NILIEMDHANIA KAHABA KUMBE NI BIKRA

.

21 - 24

.

NILIEMDHANIA KAHABA KUMBE NI BIKRA

.

SEHEMU YA 21 Nasra alikuwa na aibu mno kama mwanamke , hakuwahi kuwaza atakuja kuwa uchi mbele ya Roma , alijishangaa ilikuwaje maana hakuwa ni mwenye kukumbuka kabisa , kumbukumbu zake za mwisho zilimwambia alikuwa ndani ya eneo hili la kuegeshea magari akijiandaa kwenda nyumbanni , lakini baada ya hapo hakujua nini kilitokea. “Roma nini , kimetokea kwanini umenivua nguo?” “Nasra mrembo ,hebu vaa kwanza hizo nguo maana unaniweka kwenye wakati mgumu”Nasra alichukua nguo zile na kisha alivaa harakaharaka , hakujali tena macho ya Roma ambayo yalikuwa yanamwangalia , alijiambia hana cha kuficha kwani mwanaume huyo alikuwa ashaona kila kitu. “Nataka kujua nini kimetokea Roma kwanini niko hivi na nguo zangu ziko wapi?”.

.

“Hata mimi sijui nini kimekutokea , nimekukuta kwenye gari ukiwa hauna nguo ndio nikaenda kukununulia hizo unazoona”Alimdanganya , lakini bado Nasra hakuelewa ila alikumbuka alipopatwa na usingizi ghafla. Nasra aliona hana haja ya kuendelea kuuliza maswali , kwani alimuona Roma kama mtu ambae hakuwa na maelezo ya ziada kwake kumfanya aelewe , lakini pia alijiona hajatumika na hilo likawa ni ahueni.

.

“Huna haja ya kuwa na wasiwasi Nasra kwa sasa nenda nyumbani”Aliongea Roma kwa kujiamini na akijiandaa kutoka , lakini alishangaa kuvutwa na Nasra na midomo yao ikagusana na Roma alijikuta akishangaa maana ilikuwa ghafla sana. “Asante Roma”Aliongea huku akiona aibu za kike akijitoa kwa Roma , lakini Roma alitabasamu na kumvuta tena na wakaanzza kunyonyana kwa spidi.

.

“Twende ninapoishi Roma”Aliongea Nasra “Poa” Roma ndio aliekuwa ameshikilia Usukani na ndani ya madakika machache tu walikuwa ndani ya mikocheni kwa Warioba , wakiingia ndani ya Apartment. Roma alisifia mahali anapoishi Nasra maana palionekana ni pakishua ,baada ya wawili hawa kuingia ndani walizama bafuni na kilichosikika huko ni miguno ya kimahaba. “Roma miguu haina nguvu twende kitandani”Aliongea mwanadada huyu na Roma hakumsemesha Zaidi ya kumbeba kwa mtindo wa Nasra kumkumBatia Roma huku miguu akiwa ameipitisha kiunoni na Mtwangio wa Roma ukiwa ndani ya kinu. “Roma nioe”Aliongea Nasra mara baada ya Roma kufikia kileleni. “Nina mke Nasra na sina mpango wa kuoa tena”Aliongea Roma na kumfanya Nasra ahuzunike. “Ila usijali ninaweza kuwa Zaidi ya mume kwako kama utanihitai mrembo eh”Huku akimimnya minya kalio kama Embe na kumfanya Nasra Atabasamu.

.

Roma alikuwa ashasahau kabisa kurudi nyumbani na wala hakuwa na mpango , walipika wakala na kupakuana na kupumzika na kupakuana tena , huku Nasra akiwa ni mwenye kupiga magoli mengi mno yasio kuwa na idadi na aliishia kujisemea moyoni kuwa katika siku zote alizofanywa siku hio kafanywa kweli na hata alivyokuwa anakaa alishindwa kubana miguu.

.

Roma baada ya kuamka asubuhi , alimwamsha Nasra na kisha walipiga cha Asubuhi na Roma akaoga na kisha akaondoka , alipanga arudi nyumbani kwake maana hakurudi Zaidi ya siku mbili.

.

Saa moja na nusu alikuwa akiingia ndani nyumbani na kupokelewa kwa ukarimu na Bi Wema lakini pia akipokelewa na jicho kali kutoka kwa Edna.

.

“Bebi nimerudi”Aliongea Roma huku akikaa kwenye meza kwani Edna na Bi wema walikuwa wakinywa chai asubuhi ila kwa Edna aliitikia kwa kutingisha kichwa na kuinuka.

.

“Bi Wema naelekea kazini sijisikii kuendelea kunywa chai leo”Aliongea Edna na kisha akaanza kupiga mwendo huku Roma akimwangalia mke wake anavyotokomea nje.

.

“Kwenye wanawake niliowahi kukutana nao Edna ni kiboko ya makauzu hafananii na urembo wake”Aliwaza Roma Bi Wema licha ya kukasirishwa na kitendo cha Roma kutokurudi nyumbani mfululizo , ila hakuwa na la kusema ,aliwaacha wanandoa na ndoano zao. Edna alionekana hakuwa sawa hata kidogo , alionekana ni mambo mengi sana aliokuwa akiyawaza katika kichwa chake, moja ya vitu ambavyo vilikuwa vikimpa wakati mgumu mwanadada huyu ni jambo ambalo amepata kulijua baada ya

.

kuangalia kilichokuwa kwenye Flash aliokabidhiwa na mheshimiwa Senga. Alijikuta akiingia kwenye ofisi yake baada ya kusalimianana Sekretari wake na kujibwaga kwenye kiti chake huku akionekana ni mwenye mawazo.

.

“Kwanini Mama hakuniambia haya ,Juhudi zake zote za kuiendesha hii kampuni kumbe yote hayo hayakuwa na maana kwake Zaidi ya kisasi alichokuwa nacho moyoni ,kwanini kanichagua kumsaidia katika kulipiza kisasi chake kupitia hii kampuni?”Aliwaza mengi mwanadada huyu na ilionekana kuna siri kubwa ambayo alikuwa ameipata kwenye ile Flashi aliokuwa amepewa na mheshimiwa Senga , Siri ambayo inamfanya kugundua kuwa mama yake ana kisasi juu ya jambo Fulani , lakini pia ilionekana kisasi hiko alishindwa kukitimiza mpaka wakati kifo kinamkuta na mtu pekee ambae alikuwa akipaswa kutimiza kisasi hiko ni yeye.

.

Mara nyingi sana ni ngumu kuona mzazi kumtaka mwanae kumsaidia kulipa kisasi , lakini jambo hilo lilionekana kufanywa na mama yake Edna.

.

“Nitajua tu nini kilitokea miaka ishirini na tano iliopita,kwa maisha alioishi mama yangu ya kufanya kazi kama hakukuwa na kesho nadhani litakuwa ni jambo kubwa sana lililotokea”Aliwaza mwanadada huyu na alionekana pia kutokujua Zaidi ni nini kilitokea miaka ishirini na tano iliopita , kitu ambacho kinamfanya mama yake kuishi nacho moyoni kiasi cha kutaka kulipa kisasi na hata aliposhindwa kumtaka mwanae kumsaidia kulipa kisasi hiko.

.

Wakati mwanadada huyu akiendelea kufikiria , aliingia Monicca sekretari wake na kumtaarifu kuwa kuna mgeni wake na Edna alimwambia amruhusu na alionekana Abubakari Hamadi CEO akiingia ndani ya ofisi ya huyu mwanadada.

.

“Karibu Mr Abubakari”Aliongea Edna akiweka sura ya kikarimu na kutoka kwenye kiti chake na kwenda kuketi kwenye masofa. “Asante Edna”.Aliongea Abuu huku akimwangalia Edna kwanzia miguuni hadi kwenye kichwa.

.

“Anazidi kuwa mzuri ,roho inaniuma fala kama Roma ndio anaeufaidi huu uzuri” “Nadhani hujaja kunikodolea macho Mr Abubakari”Aliongea Edna mara baada ya kumuona jinsi Abu anamvyokodolea macho ya kifisi.

.

“Hakika unazidi kuwa mrembo kila siku ninayokuona Edna, inaniuma kila siku kuona hutaki kuzielewa hisia zangu”.

.

“Abu nadhani unapaswa kuwa Profesheno , huu ni muda wa kazi na tunapaswa kuongelea maswala ya kazi , na isitoshe sipendi uvuke mpaka , mimi ni mume wa mtu na unavyoniambia hayo maneno ni kama kunivunjia heshima na kuniona mimi Malaya”Aliongea Edna huku akionekna ni mwenye kuwa na usiriasi wa hali ya juu na kumfanya Abu azidi kumchukia Roma moyoni.

.

“Nini umekipenda haswa kutoka kwa yule masikini Edna?”. “Abu kama huna jambo la maana ambalo limekuleta hapa naomba uondoke nipo kazini”. “Sorry Edna”Aliongea ila Edna hakujali na Abuu baada ya kumwangalia mrembo huyu alivyokasirika aliingiza mkono wake kwenye koti na kutoa bahasha na kisha alimkabidhi Edna. Edna alichukua kile kijibahasha na kisha akakifungua na kusoma kilichoandikwa .

.

