𝙆𝙐𝙈𝘽𝙀 𝙉𝙄 𝙉𝘿𝙐𝙂𝙐 𝙔𝘼𝙉𝙂𝙐

" DAAH" KUMBE NI NDUGU" SEHEMU YA 1__2 " ilikuwa mchana mida ya saa saba, wakati Nipo chumbani Nimejilaza huku nachezea chiezea Simu,,Ghafla Nikamsikia Maua Anamwambia mama yake, ▪️Mama Naomba nikuulize kitu maana nimechoka Nahiii hali " Maua, alimwambia hivo mama yake *_️Kitugani unataka kuniuliza Mwanangu, ▫Kwakweli Mama mimi sijielewi siku hizi kila wakati Nawashwa hapa lakini nikijishika nakuta Utelezi nimeona bora nikuulize" Mama huu utelezi Unasababiashwa na nini maana zamani sikuwa hivi, ▫️Maua mwanangu wewe umesha kuwa binti mkubwa Na binti akiwa mkubwa kama wewe Anafaa kuolewa" Maua fanya ukubali kuolewa hata kama huwapendi wanaume lakini itabidi kuolewa nae tu, maana Sisi wanawake Tumeumbwa kwajiri ya wanaume, huo muwasho wako mkunaji ni mwanaume pekee, huwezi kujikuna mwenyewe, ▫️Lakini mama unajua jinsi navyo wachukia mawaume Yani sipendi hata kuwaona , Kwanza huyu mpangaji Wetu ananitia kichefuchefu, ▪️Najua kama huwapendi ila huna budi maua, Mama alimwambia maua, Wakati wanayaongea hayo Yote, nilikuwa Nayasikia, kwa sababu walikuwa wanaongea kalibu na chumba changu, huku wakijua kwamba" Nimetoka kwenda kwenye mihangaiko yangu,, Baada ya kusikia Maua anashauliwa Na mama yake Nilishangilia kwa furaha, maana, Maua alikuwa anajifanya analinga, Wakati wanaendelea kuongea Nilifungua mlango wangu kisha nikatoka makusudi iliwanione, Kweli waliniona, * Joshua kumbe upo baba, Mama maua aliniuliza hivo? * Ndiyo Mama Leo sijisikii vizuri nilikuwa tu nimelala, " Nilimjibu kisha nikaenda sebuleni, Nikakaa kwenye kochi, Punde Tu, Maua akaja kisha akaniuliza, * Joshua Umesikia Nini, wakati nikiwa naongea na Mama yangu, * Nimesikia kilakitu kwani vipi, *Mmmh Basi nakuomba usimwambie mtu yoyote, * Powa, Nilimjibu hivo, basi akaondoka ila Mimi nilibakia nimekaa huku nafikiria jinsiya, kumtongoza tena kwa maranyingine, "Sikuhiyo ilipita Bila kupata, nafasi ya kumtongoza, Sasa siku iliyofata " Walipata mziba Babu yake maua, Alifariki Huko kijijini kwahivyo Baba na Mama wa Maua,walilazimika kusafiri kijijini, * Joshua Sisi tunaenda msibani kijijini Baba mkwe amefariki Jana usiku tutabaki huko ndani ya wiki moja au zaidi? kwahivyo Mimi na Mama yako? tumekuamini wewe,Ubaki kutazama usalama wa nyumba" pamoja na binti yetu Maua" "Baba maua, aliniambia hivyo baada ya kuniita, * Sawa mzee ila poleni sana na msiba? *Tumesha poa ngoja tuwahi Nikirudi nitakulipa chochote kitu, "Baba maua aliniambia kisha wakaondoka yeye na mkewe, Sasa ndani ya mjengo nikabaki Mimi na Maua tu, " Hii ndiyo Nafasi ndani ya wiki hii Lazima Maua nimchape, Nilijiambia hivyo, , harafu nikaenda kwanye mlango wa chumba cha maua, Nilipofika nikachungulia Nikamuona Maua" Amekaa kitandani Analia, nilipotazama zaidi nikaona mapaja yake na chupi yake nyeupe, Dah anamapaja mazuri huyu " ngoja nimgongee" nilijiambia hivo, kweli nikagonga mlango, punde Maua, akafungua, kitendo cha kufungua tu kabla hajaniuliza Chochote, Nilimsukuma akasogea kando ya mlango nikaingia, *Joshua Umekuja kufata nini chumbani kwanguu, Maua, akaniuliza