi ""Kwaajili yako lilian ""Kivipi yaani ""Nisamehe mke wangu kwa kilichotokea siku ile ""Mmmmmmmh Niliona adi aibu sana nikaamua kua mpole mana ilikua ni suprise ya ajabu sana ilikua ni tafrija fupi tu ya derick kuniomba msamaha kisha ikafika mda wa derick kuongea. Alisogea mpaka karibu na kwangu na kunishika mkono nikasimama ""Jamani wote mliofika nadhani wote mnamjua huyu mwanamke ""Ndiooooo """Naomba kuongea mbele yenu nilimkosea sana siku za karibuni ila leo naomba niombe msamaha mbele yenu Derick alipiga magoti chini na kunitazama ""Nakupenda Lilian wangu naomba nisamehe Kwa aibu yangu nikaamua kumsamehe tu """Asantee lilian kwa kuambatanisha na msamaha wangu nakukabidhi funguo za gari Ni jambo ambalo sikulitarajia ata kama litatokea gari lilikua zuri sana kwa furaha niliyokua nayo nilijikuta nampa busu derick ni furaha tu niliyokua nayo. Joan mda wote alikua akinitazama tu kwa furaha alitamani angekua ni yeye ndo anafanyiwa vile ila haikua hivyo vyote vilikua vyangu nilikua nacheka cheka tu kwa furaha Sherehe iliisha watu wakarudi makwao niliondoka na kwenda chumbani nilishika simu yangu na kukuta missedcall za Denis na message juu akiniomba msamaha kwa alichokifanya Nilifikiria kwa mda na kuamua kumpigia. ""Lilian malkia wangu ""Nambie Denis ""I'm sorry ""Usijali ni Sawa yule ni ndugu yako ulikua unamtetea ""Umenisamehe mke wangu ""Nini umeniitaje ""Mke wangu """Mmmh jamani tangu lini ""Tangu siku nakuona ""Yaani wewe unajua kuniteka ""Kwanini mpenzi wangu ""Kwa maneno yako tu Tuliongea kwa mda kidogo mpaka nikanogewa hisia zikaenda mbali nikajikuta napanda kitandani na kuanza kunyegeka😂😂 kwa mbali nilishtuliwa na kelele za miguu ya mtu ikija nilikata simu haraka haraka. Alikua ni Joan akaingia ndani ""Dada bora umerudi jamani ""Kwanza nani aliwaambia narudi ""Ata Mimi sijui shemu alipigiwa tu simu na mtu akamwambia unakuja ""Anhaaa ""Lakini dada unabahati sana ""Kwanini ""Unajua shemu tangu uondoke leo ndo anakula """Heeee ""Ndio nakwambia sasa ni kweli ""Maskini jamani ""Tuache hayo ulikua wapi kwanza ""Wewe nawe haikuhusu Muda huo huo derick aliingia ndani na Joan akatoka derick alinisogelea na kunikumbatia ""Karibu nyumbani """Asanteee ""Umeipenda zawadi ""Ndio sana tu Maisha na derick yakaanza upya nikaanza kujibebisha ila Denis sikumuacha nilipigania penzi la mchepuko na mume wangu kwa wakati mmoja

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA

Mpya zaidi Nzee zaidi

Ads related

Smartwatchs