“Nadhani hujasahau kuwa wewe ni mmoja wa mwanachama wa Umoja wa wawafanya biashara nchini, hivyo kama ilivyokuwa tamaduni kwa kila mwaka wafanya biashara nchini hukusanyika kwa pamoja mara moja kwa mwaka, kadi hio ni ya mwaliko” “Ndio ni ya mwaliko , lakini kuna haja gani ya Hafla hio kuwa siku ya kunipongeza kwa kupata mume , naona swala hili ni binafsi”. “Najua unachomaanisha Edna , lakini tamaduni ni tamaduni,wanachama wanataka umtambulishe mume wako kwao , sidhani swala hili lina tatizo Edna na isitoshe wewe sio wa kwanza kufanya hivyo , hizi ni taratibu ambazo zinafanyika kila mwaka kwa wanandoa wapya katika ulingo wa biashara kufanya hivyo”Aliongea Abu.

.

Edna alivuta pumzi nyingi na kisha akazitoa na kuangalia tena tarehe ya kadi hio na kisha akamwangalia Abu, “Hakuna shida , itakuwa jambo jema pia kwa wafanya biashara kumjua mume wangu”Aliongea Edna na kumfanya Abuu achukie moyoni ila alionyesha tabasamu usoni. Hilo ndio jambo lililonileta hapa japo ni dogo , lakini nimepata nafasi ya kukuona Edna na angalau moyo wangu unaokuwazia kila siku umepata ahuieni”. “Kama ndio hivyo basi unapaswa kwenda Abu nina kazi nyingi za kufanya”Abu hakutaka kumkera Edna , alitoka ndani ya ofisi.

.

“Hivi jamani mnamuonaje CEO Abu?”Aliongea Recho kwa sauti kiasi cha kumfanya Roma aliekuwa akicheza gemu atege sikio kwa umakini na kujiuliza kwanini Stori za Abu zimeingia katika maongezi ya warembo hawa. “Namuona kama mwanaume mwenye mvuto na handsome , alie na mafanikio ya juu na msomi sidhani kama kuna mwanamke ambaye anaweza kumkataa hapa mjini”Aliongea Benadetha “Wewe nae unajiongelesha kama umesahau kuwa Abu anateseka juu ya Edna miaka na miaka lakini ameshindwa hata kuambulia kisi”.Aliongezea mwanadada mmoja anaefahakika kwa jina la Tina huku akiendelea kujipaka poda na kuendelea kujiangalia kwenye kioo. “Bosi wetu na ukauzu wake kuna siku tu ataingia kingi”. “Haiwezekani labda mimi sio Roma”Aliropoka Roma na kufanya warembo hawa waliokuwa wamemsahau kama yupo wamwangalie na kisha wote wakaanza kucheka. “Eti Roma mpenzi , kwenye maisha yako wewe ni jambo gani kubwa ulilokamilisha?”Aliuliz a Recho na kuwafanya wadada hawa wote wamwangalie. “Hii ndio hasara ya kufanya kazi na wanawake tu , angalia wote wanavyoniangalia , inabidi niwatembezee bakora za kimkakati waache kuniangalia kwa dharau” “Kusema ukweli sina nilichokamilisha katika maisha yangu , mimi kila kitu natumia cha mke wangu gari kanipa mke wangu , nguo mke wangu” Waliangaliana na kisha wote wakacheka ,lakini walikuja kunyamazishwa mara baada ya mrembo Nasra kuingia ndani ya ofisi hii, alikuwa ameshika mkononi juisi na alienda nayo mpaka kwenye meza ya Roma na kuiweka. “Roma nimekuja kuna jambo Nataka unisaidie , sina mwingine wa kunisaidia na wewe pekee ndio mwanaume hapa ndani” “Niambie ni jambo gani hilo Mrembo,Mimi ni nani hata nisikusadie mwanamke mzuri kama wewe”Aliongea huku akimkonyeza na Nasra kuona aibu za kike huku akikUmbuka namna ambavyo amekunjwa jana yake na mpaka wakati huo mbususu bado haijapoa na kuona aibu zaidi. “Utaona tukifika , ila ni nje ya hapa”Aliongea mwanadada huyu na Roma akaona itakuwa vyema akinyoosha nyoosha mwili , maana hakuwa na kazi Zaidi ya kucheza magemu. Roma alimkonyeza Recho aliekuwa akiwashangaa wawili hao namna wanavyoongea tofauti na siku zote na kuhisi kuna kitu kinachoendelea. “Nina wasiwasi na Roma hajamtia kweli Doris na Nasra huyu?” Aliwaza Recho huku akikumbuka ile skendo ya waziri Neema Luwazo , licha ya kuona picha ile iliokuwa ikifanana na Roma akili yake ilikataa katakata kama mtu yule ni Roma ,na sio yeye tu hata wafanya kazi wenzake walivyokaa kikao na kujadilina swala hilo walifikia maamuzi kwamba yule bwana hakuwa Roma , maana walikuwa wakimjua vyema Neema alikuwa Mzuri na wa hadhi ya juu. Laiti wangejua kuwa Roma alimfanya huyo mwanamke mpaka akayaita maji ‘mma’ wasiongekuwa na mawazo ya kejeli ya namna hio. ***** Upande mwingine ndani ya jengo refu la PSSF flour namba kumi na moja , walionekana wafanyakazi wa juu wa MapleGroup(Top executive officers) wakiwa wamezunguka meza kubwa wadada na wanaume wakiwa na tarakishi zao za kimapakato za bei ya juu , wakiwa wamekaa kulia na kushoto , huku mwisho wa meza alionekana mwanadada mrembo akiwa ameketi huku wafanya kazi hawa waliovalia suti kumwangalia kwa kutamani kuketi kwenye kiti alichokalia , ndani hapa kulionekana kukiwa na kikao kilichokuwa kikiendelea. “Kama nilivyokwisha kutangulia kusema kwamba kwa sasa Hoteli za kampuni yetu zimezidi kuwa maaufu sana hapa nchini na nje ya nchi kutokana na ubora wa huduma zake , lakini licha ya umaarufu huo mapato yanaonekana bado hayajaongezeka kwa kiasi kikubwa nje ya malengo ya mwaka hun ya kampuni , hivyo kwa utafiti niliofanya nimekuja na hitimisho ambalo litaipelekea kamapuni kuongeza mapato katika upande wa hoteli na hitimisho hilo ni kufungua hoteli za nyota tatu nyingi Zaidi nchini , katika maeneo ambayo yanatembelewa sana na watalii kama Lushoto ,Iringa ,Kahama na kwingineko”Aliongea bwana mmoja hivi mweupe aliekuwa amevalia miwani huku akiwa na suti yake ya Kaunda ya bei mbaya , bwana huyu alionekana alikuwa akielezea namna ya kuinua mapato ya kampuni hii ya Maple Group. Baada ya kijana huyu kukoma kuongea , alimgeukia mwanamke ambaye alikuwa kiongozi wa kampuni hii , lakini mwanamke huyo mrembo alionekana kuwa mbali kimawazo na hata wafanya kazi hawa walimshangaa bosi wao, kwani hawakuwa wamemzoea kuwa katika hali kama hio , walimjua kama moja ya wanawake wachapakazi. “Mheshimiwa?”Aliita kijana huyu na kumshitua mwanamke huyu mrembo na kumwangalia kijana aliekuwa mbele yake. “Alhaji naamini katika mipango yako , hivyo endelea na huo mpango ila naomba uniwekee mpango huo katika maandishi na umpe Grace auingize katika kashabrasha langu” “Sawa Bosi”Aliongea Alhaji na kisha mwanamke huyu aliondoka , huku akiwaacha wafanya kazi wakimpigia Alhaji makofi kwani waliliridhishwa na wazo lake. “Grace fanya maandalizi , kesho nataka kurejea Dodoma kwa ajili ya vikao vinavyoendelea Bungeni”Naama huyu ni mrembo Neema pisi ya Mheshimiwa Kigombola. Neema mara baada ya kuingia kwenye ofisi yake kubwa ndanni ya jengo hili , aliketi na kisha akazungusha kiti na kuangalia mandhari ya jiji huku akionekana ni mwenye kufikiria jambo. “Yule mwanaume sijui nampataje tena , Kila ninapofumba macho kumbukumbu zangu zinanirudisha siku ile akiniingiza dudu lake,ni hisia ambazo sijawahi kuexperience kwenye maisha yangu,Natamani kumtafuta kwani nina uwezo huo , lakini ngoja niache, kama Mungu akitukutanisha tena naapa kwa majina yote ya mbingu na ardhi simuachii hata kama ni mume wa mtu nitakuwa mchepuko wake grade A”Aliwaza Neema

.

Luwazo Naibu waziri huyu mrembo wa Sanaa. Wakati akiendelea kufikiria mara simu yake kubwa ya Iphone ilianza kuita na kuangalia jina na lilisomeka ‘Mchomvu”.

.

“Huyu kizee nae msumbufu kweli, na kitumbua changu atakisikia kwenye bomba”Aliongea Waziri huyu huku akiangalia simu inayoita mpaka pale ilipokatika na ikaanza kuita tena ndipo alipo ipokea huku akikunja uso. *****

.

Roma na Nasra walikua kusimamisha gari nje ya jengo la Zera Complex Mtongani kwa Azizi Ally. “Tumekuja kufanya niini hapa Nasra?” “Ndani ya hilo jengo kuna kampuni ya ulinzi inayofahamika kwa jina la PANZI ,miaka minne nyuma walikuja kukopa kwenye kampuni yetu kiasi cha shilingia bilioni mbili kwa makubaliano ya kurejesha baada ya miaka miwili , lakini mpaka sasa hawajarejesha na hawana mpango huo,hii ndio kazi yako ya kwanza ambayo unatakiwa kuifanya kwa kampuni , hivyo hakikisha

.

pesa tunazowadai wanarudisha, yangu ni hayo tu mimi naelekea Mbagala kuna mteja namfatilia”Aliongea Nasra huku akitabasamu akimwangalia Roma. “Sasa kama nyie mliowakopesha mmeshindwa mimi nitawezaje , na kwanini msitumie sheria kudai haki ya kampuni?”. “Hilo limeshindikana Roma kuna kiongozi wa kisiasa anawakingia kifua sana na wanadai mkataba tuliowasainisha ni batili ,hivyo kwakuwa umekuwa ni wa kucheza gemu kila siku angalau fanya jambo kwa kampuni sio unakula mshahara tu kama kampuni ni ya mkeo”

.