hivo, Itaendelea DAAH" KUMBE NI NDUGU" SEHEMU YA 2 * Joshua umekuja kufata nini chumbani kwangu, Maua, Akaniuliza hivyo, SONGA MBELLE ,,,,,,, * maua Mimi nimekuja kukufariji, nimesikia kilio chako tafadhali njoo hapa kitandani, nikubembeleza kwa maneno mazuri kama sauti ya kinanda, tanumaini utafarijika, "Nilimwambia hivo Maua, , * Joshua Mimi sihitaji faraja yako kwanza sipendi kukaa kalibu na wanaume Nyinyini wabaya sana nawaona kama, mashetani tu tunayoyakemea kanisani, tafadhali" joshua toka chumbani kwangu, * Maua jamani, Mimi sina niyambaya Nimekuja, Nimekuja kukufariji tu, unajua kufiwa na babu siyo kitukidogo njoo nikufariji mama, * sihitaji faraja yako ninacho hitaji utoke chumbani kwangu Ukiendelea kukaa nitapiga kelele unanibaka watu waje wakuponde ufe, toka chumbani kwangu, Maua aliniambia hivo, hukuakionekana mkali kweli kweli, Nilipiga mahesabu yangu "Nikajiambia, Kuku wangu mwenyewe manati ya nini, baada kujiambia nikatoka chumbani kwake, ilikuwa mida ya asubuhi Soma hapa Simulizizaonline.blogspot.com "DAAH NI" KUMBE NDUGU" SEHEMU YA 3" " Sasa Nilikumshika Mtindi wake, Ghafla Maua Akaniambia, * Usishike maziwangu Nitamaliza nguvu, Maua, aliponiambia hivyo Niambia hivo Nikajua uzaifu wake upo kwenye Mtindi, Nikaanza kumshika kila Mara Maua, alianza kutulia nikakujua nimemaliza kazi, maana nilipata mpaka nafasi ya kumnyonya, Mtindi lakini kabla sijanogewa kunyonya Ghafla Simu ya Maua ikaanza kuita, *Joshua, Niachie nipokee simu Baba ananipigia Maua, aliniambia Kweli Nikamuachia, iliaongee na Baba yake kwanza, * Hello Baba Shikamoo, * Marahabaa Maua hujambo, * Sijambo Baba vipi mmeshafika fika kijijini, * Ndiyo tumefika Lakini tulichelewa kidogo tukakuta wamesha maliza kuzika, Maua mwanangu, Nakuomba unisikilize Mimi na mama yako tukombali kwa sasa ninachokuomba, ukae vizuri na Joshua umfanye kama ndugu yako najua kama unamchukia ila itabidi upunguze kidogo chuki zako, ukipika chakula Ule pamoja Nae, Nakwambia Hivyo kwa sababu hujo ndiyo ndugu yako kwa sasa hadi tutakapo rudi, * Lakini baba Mimi sipendi kukaa na Joshua, ananisumbua Naomba unitumie nauli na Mimi nije huko kijijini, *Hapana Maua wewe bakia kutazama usalama wa nyumba sisi tutakuja hivi kalibuni, * Sawa baba nimekuelewa lakini Joshua, ananikera kila wakati, * Anakukera nini * Ananikera tu sipendi hata kumuona, *Maua nakuomba umvumilie tu usimchukie kiasi hicho Nae ni binadamu kama wewe umenielewa, *Sawa baba Nitajaribu, ila msalimie mama, * usijari nitamsalimia Nakutakia Usiku mwema, * Nawewe pia baba, Maua, alimaliza kuongea na baba yake, Maneno yote waliyoyaongea niliyasikia, Sababu nilikuwa kalibu yake, Baada ya kumaliza kuongea Na simu Maua, akanitazama Harafu akatoka, jikoni Lakini, Mimi nilibakia tu nilijua kwamba atarudi maana alikuwa hajamaliza kupika, ""Sijuwi nikamtoaje Joshua kule jikoni ilimimi nipike kwa Uhuru maua alijiuliza mwenyewe, Mara akapata wazo kisha akaniita, * Joshua njoo, nilisikia maua ananiita, nikatoka jikoni kisha nikamfata, alipo, nilifika nikamuuliza * Vipi mrembo wangu, * Naomba hii pesa