Roma alishuka kwenye gari ya Nasra na kuliangalia jengo hili , na kuanza kutembea mdogo mdogo kuelekea mlangoni. Nasra kwenye gari alionekana ni mwenye kuwaza hapa na pale , huku akikanyaga pedeli . “Sijui Edna kawaza nini mpaka kuniambia nimpe kazi ile Roma , si watamuua yule mwanaume maana kwa ninavyojua ile kampuni kwanzia Bosi mpaka wafanya kazi wote ni wavuta bangi na

.

wamepinda ni hatari na hata siui imekuwaje wakajiita kampuni ya Ulinzi , ingekuwa Japani au Korea wangeitwa ‘Gang’ au ‘Mafia’.”Aliwaza mrembo huyu. Ukweli ni kwamba Edna alikuwa ni mwenye kuwaza hili na lile baada ya kuletewa mwaliko wa kuhudhuria mkusanyiko wa kibiashara unaowakutanisha wafanya biashara wakubwa ndani ya Taifa hili,kwa mkutano huo hili la kuhudhuria kwake lilikuwa la kawaida na halikumuogopesha wala kumtia mawazo kwani pia alipenda mkusanyiko huo kwani huleta fursa ya kujenga koneksheni na wafanya biashara wengine , tatizo kubwa lililokuwa likimfikirisha mrembo huyu , ni juu ya Roma , hakuwa tayari kumtambulisha Roma kwa wafanyabiashara wenzake kama mume.

.

Kwanza hakumpenda Roma kwasasabu hata ongea yake ilikuwa sio ya kiprofesheno na kuonesha kuwa ya kustaarabika , pili hakuwa na aibu hata kidogo na anafanya mambo bila kufikiria na kutojali chochote , kaliba ambayo mwanmke huyu membo hakuwa akiipenda kwani yeye alikuwa amestaarabika sana lakini kwa Roma hakuwa amestaarabika ,mambo yake alikuwa akifanya kimasikini masikini.lakini pia mwanadada huyu alikuwa akiujua kuwa kualikwa kwake kuhudhuria na Roma ni kama mtego , aliamini Abu kafanya hivyo kwa ajili ya kumkosoa Roma mbele ya wafanyabiashara hawa wakubwa na wenye heshima ili kumfanya Roma ajione kapuku lakini pia na yeye kuonekana kuchagua mtu ambae hakuwa wa hadhi yake . Hii ni sawa kabisa katika ulimwengu wa kitajiri , matajiri hupenda kuoana na matajiri wenzao hivyo sio swala la kushanganza kwa mwanamke mrembo kama Edna kufikiria swala hilo. Wakati Edna akiwa anawaza , aliinua mkonga wake w na kumuita Sekretari Monika na kumpa maagizo kuwa anamhitaji Mhasibu ofisini kwake na baada ya madakika kadhaa Nasra aliingia hapa ofisini. “Ndio bosi” “Nasra hivi PANZI walisemaje kuhusu hela tunayowadai?” “Wanasema hawatorudisha na tukituma mtu kwenda kuwadai ,atarudi hana vidole” “Mpe hio kazi Roma aifatilie”Nasra alishangaa “Lakini bosi Roma hatoweza maana PANZI ni wajeuri sana ,na Roma anaweza kupata matatizo , maana ile siku walitupa onyo kama tukituma mtu kudai hela basi atarudi hana vidole” “Fanya kama nilivyokuambia Nasra na akifanikisha hilo milioni mia ni yake”Aliongea Edna na kisha alichukua kitabu chake cha kingereza kilichosomeka uu ‘HOW TO LIVE WITH PERSON YOU DISLIKE’ yaani kwa tafsiri ya ‘JINSI YA KUISHI NA MTU USIEMPENDA’ “Ukijikuta katika nafasi ambayo huna chaguzi Zaidi ya kuishi na mtu usiempenda , hakikisha unafanya haya .kwanza kabisa kuwa na uhakika wa hisia zako za chuki zidi ya mtu huyo na andika chini kabisa sababu hizo ambazo zinakufanya umchukie sana huyo mtu , hii itakusaidia kujiwekea mipaka na mtu huyo ….” Ni baadhi tu ya maelezo yaliokuwa yapo katika kitabu hiko Edna alichokuwa anasoma. Upande wa Nasra hakujua kwanini bosi wake kaamua kumpa kazi hio ya hatari Roma . “Na lile dudu lake lililivyokuwa kubwa , sijui kama akirudi litakuwa linafanya kazi”Aliwaza Nasra wakati akiingia hospitali ya Zakhem. Mbagala.

.

SURA YA ISHIRINI NA MBILI .

.

Roma aliingia ndani ya jengo hili mapokezi na kumkuta mwanadada mmoja alievalia tisheti nyeusi na kofia ya Chepeo ya kampuni ya Nike na mkufu shingoni , mwanadada huyu hakuwa mrembo sana , kwani kwanza alionekana kama wale wanawake ‘matom boy’. “Nipo hapa kwa aili ya kuonana na kiongozi mkuu wa kampuni ya PANZ”.Yule Dada alimwangalia Roma kwa kumsanifu. “Wewe umetokea wapi?”. “Nimetokea kampuni ya VEXTO na nipo hapa kwa ajili ya kuchukua marejesho ya mkopo” “Okey nenda floor namba nne ndio ofisi ya Chief ilipo”Aliongea huyu mwanadada huku akitabasamu rohoni. Wakati Roma akielekea juu , mwanadada huyu alipiga simu. “Chifu leo kaja mwanaume kutoka VEXTO”. “Mwache aje tumkate Ma**mbu”Yule mwanadada alijikuta akicheka kicheko cha furaha akionekana kufurahishwa na jambo hilo. Roma baada ya kufika ndani ya hii ofisi kwanza alishangazwa na sauti alizokuwa akisikia , kulikuwa na mlio wa vimashine sio vimashine , ni kama mlio wa wadudu flani hivi. “Ndio maana wakajiita mapanzi “Aliwaza Roma wakati akiingia ndani ya hili jengo. Roma alishangazwa na muonekano wa Floor hii , kwanza kabisa hakukuwa na meza kama meza ambazo ungedhania kuwa humu ndani ni kampuni bali kulikuwa na vitanda vya Deka upande wa kulia vitatu , na vyote vikiwa na magodoro ambayo hayakuwa yametandikwa. Chini kulikuwa na Zulia la rangi ya maua maua , huku wakionekana vijana watano waliokuwa wamekaa chini kwenye hili zulia na katikati yao kulikuwa na kijisturi na kwa haraka haraka Roma aligundua hii sio kampuni kama kampuni, jina hilo la kampuni walipewa ili kulinda kile kinachofanyika , ila hii sehemu aliweza kujua ni sehemu ya kupimia madawa ya kulevya , kwani kwa kutumia pua zake aliweza kuvuta hewa ambayo alikuwa akiitambua vyema ,harufu ya ‘Coccaine’. “Hey! Jombaa , nadhani mabosi wako wameamua kukutoa kafara mpaka kukuagiza kuja hapa kutudai”Aliongea jamaa mmoja ambae alikuwa na mwili mkubwa sana uliojaa mazoezi na kuonesha dharau mbele ya Roma na wale wengine wakacheka. “Kino huyu leo Chief atambadilisha jinsia”Aliongea jamaa mmoja mwenye midevu mwembamba aliekuwa akijikuna. “Sikieni nyie wavuta bangi , nimekuja hapa kuonana na huyo chifu wenu anipe changu nisepe”Aliongea Roma na kuwafanya wale mabwana wamwangalie kwa ujasili wake , lakini waliishia kucheka tena, huku lile jitu lenye miraba mine lilichukua unga kidogo kwenye kucha na kunusa na alionekana kujibusti. “Aiii .. traaaaa tatatata,,, traaaaa aiiii .. tiitiiii”Yule bwana alionekana kupagawisha na madawa yale na hapa Roma ndipo alipokuja kugundua kwanini alikuwa akisikia sauti kama za Panzi.

.

Lile jamaa linaloitwa Kino baada ya kuona ashabusti mwili alimwangalia Roma na kisha kumsogelea kwa njia ya kumpiga ngumi.

.

“Aaargh..”Kino alikuwa amepokea bao la uso lililompelekea damu kuanza kumvuja puani , alijishika puani huku akisikia maumivu yaa ajabu na kisha akagusa zile damu kwa mshangao na kuzilamba huku hasira zikiongezeka maradufu,wenzake walishangazwa na kitendo kile Roma alichofanya kwa Kino

.

Jamaa baada ya kuona kadhalilishwa na Roma , hasira ziliongeza na kurusha ngumi kwa pupa lakini Roma akaudaka ule mkono na kisha akauzungusha kwa nguvu kiasi cha kufanya Kino azunguke kama anachezeshwa Rumba na Roma alimpiga bonge la teke mgongoni na kwenda kutua kwenye ukuta huku akitanguliza pua ile iliopata majeraha dakika chache zilizopita.