ukanunue unga nijenipike ugari wa kula Mimi na wewe, nilikuwa nafikiri huku ndani upo kumbe umeisha, maua aliniambia, kwa Sauti yake nzuri, hapo tena sikuwa na ubishi niliipokea pesa, huku namtazama usoni Maua, akapwesa kidogo na macho yake mazuri, hapo ndipo alinimaliza kabisa, Nilitoka mkumku mpaka huko dukani ilikuwa mbali kidogo, Lakini sikuona umbali sababu nimeagizwa na mrembo, kwa uzuri wa Maua, hata angeniagiza kwenda Zanzibar kwa miguu ningeenda bila kujari chochote" Duka nililofikia Nilikosa unga wa sembe, ikabidi niende duka lingine, Nikapata, sasa nikaanza kurudi, nyumbani huku nikiwa ninafuraha, moyoni, Leo Maua namgonga, tena bila kumfosi, harafu anamacho mazuri yani aliponitazama akapwesa, amenifanya nimuwaze yeye tu, Nilijiongelea mwenyewe njiani, baada ya mda nikafika home, nikaingia ndani nikamkabidhi maua, unga, maua akapika ugari huku Najaribu kumtia swaga za kinyamwezi zaidi, maua aliongea na kunijibu vizuri, hadi alipomaliza kupika, Tukasaidiana kutenga chakula mezani harafu tukawa tunakula pamoja, Wakati tunaendelea kula maua, akaniambia * Joshua Mimi naenda kuangalia tv chumbani kwangu, usiku mwema, * Vipi na mimi nije tuangalie wote, Nilinuuliza hivo Lakini maua hakunijibu, Akaenda zake, Nilikula haraka haraka, harafu nikaenda ulipo mlango wa chumba cha maua, Nilifika Nikausukuma taratibu, Kweli mlango ulianza kufunguka kwa maana hiyo ulikuwa haujafungwa, uliegeswa tu, Niliingia nikamuona maua, amejilaza kifudi fudi kitandani, Nikapata kichaa cha mapenzi nilipoona kalio lake moja likiwa ndani ya Nusu chupi,,, ItaendeleaUTANIPA NINI.......!? Sehemu ya 5__6 tumetazamana USO kwa macho na huyo kijana🎇📝songa nayoo,,,💫 penda njoo ushushe mizigo huku mbona umezubaa tu mke wa boss aliniambia hivo ndipo nikashtuka",* nikatazama chini na kuanza kupiga hatua kusogea hapo kwenye gari nilimusalimia mke wa boss, harafu nika msalimia na huyo kijana,* nilimwambia ,kaka mambo yeye, akajibu marahabaa , duuh nikajua kumbe na yeye nimemu changanya kwa uzuri wangu*, nilichukua mizigo nikaipeleka ndani, harafu nikasimama tu hapo sebuleni , mke wa boss aliingia akaenda chumbani kwake moja kwa moja, yule kijana* nae aliingia akanitazama" usoni niliona aibu nikashindwa kumtazama "nikajifanya kufungua fungua mizigo hapo mpaka yule kijana akaondoka nilimuona anapanda ngazi kwenda juu*, ilioneka hakuwa mgeni katika nyumba huyo"* nilivyo kuwa mmbea nilianza kumfata nyumba ilinimuone anaenda kuingia katika chumba gani" kwa bahati nzuri nilifanikiwa kumuona" anaingi chumba jilani na chumba changu * basi nikarudi sebeleni kuchemsha maji kwenye chupa ili mtu yoyote atakae hitaji maji ya moto kwenda kuoga basi afike na kuchukua tu asianze kunisumbua mimi"* nilipo teleka nikawa nasubilia yachemke baada ya mda kidogo mke wa boss alikuja" akaniambia* penda, huyo niliye kuja nae ni mtoto wangu bado anasoma , anaitwa" daudi" pia ni mtundu sana kuwa makini nae* kama livyo kuwa makini" na kazi yako* aah sawa mama nimekuelewa pia nime furahi kumfahamu" nilijibu huku natia maji kwenye chupa zingine, ila kuna kaka zake