.

“Maaa … maaa ..aiii”Jamaa alitoa ukulele kwani katika maisha yake haawahi kusukumwa na nguvu kama ile na kujigonga , maumivu yake yalikuwa sio ya kifani kabisa , aliona nyota nyota ,Roma hakumwacha vile vile aliendeleza kipigo na ndani ya dakika chache tu tu wale vijana wote walikuwa wamepiga magoti kwenye zulia hili ,huku kila mmoja akiwa na maumivu , kuna waliokuwa wakitokwa na damu puani , kuna waliokuwa wakitokwa na damu mdomoni , kuna ambaye alikuwa ameshika jicho lake.

.

“Chifu wenu yuko wapi?”Aliongea Roma huku akikagua madawa yaliokuwa kwenye kijisturi na akachukua unga kidogo na kuvuta. “Mnavuta mabaki mabaki, halafu nimeuliza Chifu wenu yuko wapi hamjibu, au nianze” “Chifu yuko chumba chake cha mapumziko m huku akinyoosha uelekeo wa chumba na Roma aliangalia na kuona mlango upande wa kushoto na kuufuata, lakini kabla ya kuufungua aligeuka nyuma.

.

“Ole wenu mtu yoyote akimbie”Na kisha akafungua na kuingia ndani. Roma aliangalia chumba hiki na kukuta mwanaume mmoja mwenye mwili wa wastani , akiwa amemwinamisha mwanamke Mbuzi kagoma akisindilia mpini wake.

.

“Nyie mafala , acheni use***nge, kwani huo upupu niliowapa mtoe nyege zenu hautoshi”Aliongea mzee huyu pasipo kugeuka , alionekana alikuwa akikaribia mshindo na Roma aligundua hilo kwani alitembea na kupeleka mkono kwa nyuma na kushika Dudu kitendo kilichomfanya bwana yule ashituke. “Uwiiii …. Arghhh.. unaniua wewe k*ma”Alipiga yowe huyu bwana baada ya Roma kuminya dudu yake huku bwana huyu akilala chali kwenye kitanda na mwanamke yule ambaye alionekana kuwa mmama alishangazwa na kitendo hiko cha ghafla. Roma hakuwa hata na kinyaa licha ya dudu la bwana huyu kuwa na utelezi , baada ya kuona mateso hayo yamemridhisha alimuachia .

.

“Na wewe ondoka”Aliongea Roma huku akimfukuza yule mwanamke na alichukua nguo zake na kukimbilia uchi nje.

.

Roma baada ya kumwachia Chifu , alianza kukagua chumba hiki kikubwa kilichokuwa na kabati huku akimpa mgongo chifu ,Roma alifungua kabati moja na kutoa macho baada ya kukuta maburungutu ya hela yamepangwa kwenye kabati hili .

.

Chifu baada ya kuona Roma amempa kisogo na hakuwa na habari nae , alichukua chupa iliokuwakwenye kijimeza cha kitanda na kumsoglea Roma huku akiwa ni mwenye kujikaza kwa maumivu aliokuwa akisikia .

.

Ni kama Roma alikuwa anamsubiria kwani ile anamkaribia aligeuka kwa spidi na kumtwanga ngumi ya jicho na kumfanya bwana huyu aone nyota nyota huku akitoa ukulele. Roma aliendelea na ukaguzi wake , na kuvuta Droo na kuona bastora , aliitoa na kuitoa magazine kwa kitendo cha haraka sana na kuona kuna Risasi. “Barreta 582 ya 1984” Aliongea Roma aliikoki kwa haraka na kisha akamgeukia Chifu, na kumnyooshea na bwana yule alinwangalia kwa jicho moja na kuanza kutetemeka. “Unadaiwa kiasi gani na VEXTO?”

.

“Tulikopa bilioni moja ila tulitakiwa kurudisha Bilioni mbili” “Sasa kwanini hamjarudisha mpaka sasa?”Aliongea Roma huku akiwa amekalia kiti na bwana huyu akiwa amepiga magoti akimwangalia Roma kwa woga. “Bossi alitupa maagizo tusirudishe”. “Bosi wenu ni nani?”Jamaa alionekana kuwa na wasiwasi sana kutaa jina la Bosi na Roma alilijua hilo aliingiza kidole kwenye Triga. “Naongea usiniue” “Ongea sasa …” “Bossi wetu ni Hassani”. “Acha upuuzi mimi nitamjuaje Hassani , ongea vizuri Hassani ni nani , nataka melezo ambayo yatanifanya nimjue harakaharaka”. “Ni kiongozi mpya wa kundi la Black Mamba”Aliongea huyu bwana na hapa ndipo alipomkumbuka Karim aliemuua siku mbili nyuma. “Sasa hapo nimekupata , lakini hujamalizia , huyu Hassani yukoje na kwanini aliwazuia kutolipa hela za Kampini mlizokopa”. “Sikupewa maagizo mengine , Zaidi ya kuambiwa nisirudishe”Aliongea kwa woga “Hapa ndani mna kiasi gani cha pesa?”Jamaa kimya na Roma akanyanyika kumsogelea . “Zipo .. zipo milioni mia nne”. “Na kwenye akaunti kuna ngapi”Jamaa kimya na Roma alizunguka kwa nyuma yake na kuingiza mkono upande wa kushoto wa mbavu na kumfanya bwana huyu atoe yowe. “Kwenye akaunti kuna ngapi?” “Bilioni .. bilioni mbili”Roma alitabasamu na kisha alimwambia bwana huyu anyanyuke na waelekee kwenye ofisi yake ,baada ya kutoka Roma aliwakuta watu wake wakiwa wamekaa vile vile na kuona yes , dozi imewaingia na wamekuwa na Adabu. Roma alitabasamu baada ya kuona kifaa kama simu cha kufanyia miamala cha Equit bank . “Tuma pesa zote kwenye akaunti hizi nitakazokutajia sasa hivi?”Aliongea huku akimuonyesha Chifu kwa ishara akae kwenye kiti chake cha ofisi na bwana huyu , alitamani kufanya jambo ila aliogopa” “Bossi ataniua nikifanya kama anavyotaka?” “Endelea kufikiria ujinga wako tu , nitakuua mimi sina utani, eniwei labda unaona nafanya utani ngoja nikuonyeshe kama niko siriasi”Aliongea Roma na kisha kwa haraka sana alimshika yule bwana kiganya cha mkono wa kushoto na kilichosikika

.

ni viungo vya Jointi na misuli ikipishana. Chifu alitoa ukulele wa aina yake kiasi kwamba hata vijana wake wa kazi nje walisikia na kuzidi kumuogopa Roma.

.

Chifu hakuwa na jinsi , hakutaka kuvunjwa kiganja kingine cha mikono , na alitii haraka haraka na kufanya kama alievyoelekezwa na ndani ya dakika chache , akaunti yake ilisoma Dollara mia nne na akatuma kiasi cha Bilioni moja na mia sita kwenye akaunti ya VEXTO. Baada ya zoezi hilo kuisha

.

, Roma alimwamuru kijana mmoja aliekuwa na nafuu kidogo na kumwambia aweke hela zote zilizokuwa kwenye kabati kwenye begi na ndani ya dakika chache akawa ashakamilisha kazi yake. Ila bado hakuwa ameridhika , alivuta faili moa lililokuwa kwenye Meza na kuangalia na hapa akatabasamu. “Enhe Chifu tumalizie , haya Magari yanayoonekana hapa kwenye hizi karatasi yako wapi?”Aliuliza Roma na Chifu kama kondoo alimwangallia Roma. “Kwenye Basementi chini”Aliongea na Roma akatabasamu . “Ongoza njia” Roma alitoka kwenye hii ofisi na kisha akafunga mlango kwa nje na funguo akiwafungia wale wengine na kisha wakazama kwenye lift na chifu , ndani ya dakika tu walikuwa eneo la chini kabisa ya jengo hili na kwa mtu wa kawaida usingejua kuwa chini kuna Basementi ,tena kubwa kabisa , jambo hili pia lilimshangaza Roma. Aliona sehemu ambavyo ilikuwa kama Maabara na alijua kwa vyoyvyote hapo ni sehemu ya kutengenezea madawa. Wakati akiendelea kumfatisha Chifu aliekuwa kwenye hali mbaya ya maumivu ya kiganja na jicho , alisikia sauti ya mguno alipopita kwenye Chumba kilichokuwa kikinekana kufungwa na mlango wa chuma , hisia za Roma hapo hapo zikamwambia kuwa hapo ndani kuna mtu.

.

“Humo ndani kuna nini,Hebu fungua”Aliongea Roma na Chifu alisogelea chumba hiko na kukifungua kwa funguo iliokuwa ipo upande wa kulia kwenye kiboksi na hapa ndipo Roma alipatwa na mshangao baada ya kumuona mtu aliekuwa hapo ndani akiwa hatamaniki kwa majeraha, alimsogelea mtu huyu aliefungwa kwa Kamba akining`inia , huku mwanga mdogo ukiwa unammulika , alimuinua kichwa chake kwa mikono yake na hapa ndipo aliposhangaa. “Juma!!!”Aliongea Roma kwa mshangao na akajiuliza inakuwaje Juma akawa yupo mahali hapa , alimwangalia Chifu na kuonekana alikuwa akitaka maelezo. “Nini kimetokea kwanini yupo hapa?”Hapa ndipo alipopewa mkasa wote na alikuja kugundua kumbe Juma alikuwa akihusika na kutekwa kwa Najma , alikasirika mno na alitamani kumpiga tena Juma , lakini kwa hali ya nusu uhai aliokuwa nayo Juma aliona aache. “Juma alijichanganya sana kufanya kazi na Karim”Aliongea Roma huku akimkumbuka Najma , alijiuliza mwanadada huyo atakuwa kwenye hali gani, lakini pia alijiuliza kama atakuja kujua kuwa Juma anahusika na kutekwa kwake ingekuwaje.