wawili watakuja mwezi ujao wao wako kenya wanasoma huko* kwani mama una watoto wangapi * Nina watoto watano wakike wawili na wakiume wa tatu,* mke wa boss alinijibu swali langu *nikatamani nimuulize swali ilingine lakini nikapotezea tu maana hawa mabossi nao ni matatizo wakati mwingine* ukiwauliza uliza sana mwishoni watakuona mpelelezi, harafu wana kutimua kazi* usiku tayali ulikuwa umesha ingia sikuwa na haja ya kupika, kwa sababu chakula kilikuwepo nilikuwa nasubuli mda ufike tu niweke hapo mezani watu tuaanza kula, mke wa boss " alienda ukumbini akawasha TV akaanza kutazama mchezo, na Mimi nilijisogeza* nikakaa kwenye zulia harafu nikaanza kutazama*, nilipo nogewa na mchezo* Mara nikasikia kuna mtu ananiita huko juu, niliinuka nikaenda mpaka juu nika mkuta yule kijana yupo kifua wazi , nika muuliza daudi* daudi vipi" Dada hebu njoo unisaidie kutandika shuka jipya kwanye godoro langu, maana lililo kuwepo. silipendi* mhh kwani siku zingine anakuba dilishiaga.nani* Nilimuuliza hivo akajibu"siku zingini wana nibadilishiaga Dada zangu*ila sasa,hawapo njoo unisaidie Mara moja tu* daudi aliniambia" hivo ikabidi nikubali kuingia chumbani kwake nimsaidie kutandika shuka* nilipo ingia tu nikamuuliza shuka unayo taka kutandika" iko wapi alinipa nikaanza kutandika huku anani chombeza kwa maneno mazuri ya kunisifia Sifia* ,niliishia kucheka tu" Mara nikashangaa ameanza kunishika mgongoni* nika simama harafu nika mwambia sitaki mazoea kwenye mwili wangu,*hapo hapo nika nuns" nilitaka kutoka lakini, alinizuia mlangoni" nikashindwa kupita*, daudi nipishe nipite Mimi*Dada , tuliabasi tupige story "kidogo* hapana sitaki story za chumbani kwako. Mimi. Dada" usiogope daudi aliniambia harafu akanikumbatia kwa kushtukiza* alinikela" sana nikamsukuma huko lakini kwa bahati mbaya alikuwa ameni ganda sana"tulianguka wote kitandani" Mara ghafla,, UTANIPA NINI.... !? sehemu ya" 6 , Mara ghafla malango ukaanza kugongwa huki ikiambatana Sauti ilyo uliza mnagombana nini huko chumbani hebu fungueni mlango,🎇💥 SONGA NAYOO,,,,, ilikuwa saut ya mke wa boss ,daudi alinachia" *nikafungua mlango huku nikiwa nimechukia sana nilipishana na mke wa boss nikaenda chumbani kwangu nikajifungia huko" harafu nikaanza kulia* wewe daudi umemfanya nini mtoto" wa watu, daudi aliulizwa hivo na mama yake* hapana mama Mimi sijamfanya kitu" ni yeye amejikwaa akaanguka chini nikajalibu kumshika mkono nimnyue ndo akasema hataki" harafu akaanza kulia* daudi alimdanga hivo mama yake"*daudi wewe daudi, unazani Mimi sikujui tabia zako ngoja naendakumwambia baba yako* mke wa boss alisema harafu akatoka chumbani kwa daudi akatelimka chini ya ngazi" moja kwa moja akenda chumbani kwa Mme wake" Mme wangu daudi tayali amesha aanza visa vyake ndio maana hatukai na wafanya kazi humu ndani" *hebu kaniite huyo daudi na Dada waje ukumbini"boss alimwambia "mke wake kweli elenda akamuita daudi* harafu alikuja akanigonge na mimi" nikafungua harafu akaniambia kwa upole" penda mwanangu" hebu shuka chini tukazungumze, Mme wangu akikuuliza kitu mwambie ukweli usiogope sawa, nilikubali tukashuka chini, mpaka ukumbini tukamkuta boss na daudi wamekaa* daudi, umemfanya nini huyu Dada, boss alimuuliza hivo daudi akiwa amemkazia macho,* hamna sijamfanya kitu baba* ila nilimwita chumbani kwangu unisaidie kutandika shuka kitandani maana lilikuwa linani zingu kwa bahati mbaya alikanga shuka na Mimi nilikuwa nalivuta, ndo akaanguka chini"daudi alijibu hivo " boss akanitazama mimi " ety dada ni kweli anacho kisema daudi" ndio boss ni kweli lakini meneno mengine amedanga Mimi sijateleza wala sijaanguka chini *wakati nataka kutokota chumbani kwake alinivuta tukaangukia kitandani akataka kunichum kwa bahati nzuri mama aliwahi kuja" nilijibu hivo'? Daudi alinitazama" kwa jicho baya mpaka nikaogopa"*ikabidi nitazame chini tu, daudi unani danganya Mimi, unajua tumempata wapi huyu Dada, *unaujua gumu wa kupata Dada wa kazi sikuhizi, wewe* unajua umesababisha wadada wangapi wanaondoka hapa kwajili ya ujinga wako*" ni malangapi nakuonya uache huo upuuzi wako" bado unarudia tu* nimechoka kuongea na wewe, mtoto gani huna adabu wewe* Dada hebu nenda nje ukamwambie mjishi akupe fimbo" nje nitumbue jipu hili umezidi usaha*, boss aliniambia hivo" akiwa amekasilika*nilitoka njee kwenda kwenye kibanda cha mjeshi, nilipo kalibia nikaanza kusikia sauti za mahaba"zinalia ndani ya kibanda nikafikili labda* mjeshi ameingiza demu kwenye kibanda, chake* nilinyatia talatibu" mpaka pale nikachungulia".nikamuona mjeshi, amekaa anangalia video za xxx niliziona vizuri tu kutokana na ukubwa wa simu yake" mhh niliguna harafu nilitulia kidogo kuangalia , sasa wakati naweka pozi la kwanza nione vizuri, Mara ghafla mjeshi alilitoa dude lake ndani ya suluwali'* mama weeee lilikuwa lefu limesima imara kama mnara harafu Nene" mhh huyu mjeshi ndo anani taka Mimi anitie lote hili jamani, si ataniua penda Mimi" nilijisemea hivo kimoyo moyo" Mara tena nikamuona mjeshi analitingisha tingisha* harafu akasema. Siku akinikubali penda'nitafurahi mtoto mtamu kama yule kwanza nitamwambia ainyonye kama wanavyo nyonyana wazungu harafu sasa namtia kwenye kitumbua chake nampiga nayo mpaka anaanze kuona ma sita sita" * wakati anasema hivo mjeshi nilikuwa namsikiliza tu"harafu namtazama bila yeye, kujua" mhhh wanaume jamani mna mambo........ItaendeleaDAAH" KUMBE NI NDUGU, SEHEMU YA 7❣️ "Ananitazama kwa umakini mkubwa, mimi nilikuwa simjui Lakini sauti yake nilishawahi kuisikia, SONGA MBELEE,,,,, * Zoi, kwani unamfahamu Joshua, Mama maua, alimuuliza msichana ambaye walikuja nae, * Hapana Dada nimemfananisha , na Rafiki yangu tu, Zoi, alijibu hivo lakini aliendelea kunitazama zaidi, wakati bado tupo hapo getini maua nae alikuja, akawapokea kwa furaha wazazi wake, * jamani Mama mdogo kalibu tena nyumbani kwetu, maua, alimwambia, Zoi, * Assante maua nakuona umesha kuwa binti mkubwa inabidi tukutafutie mchumba uolewe, * Ma mdogo bwana umeanza masihara yako, Lete nikusaidie begi, maua alisema kisha akapewa begi na mfuko wa lambo uliyokuwa na vitu ndani yake, * wakati huo Mimi nilikuwa napeleka ndani mabegi ya wazazi wa maua, * Vipi Joshua