.

SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU

.

Roma baada ya kumaliza kumwangalia Juma alimwambia Chifu amuoneshe Magari yalipo na hapa chifu hakugoma maana ashakuwa mtumwa kwa Roma , na alifungua geti moja kwa Rimoti na hapa ndipo alipoona ndinga nyingi zikiwa ndani ya hili eneo , zilikuwa ni gari ambazo baada ya kuzihesabu haraka haraka zilikuwa kumi na zote zikiwa za kifahari na hazikuwa hata na pleti namba. Roma aliangalia gari hizo na kisha akavutiwa na gari moja aina ya Aud Q7 toleo la 2021 . “Bosi wako akija mwambie nimechukua hii Gari na akitaka malipo anifate”Aliongea Roma huku akimpa maelekezo Chifu atoe ufunguo , na funguo za magari yote alikuwa nazo mkononi kabla ya kushuka huku chini. Dakika chache baadae Roma alitoka nje ya jengo hili la Zera akiwa na begi la hela pamoja na Juma aliempakia nyuma ambae hakuwa akijitambua . Roma alipanga kumpleka

.

Juma hospitali ya Mgagala Zakhiem ,watu waliokuwa barabarani walishangaa ndinga inayochanja mbuga , tena ikiwa haina hata Pleti namba. “Kuna watu wana magari na kuna watu wanausafiri” Alisikika kijana mmoja aliekuwa akiuza Matikiti. Roma ile anafika Misheni ,sehemu ambayo kulikuwa kuna mgawanyiko wa barabara iliokuwa inaelekea Kijichi , alipigwa mkono na Trafiki wa kike na Roma hakutaka kuleta ubishi awamu hii, Trafiki yule ni kama sura yake ilikuwa inakujakuja hivi na kupotea , lakini ile anakaribia ndipo Roma alipomtambua.

.

Alikuwa ni Mage mwanamke aliemletea shida siku kadhaa nyuma na alikuwa kazini , mzuri kama kawaida lakini kauzu ka ma anafanya kazi Mochwari. Mwanamke yule aligonga kioo na Roma alishusha na kumwangalia mwanamke huyu kwa tabasamu,Mage alimwnagalia Roma na moyo wake ukalipukwa na furaha. “Yess huyu choko nimemkamata Tena , gari haina pleti namba na anaendesha anavyotoka , leo hachomoki labda sio mimi Mage”Aliwaza Mage huku akimwangalia Roma kwa hasira . Kiufupi Mage alikuwa ni mwingi wa hasira , kila siku alivyokuwa akidamka kwa ajili ya kuingia kazini , alikuwa akimuwaza Roma tu , moyo wake uliumkia , kwani katika maisha yake kwanza hakuwahi kudharauliwa , lakini pia hakuwa akipenda kushindwa , Mage alikuwa akiamua kufanya jambo mpaka alione linafikia mwisho wake na zote atahakikisha anashinda.

.

“Mungu baba naomba yule mtu afanye kosa lolote lile nimkamate , naamini kwa rehema zako baba hujali kile waja wako wanachokuomba , na mimi mja wako nimepiga magoti haya kukuombaili roho yangu inayoumia itulie naomba yule mtu afanye tena kosa na nimkamate mimi AMEN” Hayo ndio maombi ya Mage ya siku mbili mfululizo kila anapoingia kazini anapiga magoti na kumuomba Mungu juu ya hitaji lake hilo na pia kila akirudi alimuomba Mungu. Mage alikuwa akiishi Mikocheni kwa Warioba ndani ya Apartment za Ayo na alikuwa akiishi mwenyewe na hata mwanaume hakuwa nae , ila alikuwa na ‘Artificial Male Organ’Ambayo ilikuwa ikimridhisha. Huyu mwanadada licha ya kuonekana mtu mwema na mpenda haki , ila alikuwa akifanya sana ‘Musterbation’ na viungo bandia na alikuwa ameathirika pakubwa , na ndio maana katika maisha yake hakuwahi kuonekana kuwa na mwanaume , na hata wazazi wake walimshangaa na baada ya kusumbuliwa sana , ndipo alipofanya shauri na kuhamia kwenye nyumba hizo ili apate uhuru wa kujiridhisha , hayo ndio yale ya ndani kabisa anayoyafanya Mage. Lakini licha ya mambo hayo Maombi yake yakajibiwa kwa namna ambavyo hakutegemea maana ni ghafla sana **** Mrembo Edna kama kawaida , alikuwa akipiga kazi kama vile hakuwa na pesa , kumbe mwanadada huyu alikuwa Tajiri mwenye pesa nyingi sana kiasi kwamba hata aamue kulala tu mpaka akizeeka hela zake haziishi. Leo licha ya kuonekana kuwa na mengi ambayo alikuwa kiyafikiria , lakini bado mawazo hayo hayakumsbabishia kutoendelea na majukumu yake ya kazi. Alionekana kuna karatasi aliokuwa akiisoma kwa umakini mkubwa kiasi kwamba kuna baadhi ya vitu alikuwa akivizungushia kwa wino , na ilionekana hakutaka kabisa kupitwa hata na nukta iliokuwa kwenye karatasi hio Baada ya kusoma kwa muda kama wa nusu saa hivi , aliinua mkonga wake wa simu na kupiga . “Doris njoo ofisini kwangu” Aliongea Edna na kushusha mkonga wa simu hii ya mezani na ndani ya dakika chache Dorisi aliingia ndani ya ofisi hii , akiwa mrembo kama kawaida , huku leo hii akiwa amepigilia suti na miwani ya kimchongo na kumfanya azidi kupendeza. “Naam Boss”. “Natarajia kuingia dili nono na kampuni ya YAMAKUZA ya kijapani na leo hii nimepokea mkataba wa kibiashara kutoka kwao juu ya utengenezaji wa Malighafi mpya , ni dili nono sana na sifikirii hata mara moja kulikataa , kama malighafi hizi zikifanikiwa kuingia kwenye soko la ukanda huu wa Afrika, kampuni itakuwa imepiga hatua kubwa sana “Dorisi alishangaa na Edna akaendelea. “Hili dili litafanyika baina ya kampuni mbili kwa hapa Nvhini yaani ya kwetu na JR , mkataba huu utasainiwa nchini Japani….”Lakini kabla hajaendelea kuongea mara mlango ulifunguliwa, na Nasra na kuingia na wote wakamgeukia Nasra alieingia kwa pupa. “Nasra kuna nini?”Aliuliza Dorisi akimwangaia Nasra aliekuwa anahema kama mbwa anaekimbizwa. “Zimeingia bosi..” “Zimeingia nini Nasra ongea”Aliuliza Edna. “Muamala wa Dola bilioni moja na nusu umesoma , na umetokea kwa PANZI Security”. Aliongea Nasra huku akionesha ni mwenye kujawa na furaha mno , hakuamini kama Roma alikuwa amefanikisha jambo ambalo wao walikuwa wamelishindwa kwa kipindi kirefu. Edna aliachia Tabasamu lakini kwa upande wa Doris hakuwa akielewa chochote , licha ya kujua kuwa Kampuni ya PANZI Security walikuwa wakiwadai kiasi kikubwa cha pesa na walikataa kulipa , lakini muda huo kusikia kwamba PANZI wamelipa alishangaa ilikuwaje na alitaka kuelezwa na hapo ndipo nafasi hio akaichukua mwanadada Nasra na kuanza kueleza . “Unamaanisha Roma ndio kaenda kufuata hizo pesa?” “Ndio Dori.. japo sio kiasi chote tunachowadai ukijumlisha na Riba , lakini hela tuliowakopesha imerudi”Aliongea Doris alimwangalia Edna na kujiuliza kwanini mwanamke huyu alimchagua Roma kwenda sehemu ya hatari kama hio , lakini pia alijiuliza imekuwaje Roma akafanikisha swala hilo , kwani lilishidikana hata kwa sheria. “Sawa Nasra , utamkabidhi Roma kiasi nilichokuambia kama sehemu ya bonasi ya kufanikisha hili, na unaweza kwenda kuendelea na kazi”Aliongea na kisha Nasra alitoka huku muda wote akimuwazia Roma . “Mimi nitampa Pongezi kwa kumpa kitumbua changu afokonyoe mpaka achoke”Alijiwazia mrembo huyu wakati akiwa anatoka na tabasamu likiwa nje nje. “Sasa Doris huu mkataba nataka ukausome , uelewe , lakini nikutahadharishe kwamba mkataba huu utahitaji uwekezaji mkubwa sana Zaidi ya asilimia themanini ya pesa yote nitaiwekeza hapa , hivyo swala hili liwe siri na utaniwakilisha katika kusaini mkataba huu Japani na Roma Atakusindikiza kama mkalimani wako. Doris alitoa macho baada ya kuambiwa kuwa ataenda na Roma kwenye safari hio ya kuelekea japani kusaini mkataba huo unaohusu mapesa karibia yote ya kampuni. **** Ni ndani ya makao makuu ya nchi , pembezoni kidogo ndani ya jijji hili mtaa mmoa uliokuwa ukifahamika kwa jina la Magufuli , sehemu ambayo majumba mengi yaliokuwa yakionekana ndani ya hili eneo kuwa ya kifahari ,katika moja ya jumba moja walionekana watu wakiwa wanaingia na kutoka na sio watu tu pia hata magari mbalimbali yalikuwa yakiingia ndani hapa na kutoka na karibia magari yote yalionekana kuwa ya kifahari. Ndani ya uzio wa jumba hili kulionekana kukiwa na maturubai yaliokuwa yamepangwa kwa ustadi kukiwa na viti vingi vilivyokaliwa na watu ambao walikuwa na mavazi meusi wengi wao , wakiwa na nyuso za huzuni. Jumba hili lilikuwa kubwa mno na lilionesha mtu anaemiliki hili jumba alikuwa na pesa nyingi . “Pole sana Meya kwa kuondokewa na kijana wako”Aliongea mkuu wa mkoa wa Dodoma akimpa Meya pole kwa kuondokewa na kijana wake wa pekee. “Asante sana Temba , inaniuma sana kwa kumpoteza kijana kama Karim , alikuwa nido mrithi wangu”Mzee huyu alionekana kuwa kwenye majonzi makubwa. Wageni mbali mbali walifika ndani ya hili jumba kwa ajili ya kutoa salamu za rambirambi za msiba ,Mzee Bakari Meya wa hili jiji la Dodoma alionekana kupendwa sana , kwani watu waliokuwa hapa ndani hawakuwa wachache. Pole zilikuwa nyingi sana na mzee huyu pamoja na mke wake na watoto wao wa kike , walionekana kuzipokea kwa moyo mkunjufu kabisa. Baada ya dakika kadhaa kupita , aliingia ndani ya hili eneo Abubakari CEO wa JR na alionekana na yeye alikuwa mahali hapo kwa ajili ya kutoa salamu za Rambirambi. Meya baada ya kumuona Abuu alijikuta akipatwa na hali flani ya tumaini kwenye uso wake , alisalimiana na Abu na kupokea pole kutoka kwa kijaa huyu. “Washafika?”Aliuliza Abu “Ndio wapo wote ndani hapa” “Ni vyema tukianza hili swala kabla hatuaelekea makaburini kumpuzisha kijana maana taratibu za kiislamu za kuzika ni tofauti na za kikristo , hatutakiwi kuchelewesha mwili wa marehemu”Aliongea Abu na mzee huyu alitingisha kichwa na kisha aligeuka na kuangalia upande wa kushoto na kumuona kijana mweusi hivi mrefu alievalia suti mwenye ndevu nyingi kama mtalibani , ila amependeza maana zilikuwa ziking`aa sio kama zile za watalibani , bwana huyu mara baada ya kumuona Meya anamwangalia alisogea mpaka alipo. “Hassan tuma ujumbe kwa wanabodi na tukutane ndani ya dakika tano ofisini kwangu”Aliongea mzee huyu na Hassani akaondoka . Baada ya dakika chache Mashekhe walianza kusoma swala ya kuuombea mwili wa Marehemu , lakini ndani ya hili eneo Meya hakuonekana , ila hawakujali kwani waliendelea na shughuli hio. Upande mwingine ndani ya jumba hili ndani ya chumba kikubwa walionekana watu sita wanaume, wakiwa wamezunguka meza kubwa sana , watu hawa wenye sura ambazo zilionekana kuwa na ukwasi mkubwa uliokuwa nyuma yao , maana siku zote umasikini haujifichi lakini pia utajiri vile vile haujifichi na mabwana hawa walionesha kabisa hali ya pesa katika maisha yao haikuwa ni ya kujificha. Watu hawa walikuwa wakifahamika kwa majina yao , kwani wote walikuwa na nafasi nyeti serikalini , kuna waliokuwa ni wabunge na mawaziri , kuna waliokuwa ni wakuu wa mkoa na kuna waliokuwa wafanya biashara akiwemo Abubakari Hamad. “Hili jambo limetuhudhunisha sana ,kuona kijana mchapa kazi kama Karim kufa kifo cha kikatili namna ile”Aliongea mkuu flani wa mkoa. “Ni kweli kabisa na tupo mahali hapa kwa ajili ya kujadiliana tunafanya vipi ili kuhakikisha tunapoza machungu yetu kwa kulipiza kisasi”Aliongea wazri wa Wwizara Fulani. “Karim alikuwa ndio nguvu ya Black Mamba mimi nimeumia sana na nipo tayari kufanya lolote”Aliongea mbunge wa jimbo Fulani. “Nimewasikia vyema waheshimiwa na mimi niseme pia nipo na Zaidi ya uchungu , lakini pia sio mimi mwenyewe pamoja na nyie wote hapa na The Doni pia ameguswa na swala hili sana na yupo tayari kwa kuunga mkono mpango wowote tutakaoupanga juu ya kulipiza kisasi”Aliongea Meya. “Nadhani uweke mpango wote wazi kwa sasa ili tuone kama unafaa au haufai na kama unafaa una mapungufu gani na ni michango gani tunapaswa kufanya katika kukamilisha huo mpango”Aliongea Mfanyakazi Fulani wa Ikulu na Meya alimangalia Abuu aweke mpango Mezani “Yamakuza ,,…. Kusanyiko la wafanyabiashara nchini ………”Mpango huu mimi mwandishi wenu sikupata kuweza kupiga chabo ila nilichosikia ni kwamba huo mpango unahusu YAMAKUZA ,pamoja na kusanyiko la wafanyabiashara,Rejea kadi ya mwaliko ya Edna. “Unahisi Edna hatagundua lolote juu ya hili?”Aliuliza Mkuu wa mkoa Fulani . “Hawezi umesukwa huu mpango ukasukika na tutapiga ndege mmoja kwa jiwe moja , tutachukua kampuni na tutamuua Roma na kulipiza kisasi”Aliongea Abu na mabwana hawa wote waliridhishwa na maelezo hayo na kuubariki mpango huo kwa asilimia mia moja. Je ni mpango gani ???”