Ulikuwa unaishi vizuri na maua maana hata wewe unamjua jinsi alivyo mkolofi, " mama maua, aliniuliza hivo, * alinisumbua siku mbili tatu, lakini tulipatana mpaka leo, baada Mimi kujibu hivo Maua na Zoi, waliingia ndani, """Sababu Mimi sikuwa mwana, familia niliondoka nikatoka nje, " Huyu Zoi, Kwanini alikuwa ananitazama hivi, Harafu namuona kama anafanana na mtoto wa Mjomba khamisi, wa kule kijijini, Hata sauti yake ni kama yeye, Nilijiuliza huku nimeketi kwenye ndoo, lakini nilikosa jibu" ikanibidi kupotezaea, "niliendelea na mambo mengine kwenye simu, Niliwasha data, Kisha nikaingia Instagram, nilikuwa na demu wangu mmoja alikuwa mzuri kuliko Tunda, lakini sijawahi kuonana nae Live, ," basi nikaanza kuchati nae kupoteza mda, "Nilichati na demu wangu wa Instagram, mpaka saa sita mchana, nikazima data baada ya kuishiwa bando, * Maua, fungua huo mfuko wa lambo kuna maembe na karanga chukua maembe mawili harafu chota karanga kwenye bakuli kisha umpelekee Joshua na yeye akapate kuonja vitu vya kutoka kijijini, " Maua alimbiwa hivo na baba yake. * Sawa Dady, baada ya kujibu akachukua bakuli kisha akafungua mfuko akachukua maembe mawili kama alivyo ambiwa, akachota na karanga, harafu akatoka, nazo nje, * Joshua mbona hauna furaha umekaa kinyonge tatizo nini beby, maua aliniuliza alipofika sehemu niliyokaa,, *_Hapana maua Mimi nipo sawa huo wasiwasi wako tu, * Mmmh Haya basi shika maembe na karanga nimekuletea ule iliuongeze nguvu za kiume, leo usiku Nakuja chumbani kwako unikojolee mabao makali kama mashuti ya Messi, na Ranaldo, "Maua aliniambia hivo, * Lini unakuja chumbani kwangu, * Leo usiku nitakufata usifunge mlango uegeshe tu, * Utakujaje wakati unalala na mgeni, * Usijari kuhusu hilo nitamtoloka tu,, Baada ya kunijibu "maua akawa anaitwa kule ndani " basi aliondoka, Mimi nilibaki na furaha baada ya maua kuniambia kwamba atakuja usiku chumbani kwangu, nilianza kula kalanga Mpaka nikazimaliza zote sababu nilikuwa nazipenda Sana, Mida ya jioni ilipofika nikaenda, uwanja wa mpira kufanya mazoezi, Saa kumi na mbili jioni nilirudi nyumbani Kabla ya yote nilienda kuoga baada yakuoga nikaingia chumbani kwangu kubadili nguo, "* Nifanye nini ili nimtazame joshua mgongini kwake nione kama anayo chapta, au Hana, " mmmh hapa itabidi nimteke kimapenzi nitamgundua mara moja nikifanya hivyo, Zoi, alijiambia yeye mwenyewe huku anasaidiana na Maua" kupika chakula cha usiku, ,"Saa mbili usiku chakula kilitengwa mezani walikula wao wanne kama familiya, kisha Zoi, akaambiwa aniletee chakula kweli aliniletea chakula changu kwenye sahani, * hodi humu ndani, Zoi, alibisha kwenye mlango wa chumba changu, " Nilifungua kisha nikamuuliza * vipi, * Joshua nimekuletea chakula jamani pokea basi, *assante lakini wewe unaitwa nani, mbona kama nilisha wahi kusikia sauti yako sehemu, * Mimi naitwa Zoi, ila kuhusu sauti yangu usijari watu wengi wanasauti mzuri kama yangu" kwa sasa ngoja Mimi niende sitoweza kuongea na wewe zaidi,

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA

Mpya zaidi Nzee zaidi

Ads related

Smartwatchs