.

SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE

.

Roma aliona ana bahati mbaya sana na Mage , kwani kila mara wanavyokuwa wanakutana inakuwa sio kwa heri bali ni kwa shari. “Naomba ushuke kwenye gari haraka?”Alimrisha Afande Mage kwa hasira , huku baadhi ya watu waliokuwa karibu na hili eneo wakishangaa , na kilichokuwa kikiwashangaza kwanza kabisa ni gari aliokuwa akiendesha Roma,

.

walikuwa wakijiuliza inakuwaje mtu anaendesha gari kama hii halafu anafanya makosa na kusimamishwa na polisi. “Nipo na mgonjwa na siwezi kushuka mpaka nimfikishe hospitalini”Alizidi kumpanisha Mage hasira. “Unajifanya mjuaji sio,Shuka kwenye gari”Aliongea tena na Roma alimwangalia Mage na kisha akafunga kioo jambo ambalo lilimkasirisha Zaidi Mage , wakati Mage akifikiria cha kufanya alishangaa Roma akitoa gari kwa spidi na kupelekea kumpushi Mage na kusogea pembeni. Watu waliokuwa ndani ya hili eneo walishangilia kwa tukio hilo kitendo ambacho kilimuongezea Zaidi Mage hasira.

.

Mage alianza kuifukuzia gari ile kwa miguu kwa spidi na kufanya mpododo wake utingishike pwa pwaa.., lakini alikuwa amechelewa kwani gari ile ilikuwa ikipotelea kwenye macho yake , lakini hakukubali kushindwa , alikimbilia Pikipiki lake la kifahari na kisha kuanza kukimbiza ile gari , na kusahau kabisa kuwa alikuwa akiongoza magari wakati huo . watu waliokuwa pembeni walishangilia “Sh**t huyu mpumbavu ama zake ama zangu leo lazima nimkamate”Aliongea Mage kwa hasira huku akifunga helmeti.

.

Pikipiki hii ilitoa mlio wa ajabu kiasi kwamba iliwafanya watu waliokuwepo stendi ya daladala hii eneo hili la misheni wapige mayowe ya shangwe , maana ni tukio ambalo hawakuwahi kulishuhudia na nikama walikuwa wakiangalia muvi ya kimarekani. “Sema yule mwamba anaendesha ile ndinga ni mwehu na kakutana na kichaa mwenzake”Aliongea jamaa mmoja aliekuwa akiuza Samaki.

.

“Unadhani atamkamata?” “Athu mimi sidhani kama ataweza kumkamata ila ngoja tuone, kama atakamatwa lazima tutajua tu”Aliongea bwana huyu huku wakiendelea na kazi zao. Upande wa Roma alitumia dakika mbili na nusu tu na alikuwa akiingia ndani ya geti la mbele la hospitali hii ya Zakhiem , baada ya kuegesha gari hii alikimbilia nyuma na kufungua mlango na kumtoa Juma na kumkimbiza eneo la

.

Mapokezi na haraka sana akapokewa na manesi hao na kuingizwa Wodini. “Amefanya nini huyu?”Aliuliza Dockta lakini Roma hakuwa na majibu ya kueleweka na aliwataka watimtibu majeraha yake kwanza.

.

Madaktari hawa walishangazwa na alama zilizokuwa kwenye mwili wa Juma na kwa kuangalia tu waligundua kuwa mtu huyo alifanyiwa vitendo vya kikatili sana ila hawakutaka kulizungumza hili haraka , walichofanya ni kuanza kumuwekea Juma dripu ya maji wakichanganya na

.

Dextrose ili kumuongezea nguvu , kwani alionekana kuwa mnyonge sana. Baada ya Roma kuona ashakamilisha kumkabidhi Juma kwa madaktani , aliona atoke arudi kwanza kazini ili kukabidhi hela alizokuwa nazo kwenye gari maana zilikuwa nyingi sana na hakutaka kuendelea kukaa nazo. Lakini ile Roma anatoka tu , aliwekwa chini ya ulinzi na afande wawili wa kiume pamoja na Mage. “Upo chini ya Ulinzi kwa makosa mawili , la kwanza ni kuendesha gari bila ya pleti namba , kosa lako la pili ni kuidharau sheria ya nchi hii”Roma alimwangalia mrembo huyu huku akitabasamu na kisha akafungwa pingu.

.

“Afande Sepengo chukua funguo tukague gari yake , huenda ameficha madawa huyu”Aliongea Mage na Sepengo alifanya kama alivyoambiwa na alichukua funguo na kufungua milango wa ndinga hii,Sepengo baada ya kufungua mlango kwanza alianza kunusa nusa gari hii kama mbwa. “Ma**mae hii gari inanukia vizuri hii , humu hata ufanyie uzinzi au dhambi yoyote malaika wanaweza

.

wakakukingia kifua mbele ya Mungu”Aliwaza Sepengo na huyu Afande alikuwa akifanana na jina lake , kwanza alikuwa na meno yaliopishana ila ya njano , alikuwa ni kijana ila kutokana na uvutaji wa sigara anaonekana kuwa mzee. Mage baada ya kuona Sepengo badala ya kukagua anashangaa uzuri wa gari aliona kazi hio aifanye mwenyewe , alilisogelea begi lililokuwa kwenye siti ya nyuma na kisha akalifungua na macho yalimtoka baada ya kuona maburungutu ya hela na Mage alitabasamu. “Utakatishaji fedha kosa lingine”Mage aliwaza huku akitoa tabasamu la ushindi, lakini pia hakuishia hapo tu , aliendelea kufukunyua begi hilo , kwani kuna kitu kilimwambia kuna jambo la ziada atalipata na ni kweli ile anafungua kajizipu kadogo , alikumbana na kajimfuko ka unga unga kama wa chumvi. Roma alijikuta akishangaa mara baada ya kumuona Mage akitoka na kajimfuko kaunga na hapo hapo alijikuta akinywea na kuona wale mabwege huenda walificha unga wao kwenye hilo begi na yeye hakulikagua vizuri.

.

“Nilijua tu wewe ni Jambazi ,Afande Marko huyu tunampeka moja kwa moja kituo kikubwa cha wilaya Temeke kule”Aliongea Mage na kisha akatoa simu yake ya upepo.

.

“Naripoti kutoka Mbagala Zakhem ,Jambazi kuu lipo chini ya ulinzi , Narudia jambazi kuu lipo chini ya ulinzi , tunahitahi usafiri haraka Ova”Aliongea Mage “Kwa kulikamata hili Jambazi nadhani nitapongezwa sana na nitaweza kurudishwa kwenye kazi yangu ya upolisi,Mungu ni wa ajabu sana ,yaani huwa anajibu Maombi kwa namna ambavyo hata hutegemei”Aliwaza Mage huku akimwangalia Roma aliekuwa hana wasiwasi akiwa amegamia gari. “Mrembo hio gari inakuja saa ngapi? , nina njaa sio poa”Aliongea Roma na kumfanya Mage amwangalie kwa hasira. Lakini wakati wakiwa wamesimama hapo ndani , huku baadhi ya watu wakishangaa mara alikuja mwanamke na kumkimbilia Roma na kumkumbatia , ni kitendo ambacho hata Mage hakukiona kilivyofanyika, kwani Roma alikuwa amekumbatiwa na mwanamke mzuri mno. “Najma … !,Unafanya nini hapa?”Aliongea Roma huku akimshangaa Najma aliekuwa amemkumbatia , kumbatio ambalo lilimfanya ahisi kitu cha tofauti katika mwili wake. “Roma kaka .. kaka.. Jumaa kanitelekeza ..Roma.. hihiii hii….”Najma alikuwa akilia kama mtoto,alionekana ni mwenye huzuni kweli. Unajua nini , Baada ya Juma kumfikisha Najma Hospitalini na yeye kuondoka siku mbili nyuma , baada ya vipimo kutoka Najma aligundulika kuwa na Malaria kali , kiasi kwamba ilibidi alazwe kwa ajili ya kupata dawa kali za Malaria . Baada ya masaa nane ya dozi ya kwanza kuisha alipatwa na ahueni kiasi cha kumpelekea kuinuka na kukaa kitako ndani ya wodi hii ya wanawake ,muda nao ulizidi kusonga na Najma alijikuta akilala tena na kuja kushituliwa na Mama Debora ambaye alikuja kumtembelea , akiwa amebeba chakula na hakuwa peke yake alikuwa na mpangaji aliemleta hospitalini aliekua akifahamika kwa jina la Mama Bedo.

.

“Najma Juma alikuja? , nimejaribu kumpigia simu lakini hakuwa akipatikana”Aliongea Mama Bedo baada ya kupeana salamu za pole kwa mgonjwa na mama Debora. “Mh! Hajaja , lakini labda atakuwa kazini kwake”. “hata kama ndio azime mpaka simu jamani huku mdogo wake anaumwa , kukitokea shida nani wa kuambiwa sasa , halafu pia aliondoka kabla hata vipimo vyako havijatoka”Aliongea Mama Bedo huku akionekana kusikitishwa na matendo ya Juma. Walijaribu kujipa sababu ambazo huenda Juma anazo ndio maana hakuwa ameonekana mpaka muda huo , kwa ajili ya kumuona lakini muda ulizidi kusonga Juma hakuonekana Mama Debora alienda nyumbani na kurudi tena kumletea Najma chakula lakini bado hakumuona . “Hivi kweli kaka Juma anaweza kubanwa na kazi kiasi cha kutokuja kunitembelea mdogo wake jamani , mpaka muda huu?”Aliwaza Najma huku akiwa ni mwenye kusikitishwa na matendo ya kaka yake,Mwanadada huyu hakuwa akijua kuwa kaka yake alikuwa ametekwa na alichokuwa akijua ni kwamba kaka yake alikuwa akithamini mambo yake kuliko yeye na ndio maana alionekana ni mwenye kulalamika. Siku ya kwanza ilipita . huku Najma akiendelea na matibabu na kuanza kupata nafuu , lakini bado mwanadada huyu hakuweza kumuona kaka yake , jambo ambalo lilizidi kumsononesha na kuona kaka yake hakuwa akimjali , aliumia sana moyoni licha ya Mama Debora kumwambia kuwa kaka yake hakurudi nyumbani kabisa kwa Najma bado aliona kaka yake alikuwa bize na kazi na wala hakukuwa na jambo ambalo lilikuwa likimuweka bize kiasi cha kutofika hospitalini kumtembelea. Ile hali ya Najma kutokumuona kaka yake ilianza kuibua jina lingine katika akili yake na jina hilo halikuwa la mtu mwingine bali ni la mwanaume aliekuwa anampenda kwa mapenzi ya Dhati kabisa. “Roma ndio mtu pekee anaenijali,amekuja kuniokoa bila ya woga wowote lakini kaka yangu kuja tu kunisalimia ameshindwa , sasa ndio najua nani ananijali kati ya kaka yangu na Roma”Aliwaza Najma huku akisahau miaka yote iliopita nyuma walivyoishi na kaka yake na alichokuwa akiwaza muda huo ni kwamba Roma ndie anaemjali na kaka yake hakuwa akimjali. “Lakini Roma hafananii na nilivyokuwa nikimfahamu ,lakini hapana yote yale yalitokea kwasababu yangu , ananipenda sana na ndio maana alionekana kuuwa , ni hasira tu zile ,Roma sio muuaji ,Roma sio Mkatili yote ameyafanya kutokana na hasira , atakuwa ananipenda sana”Hayo ndio mawazo aliokuwa nayo Najma siku ya pili yake baada ya kulazwa muda wa asubuhi. Yale mapenzi ambayo alidhania yalipotea katika moyo wake baada ya kumshuhudia Roma akiwa kikatili , yalirudi upya tena awamu hii yalionekana kuwa na nguvu kubwa sana , kiasi kwamba mwanadada huyu alitamani kumuona tena Roma , alikuwa ni mwenye wasiwasi sana , kwani alikuwa akikumbuka mara ya mwisho Roma alimuacha kituo cha polisi “Sijui alitoka jamani ?”Roho ya Najma haikutulia tena , alikuwa na mawazo mchanganyiko mazuri na mbaya kwa wakti mmoja , lakini mawazo yaliokuwa na nguvu kwa wakati huo ni yaliokuwa mazuri juu ya Roma , alitamani sana kujua ni hali gani anayo Roma , wakati akiendelea kuwaza alikumbuka simu yake , lakini baada ya kukumbuka hakuwa akifahamu ni mahali gani ameicha baada ya kutekwa na wale watekaji alizidi kusononeka. “Binti hali yako sasa imetengemaa na dozi yako ya kwanza imekamilika na kwa sasa utatumia dawa za kumeza , hivyo haina haja ya kubakia hapa hospitalini , utaendelea nazo ukiwa nyumbanni , lakini kama ukijisikia hali yoyote mbaya unaweza kurudi”Aliongea Daktari wa raundi ya asubuhi na kumfanya Najma apatwe na furaha kwani alikuwa amechoka kukaa ndani ya hii wodi kwani harufu yake haiukuwa ikimfurahisha hata kidogo. Baada ya Najma kupewa taarifa hio , hakuwa na haraka ya kuondoka lakini pia hakuwa amelipia gharama za matibabu mpaka wakati huo na hakuwa na hela ya kutosha , baada ya kukaa kwa takribani lisaa akiwa na mawazo ya Roma pamoja na namna ya kumaliza matibabu hatimae alikuja Mama Bedo. “Mama Bedo nisharuhusiwa tayari , bado kulipia gharama tu za matibabu nirudi nyumbani , lakini hela niliokuwa nayo haitoshi na kaka Juma haonekani mpaka leo hii”Aliongea Najma na mama Bedo alimhurumia lakini pia alimlaani Juma kwa kutoonekana ,alimwangalia. Mwanadada huyu mrembo , mwenye haiba ya utoto alionekana kuwaza jambo na ghafla wazo lilimuingia kwenye kichwa chake. “Mama Bedo umekuja na simu?” “Ndio hii hapa Najma , tena ina salio , unataka kumpigia nani?” “Rafiki yangu mmoja hivi” Aliongea huku akichukua simu kwenye mikono ya mama Bedo kwa ajili ya kupiga. “Hellow! “Sauti nyororo ilisikika upande wa pili. “Twin ni mimi Najma”. “Haan..jamani shosti mbona unapenda kunipa wasiwasi namna hio , nimekutafuta siku mbili zote sikupati hewani”. “Ni stori ndefu pacha na ndio maana nakupigia na simu nyingine , nipo hospitalini nimelazwa unaweza kuja kuniona sasa hivi , nina shida mpenzi”. “Naja.. Shida nini nisubiri Najna muda si mrefu nisubiri..”Ilisikika sauti upande wa pili ilionekana kuwa na wasiwasi. Najma alivuta pumzi mara baada ya kufanya mawasiliano hayo na kurudisha simu kwa Mama Bedo. Ni ndani ya masaa mawili waliokuwa wamesubiri mara alionekana mwanamke mrembo sana akiingia ndani ya hospitali hii na gari zuri sana aina ya BMW M4 ya pink na kufanya watu wamkodolee macho , kwani alikuwa mrembo haswa , na wanaume waliokuw a ndani ya eneo hili waliambizana. “Sema mzee kuna wanaume wanakojolea pazuri aisee , yaani hii pisi ikinipa raundi moja tu Maisha yangu yatakuwa ya baraka sana”. “Acha kuwaza sana Shaba , hivyo ni vya wakubwa , usione pisi kama hio inaendesha gari kali na inapendeza jua kuna mwamba nyuma anafanya kazi kwa juhudi , Waswahili wanakuambia usione vya elea jua vimeundwa”. “Ni kweli tupige kazi tu”Hawa walikuwa ni wafanyakazi wa usafi ndani ya hospitali hii na muda wote walikuwa wakiangalia pisi hio ikipotelea mapokezi na mabwana hawa waliokuwa wamevalia glovusi na Mabuti makubwa , waliendelea na kazi yao ya kukusanya takataka. Ndani ya wodi ya wanawake aliingia mrembo huyu huku akitembea kwa madaha kabisa na kusababisha harufu yake ya perfume kali ya bei ya juu isambae ndani ya eneo hili , mwanadada huyu alitembea na baada ya kumuona mtu anaemtafuta alikimbia na kwenda kumkumbatia huku akianza kulia na waliambizana kulia hawa warembo wote. Naam mrembo huyu hakuwa mwingine bali alikuwa ni Nasra Mhasibu mkuu wa makampuni ya Vexto na inaonekana mwanadada huyu alivyomuacha Roma Mtongani hakuwa akija kuonana na mteja bali alikuwa akija kuonana na Najma. Wagonjwa wlaiokuwa wamelazwa ndani ya hii wodi walishangazwa na mapenzi yaliokuwepo baina ya wadada hawa warembo , kitendo chao cha kulia hapa hospitalini kilimfanya Mama Bedo na baadhi ya wagonjwa kuguswa na tukio hilo kiasi cha kuwafanya watokwe na machozi. “Nisamehe sana Najma , nisamehe mpenzi , sikujua ulikuwa unaumwa hivi”Aliongea Nasra huku akionekana alikuwa ni mwenye huzuni mno na kuumizwa na kuumwa kwa Rafiki yake Wawili hawa walionekana kufahamiana sana sana na ilionekana sio kufahamiana kwa siku chache , bali urafiki wao ulionekana ni wa muda. Baada ya wawili hawa kubembelezana hatimae Najma alianza kumwambia yaliokuwa yamemtokea mpaka kupoteza simu. “Kwa hio unamaanisha The chosen one ndio alikuja kukuokoa?”Aliuliza Nasra huku akimtaja Roma kama The Chosen one yaani kwa tafsri ya ‘Aliechaguliwa’ na Najma alitingisha kichwa. “How Romantic ….jamanii natamani na mimi initokee Twin” “Wee ,, muangalie unavyofikiria ujinga sasa , nilikuwa nikiogopa balaa”. “Hapo ndio penye point sasa Naj.. yaani unatekwa unaogopa mpaka unataka kujikojolea halafu pale unapojiona umekata tamaa

.

, mara vuup .. bebi huyo anatoa kichapo then anakuokoa kwenye mikono ya watekaji .. how Romantic.. haha .,Najma nikwambie tu hakuna mwanamke ambaye hapendi hio Fantansy .. you know I cant picture how things was ..but I know for sure it was real amaizing scene .. I wish someday jambo kama hilo linitokee Naj… Your love Experience is far more exciting Twin, you should be happy”Mwanadada huyu mrembo alionekana kufurahishwa san ana tukio hilo na alisahau kabisa uhatari ambao ungemkuta Najma kama tu Roma asingetokea kumuokoa ,Nasra aliegemea upande wa mazuri yaliomtokea Najma,

.

Maneno ya Nasra kwa Najma ni kama yalilipua bomu la huba ndani ya moyo wa Najma , mwanadada huyu alijona kama mjinga kwa wakati mmoja , siku zote alikuwa ni mwenye kujifunza kutoka kwa Rafiki yake huyu , alichojilaumu ni pale kuegemea upande wa mambo ya kutisha yaliotokea katika tukio lile na kuacha yale mambo mazuri maana ni kweli Roma alihatarisha Maisha yake kwake. “Twinie .. I have always been one to tell you to focus only to good thing that happn around you .. I know you were frightened at the moment but the Ending was good .. ungewezaje kujua ni kiasi gani The Chosen anakupenda ,, hii yote ni mipango ya Mungu Naj.. be happy” Maneno aliokuwa anaongea mwanadada huyu yalionekana kumuingia vizuri na alijikuta akianza kumuwaza Roma tena na kuona ule uuaji wa Roma ni Swaga na sasa zilikuwa zinausuuza moyo wake. Wawili hawa walipiga stori za hapa na pale , mpaka pale Nasra alivyopigiwa simu kurudi kazini haraka kuna dharula inayomuhitaji na kwakuwa alimuona Najma alikuwa amepona , wasiwasi wake ulipungua , alilipia gharama zote na kisha akaaga huku akimwambia asiwe na wasiwasi kaka yake anamjali na asimfikirie vibaya . “Kila siku ninapopata shida inayosumbua akili yangu , nikionana na Nasra huwa Napata kitu kipya na wasiwasi wote kuisha ,Nasra kabarikiwa kweli kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kuingoza akili yake , tokea utoto wetu nilipokutana na Nasra nimekuwa mtu wa furaha sana kuwa na Rafiki kama yeye” Aliwaza mwanadada huyu mrembo sana ambaye hajawahi kuwa na mpenzi kwenye Maisha yake Zaidi ya kuwa na

.

Roma ambaye alikuwa akimzingua . Najma hakuwa amemueleza Rafiki yake kama Roma alikuwa ameoa na ana mwanamke ambaye alikuw aamepotezana nae kwa miaka mingi nyuma , lakini mwanadada huyu licha ya Roma kuwa na mwanamke mwingine lakini bado hakuwa ni mwenye kuacha kumpenda Roma , alimfikiria kila siku na aliamini kabisa Mungu wake hakufanya makosa kumkutanisha na Roma na kwamba siku moja atakuja kuishi na Roma kama mke na mume.

.

“Mpaka sassa nimejua ni kiasi gani Roma ananipenda , na nitaishi kwa kumpenda Maisha yangu yote na nitamlindia heshima na nafasi yake ndani ya moyo wangu” Aliwaza huyu mwanamke mrembo wakati akitoka mapokezi kwa ajili ya kuelekea nyumbani kwani walikuwa washakamilisha taratibu zote , lakini ndipo moyo wa Najma ulipopiga kwa nguvu mara baada ya kumuona mwanaume wa Maisha yake na hakutaka kujiuliza mara mibili aliona yes , hii ndio

.

Chance na lazima aitumie vizuri , hakujali Pingu alizokuwa nazo Roma , alichojali ni kile kilichomjaa moyoni mwake .

.

Na kama muvi la kuchi kuchi hotae hee , mrembo huyu kwa spidi maridhawa kabisa , alikimbia , akakimbia na kwenda kutua kwa mwanaume , mwambaaa Roma Ramoni . Je unadhani ndoto za mwanamke huyu zitatimia … Endelea kula mtori nyama zipo chini.

.

BONYEZA BUTTON HAPO CHINI KUENDELEA NA SIMULIZI

.

ENDELEA KUSOMA ```

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA

Mpya zaidi Nzee zaidi

Ads related

Smartwatchs